Nimechaguliwa udom bachelor of edn in manangement and administration naomben ushaur kwa anayeijua je ni nzur maana nahitaj kubadilisha.
NB matus na kejel haviruhusiw asanteni
Nimechaguliwa udom edn in manangement and administration kwa wanaijua naomba msaada je ni nzur mana nahitaj kubadilisha.
NB:Matus wala kejel haviruhusiwi asanten.
leo mount meru university ratiba ya tarehe za kuripoti chuoni kwa students wapya na wanaoendelea! chaajabu na chakushangaza...
hebu ingiaa humu MMU_PLUS_SITE - Page 6
SIJAWAI ONA
Jaman kwa watu wanaosoma UDOM naomba kuuliza kuwa hivi kuna uwezekano wa kubadili pale coz nna mdogo wangu kapangiwa B.sc in physics kwahiyo yeye anadai haipendi kwa jinsi anavopata sifa zake na...
Uongozi wa wanafunzi chuo kikuu dar-es-salaam{ DARUSO} inawakumbusha wanafunzi wote wanaotarajia kujiunga na chuo hicho kwamba maelekezo yote kuhusiana na chuo yanapatikana ktk website ya...
Education shall aim at the full development of personality, striving for the rearing of the people, sound in mind and body, who shall love truth and justice, esteem individual value, respect...
Kuna chuo au mtu yeyote anayehitaji kujua jinsi ya kufanya Analysis ya trade policy kwa kutumia tools zifuatazo? au je unahitaji msaada wa kufanyiwa data analysis kwa kutumia tools zifuatazo...
kwa wale wanaotoka mkoa wa arusha wanaweza kuwasiliana na mimi ili ni wape maelekezo kwani wengi wa wanafunzi wanapofika dar-es -salaam hutapeliwa vitu vyao hasa wale ambao hawana ndugu wa...
jaman wadogo zangu CoNAS si mchezo unaweza furahia kupata UDSM ila ukarudi mikono kichwan baada ya mwisho wa mwaka.kwa wale wa biology angalia sana koz inaitwa ZL ucje ukalia chuo na kuacha BOOM...
Hili tatizo limekuwa sugu wasichana wengi hupenda kubeba mimba wakifika vyuoni tena na wanaume ambao hawawajui hata historia zao, hii kitu ina athari kubwa kwani unazaa mtoto ambae hana baba wa...
Habari za muda huu ndugu zangu?!
Kuna dogo mmoja alifanya pepa ya form four akapata 0. Karudia tena bado hali ni ile ile. Amewaza sana asome nini kitakachomsaidia kwenye maisha yake hapati jibu...
Wasalam wana jamvini, natumai mko bukheri wa afya.
Mdogo wenu nimefanikiwa kupata nafasi kusomea degree ya Enviromental Planning and Management (2013/2014). Kwa wale ambao wameshasoma au kufahamu...
Sikupata maksi nzuri kwenye mitihani yangu pale nilipohitimu elimu ya
sekondari. Nilirudia mitihani mara mbili zaidi lakini bado sikupata maksi nzuri.
Ndipo rafiki yangu mmoja alinishauri...
Ndugu mpenzi na mfuatiaji wa blog ya SEKTA YA MIFUGO TANZANIA (http://www.achengula.blogspot.com/), blog hii imeshiriki kwenye shindano la kutafuta blog nzuri katika vipengele mbalimbali. Blog hii...
Jamani naomben msaada nimeomba kusoma diploma ya clinical medicine,nina two ya 18 ya o-level,phy c,chem b,bios d,math b,na eng d.je maksi hizo naweza pata wadau
kuna majina ambayo yamekuwa rejected kweny vyuo walivyo watumia na hawatoi feed back watu wajue...elimu ya tanzania ni full stress...OOH LORD WATCH US THROUTH THIS