Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Toa tathmin kwenye hii kozi ubora na ubaya wake!
0 Reactions
9 Replies
1K Views
kwa anaejua location ya chuo cha st.joseph campus ya arusha,mazingira yake,upatikanaji wa room za kupanga pamoja na social services kama zipo.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waungwana naombeni msaada mdogowangu kachaguliwa kozi hii vipi ndugu zangu katika maisha ya kibongo anaweza ikamfaa,sina maarifa kuhusu kozi za eng. please.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna habari inayovuma kua kuna wimbi kubwa la ubakaji kwenye kambi za(ya) mafunzo za(ya) JKT kwa wnafunzi waliohitimu KIDATO CHA SITA wanaojiunga kwenye kambi hizo kwa visingizio vya KUWAFUNZA...
0 Reactions
81 Replies
9K Views
naomba kwa yeyote aliye na majina ya waliohamia ECKERNFODE TANGA UNIVERSITY 2013/14 au atakayezipata popote pale anipigie 0685733122 niko porini jamani
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema mzigo tayari umeshapakuliwa(watu wa IT ndio wanaufeed na kuutengenezea program),kwa haraka haraka mchanganuo wa loan hupo hivi.1.Md,vet,civil=wamekula...
3 Reactions
61 Replies
8K Views
OK inawezeka ulikuwa mdau wa hzo komb au laa we changia ucjal cha muhmu cc kujua ukwel et kat ya PCM &PCB unahis nan alikuwa serious sana na anapiga misuli mirefu lakini anaongoza kwa kukosa...
0 Reactions
41 Replies
9K Views
Jaman kwa anayejua chuo hiki wanaanza masomo lini msaada plz
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nimechaguliwa bsc in chemistry udsm lakni ningependa kusoma fisheries and aquaculture je kuna uwezekano wa kubadili course? Vp kuhusu soko la ajira la hii course naombeni msaada tafadhali!
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nimebaarikiwa kujua vitu vingi xana kuhusiana na sekta ya elimu na taasisi zake,mie n kijana mdogo bt am xo updated,xo ask me anythng kupata more info about selection,mkopo etc. Via->...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
jamani wadau naomba mnitajie baadhi ya sehemu unazoweza kuajiriwa baada ya kumaliza hiyo course
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wadau naomba mnijuze juu ya hik kitabu "ELEMENTARY MATHEMATICS FOR ECONOMIST" by Caroline Dinwiddy, kiko poa au mizinguo
0 Reactions
1 Replies
869 Views
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa kujiuzulu kwa kushindwa kulipa madeni ya walimu nchini. Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana pia...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
jaman watoto wa mwantimwa mpo humu ndani,embu tukumbushane huku hapa na pale kule
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau, naomba msaada wenu kwa wale wenye ufahamu wa kutosha kuhusu bodi ya ugavi na manunuzi (psptb), kwa mtu mwenye diploma ya manunuzi na anayesoma Business Administration General (NTA level 8)...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
niaje jamani hapo loan ,,napataga jamani maana hata sijielewwi
0 Reactions
3 Replies
907 Views
Kwa wale ambao tuna endelea kuwait 3rd round section,wametumbia tuwe wavumilivu kwani tuta pewa taarifa kuhusu selection,kama vp tuendele kupena taarifa kuhusu mkopo na 3rd selection
0 Reactions
2 Replies
1K Views
1.Wadau nauliza nitajieni kwa kiingereza nataka kuipanda,na itachukua mda gani hadi kufika kimo cha futi 5 2.Pili kuna miti inaitwa Royal Palm inachukua mda gani hadi kufikia futi 6? Mnijuze...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
naomba mnijuze pathology inasomwa na madaktari tu ama mtu yeyote anayesoma afya? Au kama unajua kati ya hizi: phamarcy, nursing na medical labolatory, fucult ip wanasoma pathology?.
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Kwa wale wa teku ni lazima mwk wa kwnza wote wakae hostels au waweza kupanga nje? Naomba msaada wako uliye<unaye>soma teku!!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…