Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kuna kitabu kiliwahi kuchapishwa chenye jina "Mafisadi wa Elimu", kitabu hicho kinatamka kuwa William Lukuvi, ambaye kwa sasa ni waziri wa nchi sera uratibu na bunge ana elimu ya darasa la 7...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Last year,the budget of ministry of education and vocational training was more than fifty percentage of the whole budget,but still most of the students got chance to join higher learning...
0 Reactions
0 Replies
634 Views
Kwa niaba ya rafiki yangu anatafuta kazi ya kufundisha shule ya msingi yenye mchepuo wa kiingereza (english medium primary school) katika mikoa ifuatayo mbeya, iringa na njombe. Amehitimu mafunzo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini wapendwa. Kuna hili suala la ufaulu limekuwa ni gumzo, kila mtu ana judge kadri aonavyo, eidha kwa mazoea au kimantiki. Binafsi hili suala la ufaulu nimeliweka katika mafungu mawili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wanafunzi ktk chuo cha teku mkoani mbeya wameshangazwa na kitendo cha serikar kukaa kimya mpaka sasa hv juu ya mstakari wa pesa zao za kujikimu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jaman wana chama wa nyabu mpoo? Tangu shule ifunguliwe mwaka 2014 ndo mwaka uliofanya vizur vyenye aijawah kutokea katika shule yetu yaan division one ya p.10 haijawah kutokea au xio? Ulizen...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
samahani wanajukwaa naomba ushauri, nlifanya mtihani wa kidato cha sita kama private candidate combination ya HGK mwaka jana matokeo ya ngu nlikuwa nna III ya point 13 ingawa GS nlipata F...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Katika kupitia tovuti ya NECTA nimekutana na huo mwongozo wa viwango vya ufaulu ambao unaoinesha kuwa Kidato cha sita waliomaliza mtihani wao leo watapangiwa matokeo kwa kutumia mfumo wa alama...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
All de best form four for preparation of BRN EXAMINATION
0 Reactions
9 Replies
2K Views
habari zenu wakubwa. Wanaosoma bridging course na kuhitimu wanaomba kujiunga na degree kwa njia ipi!? Hii ya TCU au kutuma moja kwa moja maombi chuoni!?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Pamoja na UDOM kuwa chuo cha kata ila ndani yake kuna college mbalimbali za MTAA, sasa college zote wamepata boom kasoro college mbili ambazo ni za mitaa, College of Earth Science COES na...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
wakubwa msaada, kijana wangu mtoto wa kaka yangu kang'ang'ania kwenda kusoma seminari,nimeamua kutii maamuzi yake, je ada ya seminari ya visiga na ya maua ni sh. ngapi?au kama kuna mtu anajua...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Ndugu wanaukumbi mimi ni mwalimu wa sekondari nipo Ukerewe Mwanza.Nimepata mtu wa kubadilishana kutoka kilwa masoko.Naomba msaada wenu kwa mnaoyajua mazingira ya mji na shughuli za uzalishaji mali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari ya mda huu! naomba ni ulize swali wadau wa mtandao huu utaratibu wa kuomba mkopo mwaka huu ukoje? naombeni msaada tafadhari
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Wakuu,me naona kama serikali huwa inakipendelea vile chuo kikuu cha dar es salaam,ukiangalia wao wamelia njaa siku mbili tu,wakapewa mkopo wao wakati huo huo vyuo vingine kama...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
haya sasa wale wa Arafah tukutane humu
0 Reactions
0 Replies
862 Views
haya sasa wale wa Arafah tukutane humu
0 Reactions
0 Replies
658 Views
Jf msaada wa kudownloads vitabu kama inawezekana Biological Scisnce (B.S) Chand of physics (x11&x1) Chand of chemistry (X11&X1) Nelcon of physics Roger of physics Rogers of biolog nk mwenye...
0 Reactions
1 Replies
994 Views
Mdau so mbaya kama utanielekeza novel ama story ambayo ni kali yenye maudhui meng hasa yanayoamsha ari ya kupiga kaz il mafanikio yawepo..
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…