Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Salaam jf..., naomba msaada wa kujua ukweli kuhusu hizi course zinatolewa na vyuo vya nje.Nimepata admission ya kusoma masters degree on line.Mwenye ufahamu zaidi anisaidie maswali haya yanayo ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau kwa anayejua utaratibu wa utumaj maombi ualimu grade A 2014_2015 naomba anijuze pamoja na tarehe ya mwisho ya kupokea maombi!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Je wewe unasoma open university. Mzumbe university .udsm.ifm .Na je unamatatizo ya financial management na cost accounting.Basi mm nini mwl qualified ktk masomo hayo.Nina BBA accounting.MBA...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu! Kuna kijana amemaliza form 6 amekuja kuniomba ushauri kuwa asomee taaluma gani ambayo itamuwezesha kufanya kazi ikiwa mapato/malipo yanategemea na kujituma kwake/bidii...
0 Reactions
4 Replies
943 Views
Wana jukwaa naomba niwaulize mimi mdogo wangu alikua mgonjwa hivyo form iii akusoma vizuri alikua akisumbuliwa na ugonjwa wa moyo hivyo basi amekosa namba shuleni kwao ya kufanyia mtahani mwaka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habar wakubwa!kuna taasisi 1 inaitwa KAPADIA FOUNDATION ipo marekani,mmiliki ni mhindi anaeishi USA,wanadai kuwa wanafadhili wanafunzi maskini kuanzia diploma na kuendelea,so anayeifaham a2juze...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jnc ya kupata complimentary functions kwa kufoji.?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mwenyekujua scale za mishahara ya Tume ya vyuo vikuu, kuna ndugu yangu aliomba kazi hapo na sekta binafsi flani hajui aende wapi anauliza maslahi ya koja upande wa sekta binafsi keshajua bado huko...
0 Reactions
0 Replies
647 Views
Muhula wa kwanza wa masomo kwa kidato cha tano unaanza Julai. Lakini baadhi ya shule binafsi zimekwisha kufanya udahili, kudai kishika uchumba kinachofikia hadi shilingi 1,000,000 ambacho...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu nimetembelea baadhi ya vyuo, vimeshatoa matangazo ya watu kuapply lakin wanasema ni kupitia tcu, sasa ninachotaka kujua ni kuwa tcu wamesharuhusu watu kuanza kuapply? Msaada wenu tafadhali
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ninaomba msaada wa kujua shule za secondary bora katika mikoa ya Morogoro, Iringa, Mbeya, Arusha na Kilimanjaro. Natafuta kwa ajili ya mtoto wa kiume.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba mnijuze kama wizara ya elimu na ya afya zimetoa matangazo,na deadline ni lini kwa sababu mdogo wangu kapata 3.30 anaweza kupata nafasi kweli?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani kuna ukweli wowote kuwa mtu akiomba mkopo akaahirisha mwaka wa masomo, akija kuomba upya mkopo asahau tena
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za jioni wanajamii forum, naombeni mnisaidie hili swali langu. Modern education overemphasizes on cognitive learning theory over behavioural learning theory. discuss?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu yangu ana umri wa miaka 40, ameniomba ushauri wa kusoma, anataka kufanya mtihani wa six kama PC ili aende chuo kikuu. Kwa sasa yeye ni mjasiriamali na credit zake za O level ni hkl. Swali...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ndugu walimu wenzangu nilikuwa napendekeza tupge sensa ni wangapi tumekosa hizi ajira ili kama ifikapo tar.25/4/2014 kama majina yetu yatakuwa hayajatoka tuweze kwenda moja kwa moja mpaka TAMISEMI...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Wakubwa natafuta nafasi ya mdogo wangu wa kike chuo cha ualimu , naomba msaada kwa anayejua wapi na namna ya kuomba nafasi.
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Jamani mi nataka kujua eti mtu unapokuwa umeshasainisha barua zako za kubadilishana vituo pande zote kuna kibali unachoandikiwa na Ps wa DED kabla ya kwenda kwa RAS je kile kibali kile unapaswa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habar ya asubuh ndugu zangu.....jaman mwenye kufahamu kuhusu upatikanaji wa kazi ya ualimu ngazi ya stashahada na cheti(walimu wa vyuo hivi,government lakin)...anifahamishe tafadhali
0 Reactions
0 Replies
718 Views
Wakuu,kwa wale wanaojua kuhusiana na mitihani ya weledi ya bodi ya ugavi(procurements) naomba wanijuze, -kwa mtu aliyeishia kidato cha nne na ana matokeo ya daraja la tatu anaanza kwa kufanya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom