Habari wadau
tafadhali kwa yeyote anayeweza kunipatia sheria ya elimu ya mwaka 1978 na.25,anipatie kwa namna yeyote itakavyokuwa rahic kuipata.
nawasilisha
Wadau naombeni mnishauri mimi ni mhitimu wa kidato cha sita mwaka 2014,
na nilishindwa kuomba chuo kutokana na kuto kuwa na uamuzi sahihi wa kuchagua nini nikasomee.kwahiyo kwa yeyote anaye ijua...
Danida Fellowship Centre (DFC) on behalf of Danida, Ministry of Foreign Affairs, Denmark, calls for applications for MSc Scholarships under the Building Stronger Universities Programme.
The...
TANGAZO LA NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU AWAMU YA PILI MWAKA WA MASOMO 2014/2015
Katibu Mtendaji Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) anatangaza nafasi za mafunzo ya Ualimu yatakayoanza...
napenda kuwapa pole wakufunzi wa chuo cha ualimu monduli kwa kazi kubwa walioifanya ya kufundisha kozi ya bridging kwa muda wa miezi mitatu bila kulipwa chochote.
kozi kama kama hii kwa mujibu...
wanandugu za jioni.naomba msaada wa kufaamu ratiba mbalimbali za training kwenye fani tajwa hapo juu kwani mke wangu amepewa nafasi na ofisi yao mwakani kuhudhuria training lakini kwa shart...
Wakuu habari zenu,
niliwahi kusoma kozi mbalimbali miaka ya nyuma kupitia hawa watu ila kipindi hicho ilikuwa kwa njia ya posta.
sasa nilikuwa nataka kijana wangu asome tena na niliambiwa wako...
Jaman vp kwa wale mwaka wa pili walioomba mkopo this term,kuna chuo chochote ambacho kishatoa majina,
ama mtu yeyote mwenye taarifa kuhusu hili anijuze!
Nili balance combination ya CBG vizuri ila nimefeli mathematics kwahiyo nilivyo fanya application katika shule kwa lever ya advance baadhi ya shule walinikubalia baadhi ya shule kama makongo...
Walimu nawauliza hasa Mkoba and company, mbwembwe zenu za kuandamana kupinga mabadiliko hovyo ya mafao ya kustaafu yalifia wapi? Kweli Ualimu na Walimu- anyway angalau mlijitutumua!
Nimepata Shavu la ajira kitengo nyeti katika kampuni ya wazungu(wafaransa kutoka Ubelgiji) ,wamenipa kazi ila wameagiza niboreshe kifaransa changu nilicho kikimbia Makongo Sec(2002/2005) kwa...
Dear All,
Mwezi uliopita tuliiona video moja hapa inayoonesha vipi watoto wanavyodhalilishwa mashuleni kwa kupigwa bakora. Wengi wetu tukasema kwamba mtoto Wakitanzania kama hujamchapa basi...
Habari za jioni Mimi ni mwanafunzi wa kidato cha tatu mwaka huu nlifanikiwa kutengeneza software ambayo nlitumia html,css,javascript na php na inahusiana na masomo ambayo imebase zaidi kwa shule...
Nimesoma mahali nikajifunza mengi, ningependa kama unapenda na wewe upitie....
1.HAIJULIKANI DUNIA IPO UPANDE GANI MWA ULIMWENGU.
A precocious child might write his or her full address as Main...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.