Wanachuo 900 wamechaguliwa kujiunga na chuo kikuu ardhi, 2013/14, uwezo wa hosteli ni vijana 461 tu hivyo vijana 439 kulazimika kujitaftia makazi nje ya chuo.
ni vp wadau.. Tatizo langu nimechaguliwa na tcu.. Chuo cha NIT ila jana wametoa majina yao kama chuo ila jina langu halipo sa naomba kujua inakuaje hapo an kipi nikifanye.. Mana wameandkia...
Ikumbukwe kua matokeo mabaya ya mwaka huu yamestua wengi sana.BIG RESULT NOW ni mfumo ambao umecopiwa Nchini Malesia na Ucapestiwa hapa Tanzania katika sekta za kiuchumi na kielimu kwa...
..ndugu zangu mliochaguliwa st marks dar..kama kuna yeyote anayejua cku ya kuripot kwa first year chuon tujuzane..cz wengine ata hatujui knachoendelea n kp...nawasilisha wandugu
kuna msemo wanasema maisha ya chuo ni bata sio kama advance,sijui kwa coz zingine ila kwa coet ukiamini huo msemo utaumia tena unaweza ukaingiza sup za kutosha tu,kwa coet msuli unaitajika tena...
Kwa wale mnaotaka kutuma maombi Muslim University of Morogoro, muda wa mwisho wa kutuma maombi ni 31 Julai, 2013.
Hakuna gharama za kufanya application, unachotakiwa kufanya ni kujaza form na...
Watoto wengi wa wanasiasa na baadhi ya wakubwa wa nchi wamekua wakipewa mikopo na bodi ya mikopo ya elimu ya juu wakati hawana sifa za kupata mikopo hiyo. Wengi wa watoto hao huwa wanapewa...
Kwa wale first year waliochaguliwa kujiunga na chuo hiki kama unachochote chakuuliza au kujua wasiliana nami kwa namba zifuatazo kama msaada 0654370515 /0682836319.KARIBUNI SANA
Jamani wadogo zangu mliochaguliwa SUA mjipange kwa kitabu pale wale jamaa hawana huruma wanakula vichwa. Utajikuta unaaga mashindano semister ya kwanza.
Karibuni SUA
Kama umechaguliwa kujiunga na SUA ongera sana! b's ni chuo kizuri ila akina mchezo njoo ukiwa umejipanga! kimekaa kiukulima ila mambo yake makubwa!"kula ushibe uwahi mzigoni ukifika utakonda tu...
SAUT Mwanza imetoa List of first year applicants-2013/2014
unaweza ingia link hii Saint Augustine University of Tanzania » Applicants Selected to Join Various Degree Programmes 2013/2014 au...
wakuu nimepata udsm aquatic environmental science..na nimeomba mkopo..xaxa wakat wa kufanya registration watahitaj gharama kiasi gan mpk registration ikamilike au wale watakao lipiwa na bodi...
Wadau naomba msaada wenu kujua vyuo vya serikali vinavyotoa Certificate ya mambo ya maabara,kuna dogo ananisumbua ila hakusoma physics o level.Je ni sifa zipi anatakiwa kuwa nazo ili apate kozi...