Salaam wanaJF, nilimechaguliwa kujiunga dip ya ualimu lakin nilikuwa cjariport bado kutokana na kuendelea kutafuta ada kama mnAvowlewa baadhi yenu kuwa Serikali umetusurprise mwaka nA ongezeko la...
Naomba wizara ya elimu iwachukulie hatua za kisheria wamiliki wa shule binafsi na vyuo vya ualimu kwa kuajiri watu ambao hawajasomea taaluma ya ualimu kuwa walimu na wakufunzi wa vyuo vya ualimu...
Salamu zenu wapendwa"jamani tangu tufungue chuo tarehe 20 October 2014 had mda huu bado hatujapewa fedha za kujikimu na uongozi hauna majibu ya msingi"vipi wenzangu wa vyuo vingine hali hii ipo?
Habari,
Mim ni mwl wa Physics na Mathematics (Graduate from Mwenge University 2012).
Natafuta Part-time ktk shule yeyote ndanni ya manispaa ya Morogoro, nnapatika mda wowote, Asante
You're invited to a special education opportunity...
Join fellow alumni and industry friends at this event featuring GIA experts visiting Tanzania. The afternoon will include two presentations...
Sijaelewa ni kwa nini hili suala linakaliwa kimya namna hii. Kuna baadhi ya wahadhili wa vyuo vikuu hasa UDSM na campus zake wanawalazimisha wanafunzi eti ili ufaulu lazima ununue pamphlet langu...
Wakati nakumbana nayo kwa mara ya kwanza ilikuwa mwanzoni-mwanzoni mwa miaka ya tisini. Hesabu yenyewe muulizaji anakusomea kwa njia ya imla (dictation) na wewe unakokotoa. Akimaliza anakuomba...
Nimekerwa na Tabia wa Wakuu wa Mashule kama za Filbati Bei Kibaha na Santa Anna ya kwa Msuguli Jijiji wanavowalishawanafunzi wa boarding chakula chenyelishe duni hadi kufikia kuugua Utapia mlo...
Jamani naomben mnisaidie manake mimi sijui kutumia vizuri pesa,, naombeni mnisaidie kwa aliye na wazo jinsi ya kupangilia boom anisaidie,, nitawaelewa wote bila kujali matumizi yangu...
Habarini wanajamvi naombeni mnijuze katika hili
Mwaka huu niliapply kupitia tcu na nikachaguliwa bachelor ya IT pale IFM na nikapata mkopo . Lakini sikuwa tayari kujiunga na hii degree hivyo...
Hi wanajamvi..
Et kwa dar vyuo gani vinatoa diploma ya ualimu wa sekondari.
Na kwa mda huu inawezekana kujiunga?
Kuna dogo mmoja anahitaji sana sana.pls help
Thanks
Wakuu kati ya hizo levo mbili za elimu hapa TZ ipi ilikutesa h.asa kwenye paper, mie O level paper zake utata ila advance ni uzito wa msuli ( kusoma) ndo hatari.
Karibuni tupeane ujuzi
Friends naomba msaada . Nimechaguliwa pale OUT university. Lakin mpka sasa wanaleta chenga nying kufanya usajili mara. njoo kesho mara majina yamepelekwa NACTE.
Kwa yeyote mwenye taarifa za...