Huu ni mtazamo wangu...
Mimi nadhani kupima uwezo wa wanyama wote kwa kuwaambia wapande mti ni kuwaonea baadhi yao, kwani kuna wanyama kama mamba watajiona wajinga maisha yao yote kwasababu kwa...
Kuna dogo kamaliza diploma ya ualimu, anaulizi kipi bora kati ya post graduate ya diploma au degree? Na post graduate ya diploma inachukua muda?
Wanaojua hii faculty wamsaidie dogo au kwa...
Nimesoma guidelines and criteria for issuance of students loans and grants for 2014/2015 academic year kipengele 2.7 nikakutana na maneno "EXCEPT HEALTH SCIENCES,EDUCATION (SCIENCES),EDUCATION...
Jamani ,wadau walisema kwenye ile fomu ya bodi ya mikopo(heslb)cheti cha matokeo cha F6 haki hitajiki, mbona kwenye ile form mwakahuu wanasema vyet vyote vya F4 & F6 vyote vinahitajika? msaada wadau
waliopendekeza kuwepo kwa bodi ya mikopo vyuo vikuu walikua na nia nzuri sana kuwasaidia watanzania kupata elimu ya juu kwa manufaa yao na jamii kwa ujumla. lakini kwa maoni yangu mimi sioni umhim...
Naomba mnisaidie wakuu
nina rafiki yangu nime hitimu nae kidato cha IV mwaka 2013 ila kwa bahati mbaya hajapata ufaulu wa kuridhisha.matokeo yake haya apa
kisw~B
eng~C
Civ~D
Bio~D
Geo~D...
Jamani kama kuna anayejua sababu za kuchelewa kwa mkopo kipindi hiki anifahamishe. Ilikuwa tupewe tangu katikati ya mwezi wa nne lakini paka sasa ni patupu bila taarifa yoyote.
Wakuu tangu tarehe 23 wale tunaoendelea kuomba mkopo kwa mwaka ujao inahitaj paswd.
Sasa hyo paswd ndo ngoma nzito.katika recovery ya paswd ndo usiseme.ambaye ameweza atwambie.
Habari wanajf.
kumekua na mijadala mingi sana kuhusu ni lugha gani inafaa kufundishia watoto mashuleni.malalamiko mengi sana yamekua yakilenga kua wanafunzi wanapo hama kutoka shule ya msingi...
Wakuu wahanga wenzangu tuliokosa ajira za uwalimu awamu ya kwanza natoka Tamisemi ya hapa Dar kwa information nilizopewa yatubidi tuwe wavumilivu kwasababu sijapewa matumaini yoyote labda...
Naomba kupata msaada kwa anaejua nini kinatakiwa kufanyika baada ya mwanafunzi kupata matokeo na yeye anataka kwenda kusomea ualimu... je upi ndiyo utaratibu, je unaanza mwezi ngani?
naonge kwa machungu sana kuona kwamba halmashauli ya jiji la mbeya walimu wapya mpaka leo hawajapata mishahara yao kama ilivyotegemewa hapo awali kama tanngazo la tamisemi lilivyotangazwa hapo...
wapenzi wana jamii forum naomba mnishauri nataka kusoma fani za afisa afya(environmental health officer)na afisa tiba(clinical officer) kote nimepata nafasi je mwenye uzoefu ipi fani bora na nzuri...
Ndg zangu waalimu,
Ni juzi tu tumesikia kwamba serikali imeandaa zaidi ya billioni 1 na mil 60 kwa ajili ya kuhakikisha Tundu lisu haungani na UKAWA katika jitihada zao za kulikomboa taifa hili...
Jamani naombeni msaada wanajamvi kwa Program Bsc of Computer engineering and Information Technonlogy tution fee halisi ni shilingi ngapi?Maana kwenye TCU guide book ya 2014/2015 ada ya hyo...