Jamani naomba kuliza kama kuna mtu anajua kama CBG anaweza soma Bsc.nursing katika vyuo vya bugando au hurbert kairuki coz nimejaribu kusoma guide book sijaielewa naombeni msaada kama umeona...
The Vice Chancellor's Welcome
The University of Bagamoyo greatly appreciates your decision to pursue your studies here. We shall do our very best to meet your expectations. Our Prospectus...
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI
WAOMBAJI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA STASHAHADA YA JUU (MIAKA 3) MWAKA WA MASOMO 2014/2015
MAELEKEZO:
Waombaji waliochaguliwa...
kwenye profile yangu nilikuwa nimeandikiwa "Be calm while processing your application.Incase any will notify via your email". Ss imetolewa na kubak waz
hivi inawezekana kutuma form zaidi ya moja??..dogo aliaply 2nd kapata bsc chem unvst f bagamoyo ila hataki kwenda anataka kuomba pharmacy kiu-dar&stjohn,au nursing bugando&kcmc,..amepga CBG ana...
Habari za leo ndugu na jamaa zangu!!? Toka udahili wa wanafunzi stashahada ya elimu ya msingi na sekondari (ordinary diploma in primary and secondary education) katika chuo kikuu cha Dodoma (...
nimechanganyikiwa wajameni sioni jina la mdogo wangu kwenye selection za vyuo vyote japo profile status yake wameandika yuko selected nisaidieni mawazo
Habari zenu wanajamvi Raisi wa serikali ya chuo kikuu kishiriki cha sayansi na tiba cha mt. Fransisko (FADHILI KALOKOLA) amemteua JESSAM NYATO, kuwa waziri mkuu mpya wa serikali yake, uteuzi huu...
Habari za leo wana Jamii Forum. Naomba kama kuna mtu anafahamu Chuo Chochote cha ualimu wa Shule ya Msingi anijulishe. Nahitaji kumpeleka dogo ambaye amemaliza O Level. Nitashukuru kama...
Habar wakuu
Mwenye ufaham naomba anijuze yale majina ya waliochaguliwa st john ni kwa st john center zote au ni center ya dodoma tu? Nahtaj ya center ya dar es salam
Ahsante.
Jaman napenda kuwaomba kwa yeyote anaejua chuo kizur cha afya ngaz ya diploma ambacho bado kinapokea wanafunz wakati huu,na kwa ada nafuu,anijuze coz nataka kwenda kusoma mwaka huu baada ya tcu...
Kwa utafiti wangu niloufanya karibu kwa kipindi cha siku sita sasa ni kwamba wanaopewa fursa ya kupata vyuo NI BRN na sio diploma holder kama mimi, wanajamii wenzangu mie nina diploma ya sheria na...
National Council for Technical Education (NACTE) TANGAZO WANAFUNZI WALIOMBA SHAHADA YA KWANZA
Matokeo yametoka ya awamu mbili na yamesha pelekwa vyuoni kwa ajili ya uhakiki. Tunapenda kuwa...
Nina mwanangu ame 'be selected katika kozi ya automobile eng lakini sina uelewa sana na kozi hii, soko la ajira na ni mahali gani atafanya kazi baada ya kuhitimu.
Nilikua nawazo nimuhamishe kwa...
hello mambo vipi kwanza !
Nina maswali haya hapa kama unaweza moja wapo ya hayo basi nitashukuru kama ufafanuzi utatolewa
1. Kuna second round yeyote aliyepata chuo up to now?
2. mbona kwenye...
Mwanachuo Udom jela miaka sita
By Hadija Jumanne, Mwananchi
Imewekwa Friday, September 26 2014 at 09:45
Dar es Salaam. Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemhukumu kifungo cha miaka sita...
Wasalaam,
napenda kusaidiwa kujua utaratibu wa kufuata kwa mwalimu aliepangwa kufundisha sekondari ilhali amesomea shahada elimu ya watu wazima na maendeleo ya jamii,ni jinsi gani ataweza kutoka...
NACTE: Wameanza kutoa sasa, status yangu inasoma SELECTED but NOT YET CONFIRMED
Pia kuna maelezo haya: Confirmation in progress with named Institution...