jaman hv hz SFR je hizo pesa 2ta pewa cc au chuo,na je hizo kaz yake hasa n nini? coz me cjaelewa bado na mbona wengine hawajapewa mfano wa UDSM-BAED,naomben ufafanuz.
Makadirio bajeti iliyopita ilikuwa trilioni 15 kwanini serikali haikutenga angalau trilioni 1 kwa ajili ya mikopo ili vijana wetu wasome waje kulitumikia taifa kwa roho safi maana limewajali...
Kama wewe ni msomi na unapenda kujua mambo mengi yakisomi hebu pitia hii link hapo chini,Hakika itakusaidia kujua mambo mengi kama
1)Utaelekezwa namna yakuandika BUSSINESS PLAN
2)Namna yakuandika...
Jamani wanajamii utaratibu huu unaofanyika katika chuo cha UDOM siyo.
Katika kwenda kuchukua vyeti hapo chuoni kuna tatizo ambalo limekuwa ni kero ambapo unapokwenda kuchukua cheti unaambia...
jaman eti hela ya field pract and trainings huwa inatofautiana coz kuna watu wana 620000 na mimi nina 130000 yani sielewi wanaangalia kigezo gan kukupa hii hela!!!??
Kama nlivosema hapo juu mi napata utata kuhusu hostel za pale chole je kuna list wametoa ambayo ina majina ya waliochaguliwa kukaa pale ? Mbona wakati wakuchukua admission letter hatukuambiwa...
Mkurugenzi akijibu maswali ya watu waliofka kuhoji kwa nini wamekosa mkopo,amewajibu "WALIOPATA WAMEPATA NA WALIOKOSA HAWATAPATA"Cha kuwapa moyo amewaambia wakate rufaa na wasubiri majibu ndani ya...
Kwanza nimshukuru Mungu kwa kunipatia bahati ya kupata Mkopo toka HESLB.Ila naungana na ndugu zangu walokosa.Wagegawa 50% kwa wote wenye sifa za kupata mikopo.Isipokuwa Madaktari wangepata 70% ili...
Jamani siku hizi ukiwa SUA kupata degree si lazima ukomae bali kama una mzigo wa kueleweka basi unapata (namaanisha pesa).Kuna lecture moja aliyekuwa anafundisha kozi yenye code EDM 304 aliwaomba...
Dar es Salaam. The Higher
Education Students Loan
Board (HESLB) plans to
spend Sh325 billion in loan
disbursement to students
in the 2013/14 academic
year.
About 62,000 students,
32,000...
Hivi hii jumuiya ya vyuo vikuu tanzania inafanya kitu gani mpaka sasa hatujaskia lolote kutoka kwao kama wanafuatilia suala la waliokosa mkopo ama na wao ndo kwa kuwa wanaingia kwenye bodi...