Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

habari za mapumziko wadau ninahitaji kujua njia itakayo wezesha kufahamu cheti original cha four ,nimepewa jukumu la kusaili watu katika kampun yetu.
0 Reactions
11 Replies
7K Views
naomba kwa yeyote mwenye uelewa anijuze kuhusu tofauti za mkopo, kwa meals and accomodation inakuaje kwa vyuo kama cuhas, st john coz za afya inafika mil 2.2 wakati coz hiyo hiyo kiu ni mil 1.8...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Serikali kupitia TCU iliagiza vyuo vikuu vyenye ada kubwa hasa inayokaribia million mbili kupunguza angalau kukaribiana na vyuo vya serikali ili kupunguza mzigo kwa watanzania. sasa vyuo...
1 Reactions
37 Replies
13K Views
Habari wakuu. Sisi tuliopata vyuo wengine tuliomba transfer na tayari profile zetu zimeonesha kwamba tayari tumeshahamishwa. Nimekwenda kuripoti chuo kipya nilichopangiwa naambiwa jina halipo...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Rafiki yangu anamke mwenye miaka 25, Mke wake ameishia darasa la 7 kutokana nakukosa mtu wakumsomesha elimu ya sekondari+kumuendeleza kiujumla. Jamaa amejitoa anataka kumwendeleza mke wake awe...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mwanzo nilikuwa najua idad ya nafas za kaz zinazotolewa na serikal,mashirika binafsi ni chache kulingana na idadi ya watafuta ajira,kumbe siyo sahii kabisa,AJIRA NI NYINGI TATIZO KUBWA NI ELIM...
0 Reactions
2 Replies
854 Views
NAOMBA MSAADA WENU TAFADHALI. saraphinawilliam3@gmail.com
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jumatatu ijayo tarehe 03/11/2014 wanafunzi wa kidato cha nne wanakwenda kuanza mitihani yao ya kuhitimu kidato cha nne. Hii ni hatua muhimu sana kwenye maisha yao kwani ndio itapelekea ndoto zao...
2 Reactions
6 Replies
5K Views
kama unaweza kunisaidia ambazo zipo kwa mfumo wa pdf.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwenye notes za general chemistry,in organic chemistry, organic chemistry na basic analytical chemistry za aina yoyote za first year naomba anitumie my e-mail is thomasnyarutu@yahoo.com,
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa habari zinazo zagaa mitaani Naibu Makamu Mkuu wa Chuo SUA (DVC-AF) anayetakiwa kumaliza muda wake wa kazi Mwishoni mwa mwezi Novemba 2014 ataendelea kukalia kiti hicho kwa miaka mingine miwili...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi Mimi ni mwalimu Wa halimashauri moja hapa nnchini nilianza Kazi mwaka 2009 na mwaka 2012 nilienda Chuo kusoma stashahada nimemaliza Chuo mwaka 2014 tatizo ni moja nilipewa ruhusa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Re-opening Of The Central Admission System (cas) RE-OPENING OF THE CENTRAL ADMISSION SYSTEM (CAS) FOR APPLICANTS INTO DIPLOMA AND BACHELOR DEGREE PROGRAMMES...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hivi, kuna online-forums zipi nzuri kwaajili ya masomo ya A-level, ambapo utaweza kukutana na watu mbalimbali na kuweza kuuliza swali na kupata majibu? Natanguliza shukrani.msaada tafadhali
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kamati ya mitihani hii imeongoza kwa kuwapata wasimamizi wa mitihani kwa njia haramu.Wanaotoka Mwanza hususani Ilemela mmeliona hilo?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
hivi inawezekana kukosa mkopo kwa mwaka wa pili kama ulihama course first year ?ila mwaka wa kwanza ulipata..
0 Reactions
5 Replies
1K Views
jamani kuna Tangazo la TAMISEMI nimeliona halmashauri ya Masasi linahusiana na maswala ya mwajiriwa anayehitaji kuhama kwa gharama zake mwenyewe linadai eti yabidi utume barua moja kwa moja kwa...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Jamani kweli masecretary wa KIU wameniboa sana leo. Mimi nashida nimetoka Iringa wao wanachart..
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wanajamvi, mimi ni mwanafunzi wa diploma ya clinical officer mwaka wa tatu naingia. Inshort niliingia huku bila mwenyewe kupenda, nilikua nauliza kama nikipata diploma yangu je ninaweza...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…