Naombeni kama kunayeyote ambae amewahi kukosea au kuchaganya chochote pale anapofanya usahili wakujiunga na chuo kikuu kupitia NACTE-CAS kama kuna uwezekano WAKU-EDIT/KUREKEBISHA pale ulipokosea...
Hivi juzi juzi tu wakati mshahara haujaingia tulilalamika sana na kutoa maneno mengi, lakini pesa imeingia mbona hatusemi?
Mie naanza, jamani huku Kyela hela imeingia kwenye account zetu. Na...
Hbr ya Leo wana jukwaa
Nimesahau neno la siri la acc yangu ya siku zote.
Nimejaribu sana bila mafanikio. Mwisho nimefungua hii ili nipate msaada wa kuifungua ile.
Username ya cku zote ni...
wizara ya elimu wametoa tangazo lao la kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya stashahada na cheti.
Ambapo sijaelewa ni kwa ngazi ya stashada. Hebu ona hapa chini
MAFUNZO MAALUM YA UALIMU...
WanaJF naomba ushaur mdogo wangu ana4 ya point 26_(2012) naomba ushauri wenu asome mafunzo gan kat ya ualimu na kilimo? matokeo yake ni: civics_D, Hist_C, Kisw_C, Eng_D, Geo_D, Chem_D, Bios_D, Math_F
jamani naombeni ushauri nimefahulu masomo ya sayanc yote nina alama c, sasa lengo langu mm nikuw daktar baadae kwan hizo ni ndoto zangu na sitaki kutoka nje ya hapo sasa naombeni ushauri je...
Nacte imeorodhesha vyuo vya afya ambavyo vitatoa mafunzo kwa mwaka wa masomo 2014-2015 kwa ngazi ya cheti na stashahada.
vyuo hivyo ni vya serikali,taasisi za kidini na binafsi.
Utata unakuja...
Nimekuwa nikisikia vijana wengi wanalalamikia kufelishwa masomo au kucheleweshwa kumaliza masomo (graduation) hata kama wamefanya vizuri. Ajabu haya matatizo yako katika vyuo vikuu maarufu hapa...
Ule mgomo uliokuwa ukinukia na kutangazwa mitandaoni kuwa ungetokea UDSM umeota mbawa.Ilielezwa kuwa mgomo huo ungekuwa usio na kikomo na ulilenga kupinga kucheleweshwa kwa malipo ya fedha za...
Kwa Ukweli Elimu imeingia siasa,sijawahi kufikiria tutafika wakati wizara ya elimu itapanua wigo wa kufaulu kwa wanafunzi wa kidato cha nne kuongezewa grades ili kubeba groups za failures na...
Naombeni msaada wa kujuzwa kama mtu akisoma postgraduate diploma ya education, anaweza kupangiwa kituo cha kazi katika shule za serikali mara baada ya kuhitimu masomo yake? Kama wanavyopangiwa wa...
Tukiwa tunasherekea miaka mingi tu ya Uhuru nimeona ni muhimu kusimama kidogo na kutazama mfumo wetu wa elimu unamsaidiaje Mtanzania wa karne hii ya sayansi na tekinologia. Nadhani tutakubalia...
Wanachuo wa jordan university wametangaziwa hali ya hatari kwa kuitiwa askari wa kutuliza fujo FFU kuzunguka maeneo ya chuo kila wakati.
Hii nibaada ya kuzuka kwa tetesi kwamba wanataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.