Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

je wajua kuwa wanafunzi wa first year waliopata neema ya HELB Unatakiwa ufungue account ya benk kata ya matawi yafuatayo CRDB,NBC & NMB Ila swali je ni lipi kati ya haya matawi ni nzuri zaidi na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
jaman hii ndiyo habari ya bodi ya mkopo sasa...kama unajua umeandikiwa ''not secured means...no loan''...haya imekula kwetu Nipo bodi hapa na watu ni wengi na sioni mustakabali wowote
0 Reactions
23 Replies
3K Views
habari..nimefika hapo ofisi ya mkopo tangia saa kumi na mbili na nusu asubuhi....ila daah hadi sasa no service yaan...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
huu ndio wakati wakufanya maamuzi kati ya kuvaa gwanda au kupiga kipapa au vipendo chagua moja kusuka au kunyoa,chagua moja unga wa ndele au rutuba
1 Reactions
6 Replies
1K Views
msaada jinsi ya kuhama course college moja kwenda nyingine
0 Reactions
0 Replies
894 Views
Msaada, Ndugu yangu amefanikiwa kupata schoolarship ya commonwealth dakika za majeruhi. Shule inaanza 1/10/2013. Leo ndio amepata all the docs kwa ajili ya application ya Visa. Nimefahamu kwamba...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
nimechaguliwa bsc in geology coNas nihitaji kwenda bcom in Acc udbs msaada plz
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Guys naomba niulize,,, hvi hayo majina ni wote walioomba mkopo au ni wale first year tu... maana kama mimi ndo naingia 2nd yr lakin ndo nimeomba kwa mara ya kwanza mkopo... so cjajua lile neno...
0 Reactions
0 Replies
819 Views
Jana nilikuwa naidurusu website ya udom! Nikakuta tangazo ati usipolipa ada na direct cost mpaka 30 sept, hautafanyiwa usajiri tareh 12/10, Sijaelewa hii imekaa vp. Yeyote mwenye ufahamu wa hili...
0 Reactions
3 Replies
890 Views
naomba msaada hela zote wameniwekea meals and accomodation tuition fee lakini field practical wameweka 0
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu!naomba msaada kwa aliyeweza kufungua adm letters za UDOM,mimi nimejaribu kufuata maelekezo kama walivyoelekeza kwa kuingiza index no.ya form 4 kama username na surname kwaherufi...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Nimesikitika sana kw idadi kubwa ya wanafunz wapya wa vyuo vikuu kukosa mikopo mwaka huu ni kweli kuwa isingekuwa rahisi watu wote kupata lakini kwa idadi ya waliokosa inatisha mwaka huu. Lawama...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
naomba kuangaliziwa hii namba kua nimepata loan au vp tafadhali S0419/0046/2010
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nimefanya mtihan mwaka jana form 4 na niliambulia B/KEEPING- D COMMERCE- D BIOLOGY - D B.MATHS - C nime0mba Chuo nilitaka kusoma Account nimekosa sijafahamu hadi n0w nifanye nini...
0 Reactions
2 Replies
826 Views
Mimi Ni Mwalim Wa Sekondari Manispaa Temeke Masomo Ya Arts Natafuta Mwl Wa Kubadilishana Nae Toka Ilala,kwa Anaehitaji Tuwasiliane Kwa E_mail:wycliffe181@gmail.Com
0 Reactions
0 Replies
912 Views
Mwanafunz (ke) wa mwaka wa kwanza koz ya (B.V.M) ajinyonga, japo kisa hakijajulikana hivyo tutazid kujuzana wanajamiif, Duh R.I.P dada yetu,
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Mimi ni miongoni kati ya wale tuliandikiwa huo ujumbe sasa sisi ndio tumekosa mkopo au kuna awamu ya pili maana kama hamna tena wengine ndoto zetu zinaishia apa....!
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Shule ya sekondari kirumba ilemela mwanza imeshinda katika uandishi wa insha ya Utalii.Washindi wote watatu wametoka kirumba sekondari ambayo ni shule ya Kata.Waziri Nyarandu alikuwepo katika...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nikiangalia kwa uzoefu wangu ktk suala hili la mikopo, naona wazi kuwa HESLB huwa haitupi kipaumbele sana watu wa diploma japokukuwa idadi yetu huwa ni ndogo ukilinganisha na wale wa kidato cha...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hivi tulio andikiwa "not secured for loan" it means hadi boom tunakosa au... Kwa mwenye uelewa atusaidie jamani kufafanua....
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…