Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ivi serikali inafikiria nini kuajiri walimu wapya waliohitimu mafunzo ya ualimu kutoka mwezi wa tano hadi Leo na huku ikilalamika upungufu wa walimu wakati wataalum hawa wapo mtaani wakiwa hawana...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wana jamvi naomba msaada ni jinsi gani ya kuweka picha ktk habari, mfano matukio ya ajali, mikutano, au picha ya mtu.elimu haina mwisho, natumia simu (application)
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu watanzania, jitahidi kugawa elimu yako ktk sehemu kuu tatu; (i) kazi za mikono; eneo hili ni vizuri mno, ukafanya kwa kutumia elimu uliopata darasani na si nadharia tu, hapa inamaana hivi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Napenda tenah kuchukua fursa hii kukupongeza ewe loan officer wa sua,brother sam,kwa kazi kubwa unayofanya ya kujitoa kusaidia matatzo ya wanafunzi,nikiwa mmoja ya wanafunzi uliowasaidia nashukuru...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
msaada wakuu je kma nimekosea kujaza fomu ya kuappeal ninaweza kuiedit kabla cja iprint msaaada tafadhal
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kwa kuangalia uainishaji wa bahari za ushairi kwa mujibu wa Lamu na Mombasa jadili mazuri na mapungufu ya uainishaji huo.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
nahitaji kuedit information ambazo nimezisubmit kimakosa sijui nifanyeje naomba msaada wenu wa hali na mali kwa haraka
0 Reactions
6 Replies
1K Views
TANGAZO MSAKAMALI INSTITUTE OF BUSINESS STUDIES AND TECHNOLOGY (MIBST) Nafasi za masomo kwa mwaka 2014 Chuo kinatangaza nafasi za masomo ya uhasibu, maendeleo ya jamii na utawala...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Elimu yangu ni form four nimemaliza 2008 kutokana na ukata sikuweza kujiendeleza na kisomo ila kwa sasa nimeona kuwa kuna upungufu mkubwa sana kwa walimu shule za msingi nimeona nijaribu tena...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana jamii ....kuhusu Ku appeal loan inakuaje inaleta only personal details? Hailet sehem zngne za kujaza,naomba kujua kuna tatizo gani au nn kinaendlea...
0 Reactions
0 Replies
706 Views
Tafadhar jaman nlikuwa naomba kujua kuhusu hii course ya intermediate accounting ipoje na ugumu wake pia na nifanye strategies gan kuhakikisha nafaulu vzur hii course. Asanten
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa kuhusu grade za watahiniwa binafsi(private candidates) je zinahesabiwa sawa na school candidates au kunautofauti katika ugawaji wa Hizo alama.
0 Reactions
0 Replies
773 Views
Wataalamu wa luga naombeni msaada wa maana ya neno Administrating na Managing, halafu kama zipo tofauti niambie utofauti wa mwanachuo anayesoma IFM kozi iitwayo Bachelor of Tax Management na huyu...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu,anaitwa Luteni Ntwa,alikuwa officer in command wa F Coy na mp commander.Amefariki dunia kwa maradhi ya ini usiku wa kuamkia leo hospitali ya Ocean Road D`salaam.Waliokuwa kikosi cha jeshi...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Napenda kujua kama kuna bodi au org yoyote inayotoa mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu mbali na HESLB
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Napenda kutoa pongezi ya dhati kwa pm sua,kwa jitihada anazofanya kusaidia wanafunzi mbalimbali wenye matatizo mfano-shida ya mkopo na walikuwa na shda ya kuhamishwa course....
0 Reactions
20 Replies
3K Views
kwa jinsi #OXFORD wanavyozdi kutawala Soko la Vitabu, O-level Wanazid kuumia hasa #KATA , kama ifuatavyo 1. vitabu vya O-level kutengenezwa na #wazungu , yaani wao wamekuwa wakifananisha...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Naomba msaada wa majibu kuhusu hili swali! "Ufanano kati ya fonetiki na fonolojia."
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Uongozi wa shule ya Alfarouq Islamic Seminary ya Tabata Bima Dar es Salaam,unatangaza nafasi za udhamini wa masomo ya kidato cha kwanza 2014,kwa wanafunzi wa KIUME waliomaliza darasa la saba mwaka...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
msaada jamani, naweza kupata wapi au mtu anayeweza kutoa maana sahihi ya sanaa.
0 Reactions
6 Replies
22K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…