Jamani hapa Chuo kikuu cha RUCO Iringa kuna lecturer fataki,anatembea ovyo na mabinti,anawafelisha wanaomkataa,anachuki na wanadarasa,TUPO KWENYE MKAKATI WA KUMTOA.HATUMTAKI.
Zaidi ya wanafunzi 500 wa udsm wamedisco ktk mwaka huu wa masomo huku wengine zaidi ya 9000 wakitakiwa kufanya mitihani ya supplementary.mpashaji wangu wa habari,amenidadavulia idadi ya waliodisco...
Hivi kuna ukweli kwamba mtu akiwa amepata chuo hajaripoti na alikuwa amepata mkopo100%.kwamba akija kuapply mwakani asahau kupata mkopo tena. MSAADA WADAU
For people who are in Dar es Salaam and wish to study Mathematics at home, this goes for;
01. A-level Mathematics/Pure Maths.
02. O-level Mathematics/BAM
03. QTs and all who take Maths related...
Aliyewahi kuwa makamu mkuu wa kwanza wa chuo kikuu cha Sokoine cha kilimo (SUA), chuo kikuu cha Dar es salaam, chuo kikuu huria cha Tanzania na Provost wa chuo kikuu cha Tumaini tawi la Dar es...
Nimechaguliwa hii programe ila cjui chochote na prospectus ya udom inazingua. Naomba ufafanuzi kuhusu bcom in finance course gani ziko ndani yake, soko la udom kwenye hii programe na ukimaliza...
Mwezi uliopita (Mwezi October) walimu wanaofanya kazi wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro walichelewa kupata mishahara kwa wakati waliouzoea. Kwa kawaida huwa wanapata mshahara kati ya tarehe 25...
The top 10 most-educated countries are:
1. Canada
2. Israel
3. Japan
4. United States
5. New Zealand
6. South Korea
7. United Kingdom
8. Finland
9. Australia
10. Ireland
chanzo. And the...
Ndugu wana JF. Napenda kufahamu muundo wa kamati ya kuchambua barua za watumishi wanaohama mikoani. Kamati hiyo huundwa na watu wangapi na wenye nyadhifa zipi serikalini? Nawasilisha.
Habarii wana jamvi..Leo nimeona tujalibu kufunguana mawazo juu ya dalaja C vyuo vikuu Tz. Hili suala tunaliona dogo lakini linamghalimu mtu mmoja mjoja huko mtaani, Wakati tukipitapita na bahasha...
Ndugu zangu heshima kwenu,
naomba kujuzwa wizara ya elimu imepewa asilimia ngapi ya burget ya tanzania?
Naomba pia kama kunaanaejua wizara iliyopata asilimia kubwa zaidi ya zote.
Nawasilisha.
Tuko hapa Halle (wanafunzi wa Shahada ya Uzamili wa UDSM) Ujerumani katika Tamasha la Wasomi mbalimbali.Katika Tamasha hili,Wahadhiri na wanafunzi kutoka UDSM wamefanya 'presentations' katika mada...
Naomba msaada wanajamvi, hasa wazazi wenzangu. Ninatafuta Nursery School/Preschool nzuri kwa ajili ya mtoto wangu wa miaka miwili na nusu (English medium) Ninaishi Mbezi Beach - DSM. Ninatanguliza...
heshima kwenu wanajamiiforums! Nina ombi moja kutoka kwenu. Mimi ni mwanafunzi 2nd year katika chuo kimoja jijini dsm. Nikiwa natarajia kufanya project 3rd year naomba mnieleze jinsi ya...