Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Watanzania wenzangu hasa wadau wa elimu nchini habari zenu.......! Awali ya yote nipende kumshukuru mwenyezi mungu muweza wa yote kwa kunijalia afya njema, amani moyoni ili kuwaandikia waraka huu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habarini wana jf, naomben Kufahamishwa siku hz utaratbu wa TCU na hesleb kutoa mikopo kwa wanaojiendeleza vyuo vikuu ukoje? maana nilisikia hapewi mikopo nowdays!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wana jukwaa. Napenda kufahamishwa endapo mtumishi wa umma amehama mkoa 1 na kwenda mkoa mwingine kufanya kazi ileile. Je, endapo siku za nyuma alikuwa na madai (mfano malimbikizo ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hawa jamaa mbona wanachelewesha joining instruction? Yeyote mwenye taarifa msaada tafadhali muda unapotea.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
matokeo ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya afya tayari yametoka leo mchana kwa maelezo zaidi tembelea website yao ujionee.
0 Reactions
52 Replies
25K Views
CREATE a brave new world for yourself OPEN your mouth and speak your truth UNMASK bullies and cowards REPEL fear ACKNOWLEDGE your own inner strength GET into action EMBRACE faith as your source...
1 Reactions
1 Replies
846 Views
Wakuu, Kwa hakika tumetoka shule tofauti tofauti baina yetu kutoka sehemu mbali mbali za hapa kwetu Tanzania na hata kwa wale wenzetu waliopata neema ya kusoma nchi za nje tangu shule za msingi...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Nashangaa wiki ya tatu hii boom bado,wengine tumetoka nyumbani mzazi anajua tunapewa boom,leo hii wiki ya 3 bado hamjatupa,mnategemea nini?au mnataka mtudhulumu?au mnaingiza faida huko bank?mbona...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
ndugu anaeweza kunisaidia vitabu vya electrical and electronics engineering modules; 1.industrial electronics 2.electrical installation 3.electrical instrumentation- e-mail yangu andrewkwana@gmail.com
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Help please!Where can I download a dictionary whose words are transcribed phonetically either offline or online with Nokia Asha 210 dual SIM?
0 Reactions
0 Replies
936 Views
habarini wanajamvi. naombeni km kuna mtu awezae kunisaidia namba ya simu ya prof mlacha wa udom. natanguliza shukran
0 Reactions
0 Replies
573 Views
Ndugu wana JF. Napenda kufahamu kwa nini maafisa elimu wengi waliokabidhiwa ofisi wilayani na kwenye miji hapenda kunyanyasa na kuwaonea walimu. Kwa mfano mwalimu anaweza kumpelekea barua ili...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
2pia koment neno moja tu,kuhusiana na kozi tajwa hapo juu
0 Reactions
7 Replies
2K Views
anayefahamu kuhusu habari hizo naomba anisaidie kwa maana kuna baadhi ya shule wameshaanza kutumia hizo grade mpya!
0 Reactions
5 Replies
5K Views
habar jf, naomba kujuzwa na hili. Wale tulioambiwa wakarudie kutuma maombi ya mkopo, mbona nikifungua hilo web yao haifunguki. Nimejaribu zaidi ya mara 5 kwa siku tano. Nini hasa tatzo
0 Reactions
0 Replies
971 Views
A variety of factors affects the brain drain of health care workers Push factors endogenous to the healthcare system • Low remuneration levels • Work-related risks, such as exposure to...
0 Reactions
0 Replies
617 Views
iv kama unabachelor ya nursing unaweza kuingia MD?
0 Reactions
3 Replies
925 Views
Mi ni mwanachuo mwaka wa kwanza na shida ya kujua kati ya laptop aina izi yopi unanishauri nichukue kulingana na uzuii wake HP, TOSHIBA, DELL, ALCER. Samahanin kwa usumbufu wana Jf.
0 Reactions
1 Replies
812 Views
Msaada wenu wa carrier opportunities kwa hii kozi
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…