Ilikuwa mida ya saa nne asubuhi pale mwili wa marehemu jerome william pallanjo ulipoletwa freedom square ukipokewa na wanafunzi wenzake hasa wanadarasa lake la Bsc.agricultural economics n'...
Salaam zangu kwa wana wa jamii forum
swali langu ni eti mhitimu wa kidato cha nne anaweza kwenda kusomea urubani yani kuanzia basic mpaka afike kiwango cha kuweza kufanya practical
Najua huku wapo watu wenye kupata taarifa za uhakika,tafathal nijuzen ajira ya ualimu awamu ya pili yatatoka lini mana mwanzo nimekosekana,pls mwenye taarifa anijuze
wakuu naombeni mnipe info zaidi kuhusu ubora wa elimu inayotolewa, mazingira ya kusoma na ada zao zikoje mi nataka nipige dip ya clinical medicine Kwa matokeo yangu bios c chem c na phy d muda wa...
Kwa mtazamo wangu,elimu ya Tanzania sio elimu ya kujiajili mbali kuajiliwa hivyo basi hatuwezi kushindana na nchi mbali mbali katika nyanja ya maendeleo hususani katika sayansi na...
wakati walimu wengine wapya katika halmashauri nyingine kama ilemela,kigoma mjini,kakonko nk..wakiwa wamepew pesa ya kujikimu ya siku saba. Walimu wapya wa bukoba mjini wamepew pesa ya siku tano...
WIZARA YA AFYA JANA TAREHE 20/2/2012 IMETOA TANGAZO LA NAFASI ZA MASOMO MBALI MBALI NGAZI
Tangazo la kozi za Afya - 2012 Page 1
JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA
WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII...
Hello guys wana jf
naomba kupewa msaada kama kuna mtu anapafahamu kigoma-manicpal ya buhongwe
mim ni mwl.nimepangwa huko kikazi kama kuna mwl.ameshareport huko please naomba tuwasiliane...
Kama kunamtu yeyote ambaye anafahamu au anashughulikia masuala ya scholarship naomba anisaidie kwa kunipa maelekezo kupitia email yangu; aloycemsimbe@nokiamail.com
Wizara ya Elimu Tanzania, imekuwa ikichimba kaburi la kuizikia elimu kwa muda mrefu sana! kwa kutosikiliza madai ya walimu, kutozipatia shule vitabu mujarabu vya kiada na ziada, kutokujenga...
Hali ni mbaya saana hususan kwa mwaka wa pili, course kama THT 453 na THT 454 mambo hayaeleweki,kama imefikia hatua ya kuchukua waalimu wa sekondari kufundisha chuo kikuu mbona majanga? kuna...
Hi, wana Jamii Forum
Natumainia wengi wetu tunaendelea na jukumu hili la ujengaji wa taifa. Kuna lugha zimekuwa zikitumika sana humu kwenye forum hii kwamba wale GRADUATE wenye first and upper...
E=35-44,D=45-54,C=55-64,B=65-74,A=75-84,A+=85-100.Kama nilivyokua nimesema ktk thread yangu ya awali kuwa alama "S" imefutwa.Lakin point za kujiunga vyuo vikuu zipo vilevile...
Walimu wa masomo yafuatayo wanaitajika kwa haraka sana. Civics , History , Geography,Kiswahili, Mathematics, Physics na Chemistry .Kituo cha kazi kipo manispaa ya Bukoba mkoani Kagera . Shule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.