Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

  • Closed
Wana jf, kama kuna anaejua hii shule inapatikana mkoa gani tufamishane na details nyengine maana kila mtu haijui hii shule, tepeane details
0 Reactions
4 Replies
4K Views
mwenye kujua mazingira na maeneo mazuri ya wilaya hiyo anijuze
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tafadhari mi nikiwa ni mmoja wa wanufaika wa mkopo kutoka HESLB niliehitimu UDSM miaka kadhaa iliyopita,naomba kufahamu namna ya kuweza kuwasiliana na Bodi mikopo ili kujua ni kiasi gani natakiwa...
0 Reactions
2 Replies
12K Views
nimepangiwa wilaya ya ushetu kwa anaejua mazingira anijuze
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Habari za saa hizi kaka na dada zangu naomba msaada kwa anaefahamu shule za binafsi kwa michepuo ya [ARTS SUBJECT LEVEL YA A-LEVEL] Anisaidie contant zake za shule hiyo. AHSANTEN WAKUU WA JF.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Et kwa kua vyuoni wenyewe ndo kila kitu, bas inawafanya wakusoma wakose baadhi ya haki zao. Mfano, et hii hii bima tuijuayo inawatafuna watu vibaya mno ktkt baadhi ya vyuo hapa TZ.
0 Reactions
0 Replies
854 Views
Ndugu zangu wana JF nilikuwa natuma maombi ila nikachemka hili swali namna ya kulijaza swali lenyewe ni Choose Your Basic Qualification Certificate of Secondary Education Examination from NECTA...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Songea Girls Joining Instruction 2017
3 Reactions
0 Replies
13K Views
Hii nimeona kwenye back cover ya vitabu vingi, kwa mfano utakuta kitabu kimeandikwa ISBN 0-89490-530-9.
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Niliomba kujiunga na tume ya utumishi wa walimu pamoja na ukaguzi tangu mwaka jana, kama kuna yeyote mwenye fununu ya walioteuliwa kujiunga na nafasi hizo naomba aweke orodha hadharani.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wanandugu m nimekuja kutaka ushauri hivi kwa matokeo ya mwaka huu kupata cheti cha form four wenye dv4 ya41 wanapata cheti msaada jamani
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kuhusu mkopo diploma ya ualimu kwa sisi wenye div 1-3 o-level tunaombaje?
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Naomba msaada kwa anaefahamu shule nzuri ya private ilipo na contact zake combination HGL, HGK, HKL.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
wapendwa mwenye uelewa tofauti ya decolonization,nationalism,mass nationalism
0 Reactions
0 Replies
2K Views
jamani kwa wale waliochaguliwa na waliograduate hii shule tukutane hapa tujuzane mambo muhimu ya school
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nuhu alitengeneza safina kwa muda wa miaka 40, mvua ya Garika ilinyesha siku 40, Waisrael walikaa utumwani Misri kwa miaka 40. Pia Waisrael walisafiri Nyikani kwa muda wa Miaka 40, mnara wa Babeli...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau naomba msaada je, kama mtu umepotelewa au kuunguliwa na vyeti vya chuo na kile cha form four, chuo au NECTA ukifatilia unaweza ukapewa vyeti vipya au?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamvi Najua baadhi yetu humu jamvini wapo wadaiwa wa Bodi ya mikopo ya Elimu ya Juu. Napenda kuwatahadharisha kwamba Bodi ya mikopo imeingia ubia na makampuni ya binafsi kwa...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari za siku wakuu! Naomba kuuliza kuhusu mfumo wa kuendelea kupata mkopo kwa sisi tunaoendelea unakuaje? kwa sababu kule kwenye profile hakuingiliki!! Msaada wenu jamani!!:sleepy:
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nakumbuka mwaka 2009 wakati ndo nimemalza 4m 6, mzumbe university walikua wanaringa kuchukua wanafunzi 2naotegemea Heslb na badala yake wakawa wanachukua wa2 wenye dv 3 wengi kwa kigezo cha kwamba...
1 Reactions
142 Replies
13K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…