Hi jf members?
Kuna mdogo alihitimu form six mwaka jana lakni hakuaply chuo, mwaka huu anataka afanye application, faculty ambayo anapenda ni LAW (LLB), je TCU watamchagua kwa haya matokeo?
NB...
They call the Third World the lazy mans purview; the sluggishly slothful and languorous prefecture. In this realm people are sleepy, dreamy, torpid, lethargic, and therefore indigenttotally...
Kwangu mimi naona Ardhi university ni chuo chenye course ambazo ni more marketable japo wengi hawazijui kama Land management,buildingbecinics,geomatics na archetecture
Naomba msaada kwa anayejua au anayesoma bachelor tajwa nahitaji jua kuhusu upatikanaji wa ajira na kama ni kujiajiri naweza kujiajiri katika nini na vp kuhusu ushindani wakati wa udahili sababu...
Habari wadau.
Nina mpango wa kuanza kusoma MBA mt. Meru university lakini mbona watu wanaponda saana hicho chuo?
Kwani ukiwa na masters je inatofautishwa kwa chuo ulichosoma au??
Msaada jamani...
Salaam wana Jf, salaam sana. Nimekuwa nikijichanganya mazungumzo na wasomi wetu na kuangalia nyendo zao za sasa, nilichoambulia ni masikitiko tu. Hivi inakuaje mtu hadi anagraduate hajapata hata...
wenzangu wa jamii forum nadhani mpo salama
naombeni mnisaidie kunipa muongozo wa kazi ninazo weza kupata na bs science degree ya IT na pay yake inaweza kurange vipi
Mimi ni mwalimu wa shule ya sec , new niko Wilaya ya Busega .Kama kuna mtu anataka tubadilishane kutoka Wilaya ya Misungwi kwenda Wilaya ya Busega call 0719103278
Samahani wakuu mim ni kijana niliye maliza form 4 mwaka jana 2013, sasa ninaipenda comb ya HGE napenda sana kusomea uchumi
Sasa kulingana na matokeo yangu Mathematics nimepata F, vp ninaweza...
Hivi GPA ya mwisho(unayoonekana kwenye cheti cha kuhitimu chuo) huwa wanachukua ya mwaka wa mwisho(wa nne/wa tatu) au huwa wanaanza kuhesabia kuanzia mwaka wa kwanza hadi wa mwisho then wanatafuta...
Samahani wakuu mim ni kijana niliye maliza form 4 mwaka jana 2013, sasa ninaipenda comb ya HGE napenda sana kusomea uchumi
Sasa kulingana na matokeo yangu Mathematics nimepata F, vp ninaweza...
Habari wakuu,
naomba kujuzwa anayefahamu sehemu wanayotoa mafunzo ya kareti kwa hapa Dar es salaam, mimi naishi Tegeta, na kama sehemu ikipatikana naomba kujuzwa pia kiasi cha hela kinacholipwa...
Hivi GPA ya mwisho(inayoonekana kwenye cheti cha kuhitimu chuo) huwa wanachukua ya mwaka wa mwisho(wa nne/wa tatu) au huwa wanaanza kuhesabia kuanzia mwaka wa kwanza hadi wa mwisho then wanatafuta...
Wakuu tusaidiane hapa kdg, mm nna mishe za kusoma sjuit arusha campus coz ya B.ed kwa mwaka 2014-2015.Sasa sijui masomo wanaanzaga mwez wa ngap na nimeapply kutoka chuon kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.