Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Je diploma in management and teaching inayotolewa ECKERNFOD TANGA UNIVERSITY inatambuliwa na NACTE au NTA?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari za leo wakuu! Napenda kuuliza kuwa, hivi inawezekana kwa mtu aliyesoma na kutunukiwa diploma in telecommunications networks kukitumia hicho cheti chake kuomba mafunzo ya bachelor of...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
jamani kuna msiba wa mhadhiri muhimu sana ktk chuo cha SMMUCO TAWI LA MWIKA. hivyo masomo yameahirishwa ili Wanachuo waomboleze. msiba ulitokea jana tarehe 07/12/2014 mazishi yanafanyika leo saa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habar wana jf ninaomba kufahamu hivi kwa chuo cha Ardhi university hakuna option ya mtu kuweza ku apply chuo moja kwa moja chuoni bila kupitia tcu,hii ni kwa wale walio maliza diploma kutoka vyuo...
0 Reactions
1 Replies
886 Views
Ilikuwa jana jioni mh. marco joseph alipoamua kulivunja baraza lake la mawaziri kutokana na sababu mbalimbali za baadhi ya watendaji wake kuonesha utomvu wa nidhamu,cha kushangaza kamuacha waziri...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hakika, nimejaribu kuitafuta hotuba hiyo bila mafanikio. Mwenye uwezo wa kuileta hapa, tafadhali. Akihutubia Chama cha Waalimu Kenya (KNUT) amejadili mambo mazito kuhusu umuhimu wa kuwekeza kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba Kujua Kama Utaratibu Wa Mtu Aliyesoma Cheti Vyuo Vya Kilimo Kuomba Kusoma Degree Kwa Kigezo Cha Ufauru Wake Wa Kidato Cha Nne Kama Bado Upo (SUA)
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ni chuo ambacho kimeanzishwa rasmi 2011 na mwaka jana wakafanya mahafali ya kwanza pale kariakoo na mgeni rasmi akiwa makamu wa rais Dr Billali Chuo ni kichanga na kinatumia majengo ya kukodi...
1 Reactions
10 Replies
6K Views
Hivi ni sahihi kwa mwalimu kuzuiwa kwenda likizo wakati huu wa likizo?
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Nasikia kunauwezekano wa kupandishia master ya facult ambayo hujasoma degree yake, mfano umesoma civil eng then ukachukua master ya computer eng au hata upharmacy kigezo kilichopo ni combination...
0 Reactions
0 Replies
793 Views
please mwenye kufahamu course ya mambo yanayohusu "marine engenering" anijuze,inatolewa wapi apa bongo,ada yake na inafundishwa kw kpnd gani,i mean time taken.
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Wadau naombeni msaada hapa.. hivi kuna namna yoyote mtu ambaye hajafanya vema form four anataka kufanya grade A akapata zile foundation course kama ambavyo kwenye course nyingne zipo? I mean...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Je! kuna njia yoyote naweza kufanya ili nibadili jona kwenye vyeti vyangu nipo chuo kikuu now na jina ninalotumia limekosewa
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu imebidi nije niwashirikishe hapa. Kuna shule moja hapa Wilaya ya Hai Mkoa wa Kilimanjaro inaitwa Patmos Secondary School.. Nimevutiwa na mengi sana kwenye hii shule inayochipukia kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wakuu, Jaman kwa yeyote anaejua zaidi kuhusu maswala kusomea nje ya nchi ningeomba tuelimishane.
0 Reactions
28 Replies
6K Views
habar zenu wana jf. Mm nimetokea kumuoa mwalimu wa ngazi ya msingi. Je nianzie wapi katika swala la kumhamisha? Naomba msaada jaman. Nawasilisha.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini wana jamvi!! Mimi kwa mda sasa nashindwa kuwaelewa Bodi ya mikopo ya Elimu (HESLB) kwa upande wa Loans repayment kwa wanufaika wote. Moja hii mikopo ina riba au haina, pili inakuaje mtu...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Takiribani wiki mbili sasa wanafunzi wa bse mwaka wa pili st.Joseph dar wamesimamishwa masomo kisa kudai meal and accomodation iliyocheleweshwa mwezi mzima na kuwafanya wanafunzi kuishi maisha...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
jamaa alikuwa na safari, kwa habati zuri akakutuna na mti wenye ndege. kwa akili ya kawaida akahisi ndege wako mia moja, akawasalimu. Habari zenu ndege miamoja, ndege wakakataa wakasema...
0 Reactions
37 Replies
18K Views
Back
Top Bottom