Habar zenu wanajamii wenzangu,
Naimani muwazima wa afya, kwa upande wangu namshukuru Muumba kwa neema ya uzima. Kichwa cha mada kihusike kwa walengwa wote, hapa nawaongelea sana sana graduates...
Jaman wadau wa humu ndan,Me naomba tu msinishushue.mimi mwenzenu niliaply TCU mwaka huu.
Na pale chini wameniandikia yale maneno kuwa YOU HAVE BEEN SELECTED.But mpaka nw cjui nmechaguliwa chuo...
Heshima kwenu wadau.
naomba kufahamishwa wapi nitapata joining instruction za muce,
pia ningependa kujua ni vitu gani muhimu anatakiwa kuwanavyo first year pindi anaporipoti chuoni hasa anaeenda...
Introduction
TCU has discussed and requested universities offering Health related programmes to increase their admission capacities in order to accommodate more applicants in the said...
nilifanya 2nd appl udom coz ya comp science nikaambiwa u have been selected in my tcu profile bt majina yalipotoka nikakuta majina saba tuuu bt heading yao ilikuwa BATCH ONE watu wanasema wanaweza...
Shule hii IPO nje ya manispaa ya iringa km 30 kutoka ipogoro upande wa kushoto km ukitokea DSM INA mazingira mazuri IPO Jimbo LA kalenga mwaka Jana ilishika nafasi ya pili kiwilaya INA walimu...
karibu katika link hii http://www.sjut.ac.tz/announcements/sjut2014/3rd%20List%20of%20Admitted%20Students_Batch7_.pdf utajikuta.
na wale ambao bado katika vyuo vngine tuendelee kusubiri sio mda...
Wakuu naomba mniambie jinsi ya kuomba mkopo kwa wale wa diploma ya elimu( form four) ya masomo ya sayansi , ni jinsi gani wana apply mkopo ! Nina mdogo Wangu kachaguliwa udom ( diploma) wameambiwa...
Jamani mm TCU nashindwa kuwa elewa sijui ni ubabe ambao wana utumia au vipi kuna siku walitoa tangazo kuwa eti kwa PCB NA CBG watafanya mchakato wa available slots kuongezwa lakini ikawa kimya...
Wana JF.
kuna bifu ilitokea kwenye mkutano kati ya TCU na Vyuo vya binafsi kwenye mkutano uliandaliwa na TCU tarehe 22/09/2014 kwaajili ya kupitisha majina ya wanafunzi waliodahiliwa kwa mwaka wa...
wakuu naomba kujua kama kuna possibility ya kupata mkopo ikiwa umechaguliwa kusoma non -priority programe kwani mwenzenu ndo niliyo pewa na ilikuwa ya mwisho ktk selection zangu!
Wakuu, mie nimehitimu elimu ya sekondari mwaka 2013 na kupata daraja la nne point 32. Mpaka sasa sielewi nikasomee taaluma gani! Nimeomba ualimu nimekosa, na ndio lililokuwa tegemeo langu kubwa...
Kwa first year nahisis mshawahi kusikia wakubwa zenu wanaongelea boom,kama ww ni mdadisi basi nahis unajua,ok!
Nilichotaka kuongelea ni matumizi ya hilo boom, yaan hiyo tsh 7500 kwa siku,kiufupi...
Wadau nakaribisha mawazo nn kifanyike ili kuongeza ufaulu wa mathematics kwa o'level kwani hata shule zenye wali napo ufaulu unasuasua kama zile shule ambazo hazina waalimu.
Jamani wale waliochagua open university angalieni website majina yameshatoka.
The Open University of Tanzania is the first university in the whole of the East Africa region to offer educational...
Habari wakuu,
Rejea kichwa cha habari hapo juu, kuna wanafunzi walipata multiple selection na ikadhaniwa kwa namna moja ama nyingine ili kupata chuo ambacho hawajakua allocated katika vyuo...
Wadau.
Naomba mwenye kufahamu anijulishe chuo inaonyesha nimechaguliwa SAUTI, selection status inaonyesha kuwa "SELECTED" lakini confirmation status inaonyesha kuwa "NOT YET" sasa kwenye profile...