Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Samahani wakuu kama kuna mtu anamfahamu mwl paul mwita mara ya mwisho alikuwa kahama.0788628489.namb ngu
0 Reactions
0 Replies
741 Views
wadau naombeni msaada kuhusu jinsi ya kupata udhamini wa wizara katika kile chuo, nimejaza application form yao, kwenye sponsorship nimechagua government, sasa wasiwasi wangu uko hapa, isije ikawa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau wa JF, Naomba kuuliza je ninapotaka kufahamu kuhusu takwimu mbalimbali za utalii Tanzania nitazipataje? Hivi sasa nipo nje ya nchi kimasomo na takwimu hizo ni kwa ajili ya research. Hapa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Mimi natarajia kumaliza kidato cha sita mwezi ujao, napenda nichukue Degree ya Economics. Kwa hiyo naombeni mnieleze Faida za mtu atakayehitimu katika fani hiyo, changamoto...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
JAMANI SHAHADA HIZI NI BASI TU. Kuna watu walikuwa wanasoma kwa nguvu zote, wakati mwingine hata walilazimika kuondoka madarasani saa nane mpaka saa tisa usiku. Watu hawa walikuwa wanachukuwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mi ni mwalimu mpya nmepangiwa Mtwara vijijini,naomba mwenye ufahamu ya bei ya nauli kutoka Dar to Mtwara.
0 Reactions
19 Replies
14K Views
Naomba mwenye kujua vigezo wanavyohitaji chuo cha madin dodoma ili nimpeleke mdogo wangu amemaliza form four mwaka jana
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Admission into Ordinary Diploma and Advanced Diploma Programmes 2014/2015 Applications are invited from qualified candidates who completed form four or form six or candidates with equivalent...
0 Reactions
7 Replies
13K Views
Jamani mimi nilkua naomba kufahamishwa kuhusu madaraja na alama zitakazotumika kupanga matokeo kwa form six wa mwaka 2014.Je ni alama gan zita range kutoka A,B,C,D,E,S na F.Na nakumbuka hotuba ya...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Walimu wapya wa shule za sekondari katika manispaa ya Bukoba wamekusanyika hapa kwa mkuu wa mkoa wa Kagera katika harakati za kudai fedha zao za kujikimu na nauli baada ya manispaa ya Bukoba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Majina ya waalim wapya yamewekwa kwenye website ya Tamisemi ila ni kwa SJUT bado hawajaweka wa diploma na certificate ambao hawajapangiwa .
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Samahani wakuu nipo mbulu manyara kwa ajira mpya nataka kurudi dodoma.naomba kubadilishana contact 0788628489 au nipm.
0 Reactions
0 Replies
920 Views
Ni jambo la kustaajabu kuwa tangu kuripoti katika halmashauri ya manispaa ya Bukoba mkoani Kagera tarehe1.04.2014 hadi leo hii walimu wapya hatujalipwa fedha yoyote na uongozi wa manispaa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Inakuajeeeeeeeeeeeee! Samahani sana wana jf kwa hili manake kichwa kinauma. Swali langu ni Wanachuo wote wa vyuo vya private wanaosomea faculty za Afya eti huwa wakimaliza masomo either kwa...
0 Reactions
0 Replies
662 Views
Muhas wametoa nafasi za second application kwa diploma na advanced diploma..kupata form hizo ingia www.muhas.ac.tz.
1 Reactions
5 Replies
6K Views
Jamani naomba kujua kama Faculty hii ni ngumu kwa wale ambao hatujasoma Book keepng Olevel wala Adv level.. Kuna ugumu wowote kuikwaa faculty hii.. 2po IFM pamoja..
1 Reactions
53 Replies
5K Views
Naongea jambo hili kwa uchungu mkubwa sana.Takribani siku ya tatu sasa tangu majina ya walimu wapya yatangazwe,cha ajabu majina yetu ya sjut-dom(shahada) hayapo kwenye orodha kama 300 na...
0 Reactions
58 Replies
7K Views
mi nilitaka kujua ni vitabu gan ni vizur kutumia advance kwenye hiki kipindi kwani vitabu vingne vpo ila havko relevant na mtaala wa advance ,nisaidieni kama ukinipatia title na mtunz wa hicho...
0 Reactions
0 Replies
986 Views
Ndg walimu ifikapo mwakani mwezi wa 8,madeni mengi ya walimu yatakuwa yamelipwa wakati hyo pesa imeshuka dhamani.Zinduka mwalimu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Eti jamani naonba kama unaelewa unifahamishe. Je kuna uwezekano wa kubadilika tarehe na miezi ya kuingia vyuoni??? Au itakuwa ni vilevilw mwezi wa 10.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…