habari zenu
naomba kuuliza hivi viwango vipya vya ufaulu vilipitishwa au vinatumika vya zamani fano F mwisho 21? naombeni kujuzwa natanguliza shukrani zenu
note. kwenye makosa tusahihishane na...
N.B:ALL SECOND YEAR STUDENTS SHOULD PAY TAS.
100,000/= ON TOP OF THE
DIRECT COSTS FOR MEDICAL
CAPITATION
source
www.udom.ac.tz/index.php/important-notice-to-all-students
Je naweza kuhama course niliyochaguliwa kabla ya kwenda chuon kama niko jirani na chuo????na kama kunauwezekano pleasee anaejua process zake naomba anijuze!!!!NI HILO TU
Habari za jioni' wana jamvi nilitamani sana kusoma medicine, lakini kwa bahati nzuri au mbaya nimechaguliwa pale mzumbe .BACHELOR IN PUBLIC ADMINSTRATION IN RECORD AND ARCHIVE MANAGEMENT. kozi...
Et wakuu niaje una 1ya17 ana C tatu wote advance
una 1ya 9 ana E mbili wote chuo
una GPA first clas ana GPA ya mwisho na ndo bosi wako
umesoma UD ye kasoma UDOM alafu kitaa kinakuadabisha
naona kila mtu ana furaha na chuo chake alichochaguliwa hata mimi pia ila naanza kupata mashaka na hiki chuo ambacho mimi nimepangiwa hamna updates zozote kwenye website yao kuhusu sie tunaoenda...
Fourth Graduation Ceremony will take place tomorrow and the distinguished guest is honourable Dr Shukuru Kawambwa Minister of Education. This graduation involves those who completed their studies...
Nilikuwa napitia vitabu vya shule za msingi vya sasa na vile vya zamani ofsin ili kupata ni kitabu kipi kinafaa kufundishia kabla ya shirika kupeleka mawazo wizara ya elimu. tumegundua kuwa vitabu...
Matukio yanayonihuzunisha
1.wanapiga makonda mpaka wanawapa vilema
2.mwalimu akizingua wanamchapa kama mtoto mdogo
3.yani shule wanaingia saa 4
kuhusu taaluma
1.kufaulu 1 kati ya 120...
wana jf naomba kujunzwa juu ya aina ya laptop nzuri kwa kuzingatia Ubora, uimara, aplications, charge storage, bei kulingana na thamani yake na vinginevyo! itanisaidia mimi na atakae kununua laptop.
Wasalaam wanajamvi!
Ni muda mrefu sasa nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu jambo hili maana mda mrefu sasa nimekuwa nikiwasikia watu wakisema siasa imeingizwa kwenye elimu pindi utumbo...