Naongea hivi kama muhanga wa suala la ajira za uwalimu, tokea yatangazwe majina ya uwalimu ni wiki 3 ivi zimepita na wahusika wakuu ni tamisemi kama wizara husika.Baada yakutangazwa aya majina...
ETI NI KWEL POST ZA KWENDA KIDATO CHA TANO ZIKO KARBU KUTOKA?
na ni jinsi gan wizara ya elimu inafanya selection.wanatumia wakuu wa shule au computer ndo zinachagua electronically,nijuze wana-jf
kwanza posho ya kujikimu haieleweki mikoa baadhi wamepewa za siku saba na nauli zao kwingine wamepewa za siku tatu nauli hawajapewa jingine baadhi ya mikoa walimu ngazi ya shahada waliokuwa hawana...
Jamani msaada, Nimeshindwa kupokelewa katika halimashauri fulani (jina nalihifadhi) kisa sina transcript nami nina provisional results ambayo ina matokeo yoote mpaka Overall GPA.
Wakati...
Toka mlivowapa pesa ya kujikim ya cku 4,cku ya tar 2/4 mpaka leo kimya,nauli zao hamjawapa na pesa yao ya cku 3...mnategemea waish vp hawa watumish wetu uku ugenin..?kuwen wastaarabu
Mimi ni graduate Bsc. Education nafanya kazi part-time katika shule moja hapa Mwanza.
Natafuta vijana wa O'Level na A'level wanaotaka tuition.
Wahi nafasi ni chache.
Nitafute: 0755 42 88 33
Nina mdogowangu alipata div.four ya 40 Ana c yakiswahil d ya English f ya mathematics na e ya hist, na geog.
Nisaidieni wazo asome nini nawapi? Jatakama ni intake yanext year nisawa.
Kureseat...
Naomba kujuzwa kwa yeyote anayefahamu je, tuna wasomi wangapi wenye ngazi ya udaktari wa falsafa (PHD) nchini Tanzania? Vipi kuhusu idadi ya Maprofesa wako wangapi? Orodha hiyo ijumuishe hata wale...
Habari za leo.
Nimatumaini yangu kuwa wote hamjambo. Naomba mnisaidie sentensi katika kingereza nikitaka kuuliza yafuatayo
Nataka kumuuliza baba yangu kuwa mimi ni wangapi kuzaliwa nitauliza je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.