Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

naombeni wana jf mnijuze ipi kati ya course ya diploma in dental tech na diploma in clinical medicine ni nzuri kwa vigezo hivi 1)maslahi 2)ajira 3)uwezekano mkubwa wa kujiajir mwenyew kutokana na...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Eti wakuu . .kati ya hizi mbili bcom of a/c ya udom na a/c ya vyuo vingine vya bussines. Kip bora
0 Reactions
1 Replies
2K Views
mdogo wangu kamaliza darasa la saba natafuta shule ya international sekondari hapa dsm wilaya kinondoni kumuanzisha pre form one iwe boarding ,gharama isizidi milion 2,msaada kama kutakuwa na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
oya eti registration na medical examination form za udom nitazipata wap???????????
0 Reactions
1 Replies
832 Views
jamani naomba msaada wenu kwa wale ambao mmewahi kufanya au mnaofanya kazi bandarini, mi nimechaguliwa NIT course ya PROCUREMENT AND LOGISTICS, vp course hii naweza kuajiriwa bandarini? au kupiga...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
NIMATUMAIN YANGU WANAJAMII WOTE NI WAZIMA WA AFYA NJEMA. Ama baada ya salamu, dhumuni la kuja jukwaani ni kuwaarifu wale wanaotarajia kujiunga na chuo cha IFM na vyuo jirani kwamba Nafasi za...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hi Jf? Any one who can concretely describe these two courses; BACHELOR OF ARTS WITH EDUCATION vs BACHELOR OF ARTS IN EDUCATION! Description should be based on the differences,similarity and...
0 Reactions
6 Replies
823 Views
Wadau kwanza najua hii post imewashtua wengi but ndo hali halisi iliyonitokea mwanzenu, mimi ni mwanafunzi mwaka wa kwanza hapa sua.nilipofika nilijua kuwa life la chuo ni kula bata nikawa...
2 Reactions
56 Replies
6K Views
mambo ya heslb kimnya hamna cha tetesi wala news alert. bora kusubiri halafu upewe mkopo kuliko kuwahi kutoka alafu unyimwe "huu ni wangu mtazamo wasomi msijenge chuki" na hata na Mtaalam1
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Kweli nimeamini ule msemo wa ndugu na jamaa wa kitaani..!! "SUA IS NOT AN EASY AN EASY THING ".... due to the following reason - Lecture 1 full masaa 4 Yaliyoshiba..hakuna hata muda wa kunywa...
0 Reactions
51 Replies
5K Views
Kuna jamangu umejichanganya kuomba koz icyo & mkopo kampala unv koz social adm ada milion2 anataka BAEd anaweza badl?
0 Reactions
1 Replies
899 Views
eti jaman nisaidieni.bodi ikikupa 0% je bumu la meal allowance unapata?au zte unakosa?
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Wakubwa naomben mwenye instruction y st joseph college of IT anitumie email romanmatau@gmail.com
0 Reactions
0 Replies
804 Views
Wandugu nimekutana na hii kitu kwa wale waliomaliza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam 2013. Ni tarehe, mchanganuo na taratibu za mahafali: Tuanze kuandaa ukumbi, mapilau nk. Tuandae pesa za majoho na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari kutoka kwa mdau wangu wa kuaminika ambaye pia ni muajiriwa katika kitengo flani humohumo wizarani ananitanabaisha kwamba majina ya waliochaguliwa kujiunga na kada mbalimbali kupitia wizara...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Hii ni michango kwa undergraduate wote: [i]Tuition fee-look on guide book accordng to ur course [ii]Registration -5,000/= [iii]Exam fee-20,000/= [iv]Graduation -10,000/=(once) [v]Identity...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Admission Letters for Selected First year students for academic year 2013/2014 are available on the following link Admission Letters Please make sure you read the Instructions careful on how to...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Itakua n Yote Ada Au n Possible Loan Pekee Yake ?hebu N Juzeni Elimu Bahari
0 Reactions
15 Replies
2K Views
hey wana jamvi kuna rafiki yangu amechaguliwa corse inayoitwa "bachelor of health administration" sasa alikuwa anaomba msaada wa kujua kuhusu ajira na maeneo ya kupata kazi. Kwaanae faham...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Majina kwa mwenye tetesi walioomba kubadili vyuo yanatoka lini?au kwa mwenye any info plz tupia..2peane taarfa ili na waliokule kijijini wapate taarfa ambapo hakuna taarfa
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…