Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari zenu wana jukwaa! leo tutoke kitofauti kidogo! tutazame hasa nini sabau hasa ya ongezeko kubwa la watoto wetu kufeli mitihani yao ngazi tofauti tofauti katika elimu? wana jf, kuna sababu...
3 Reactions
5 Replies
3K Views
Mimi ni kijana wa kiume, nina umri wa miaka 22, natoka ktk familia ya kawaida ya kitanzania, ninasoma kdt cha 6 mchepuo wa PCM. Ninatamani sana kusoma kozi ya 'aeronautics'. Nilifuatilia kozi...
0 Reactions
27 Replies
8K Views
Inasemekana kuwa mtihani wa darasa la saba mikoa ya Njombe na Iringa umerudiwa kusahihishwa na kupata shule mpya zinazoongoza badala ya shule ya BAKITA ni St.Benedict.Je inamaana njia zakisasa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hivi karibuni kumekua na ombwe la kuajiri walimu toka nchi jirani ya kenya katika shule binafsi kwa mantiki ya kufundisha lugha ya kingereza kwa ufasaha. Shule hizi zimekua zikiwapa ajira walimu...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Bado nawaombeni mwl kutoka mbeya jiji au rungwe tubadilishane vituo vya kazi aje korogwe mji 0752588522
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi mimi nipo mbozi S/M IPANZYA,natafuta anayefundisha wilaya ya MUFINDI IRINGA sehemu yoyote aliye tayari anipigie 0755814442
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimejaribu kupitia articles chache zikiwemo hizi za Josephat M. Rugemalira, Line Kjølstad Gran, E Sa, Casmir M. Rubagumya, na nyingine kadhaa, lakini nikaoanisha na tunayoshuhudia katika ulimwengu...
11 Reactions
149 Replies
17K Views
Naomba mnisaidie kama kuna mtu anajua jinsi ya kusajili chuo cha mafunzo ya redcross
0 Reactions
0 Replies
877 Views
kwa mwalimu yeyote anayetaka kubadilushana kituo daraja IIIA kutoka dodoma kuja Iringa mufindi tuwasiliane mawacliano ni 0755403912,0757695547,0653534856
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna tetesi zimeenea ya kwamba, serekali imesema kuwa wanafunzi wote watakaofeli mtihani wa kidato cha pili mwaka huu, waruhusiwe kuingia kidato cha tatu huku wakipewa kozi maalum kwa ajili ya...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Yametoka ila kwa amri ya wizara wote wenye wastani wa 20% nakuendelea watajiunga na kidato cha tatu. Machali mtaani wanashangweka tu na kudai ni lazima wa BRN mpaka university
0 Reactions
9 Replies
9K Views
habari zenu wadau msaada kati ya civil engineering na architecture which is the most competent course help plz
0 Reactions
0 Replies
975 Views
Sera ya waziri mkuu wa Malaysia ilikuwa nzuri hususan katika mandhari ya Malaysia,mpaka kufikia anatangaza mpango wake huo wa kuikomboa nchi yake kimaendeleo,utafiti umefanywa wa kutosha,jopo la...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau mimi nimeshangazwa sana kitendo cha Dr kikwete kumtoa Mulugo na kumuacha kawambwa! Hivi Mulugo si alikuwa anamsaidia kawambwa au sijui maana ya naibu waziri? Mbona nyalandu apande cheo...
0 Reactions
0 Replies
843 Views
Ndugu wanaJF naombeni tafsiri ya swali hii na mniambie linahitaji nini, "It suffices to argue that the era of industrial revolution in Europe especially Britain was a prosperous one among the...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
mwanzo Habari Kitaifa Kitaifa Serikali yawabeba waliofeli kidato cha pili Share bookmark Print Email...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Jamani napenda kujua kuna diploma za corse zip zinazo tolewa udom
0 Reactions
4 Replies
1K Views
jamani nilikua naulizia wapi nitakopa pata results za form 2 online
0 Reactions
0 Replies
790 Views
Kwa waletulio appeal mkopo heslb tutajuaje kuwa maombi yetu yamekubaliwa.
0 Reactions
4 Replies
979 Views
SABABU TANO ZA EDWARD LOWASSA KUWA RAISI 2015, HIZI NDIZO SIFA ZAKE Niliwahi kutoa ahadi kuwa nitaweka sababu nzito Tano ambazo mimi binafsi naziona zinafaa sana kumtathmini Edward Lowasa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…