Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

jaman wadau wa jf,hv n kwel ufaul wa wanafunz kdato cha sita umeongezeka au ndo kutudanganya.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Mm nimemaliza diploma ya financial administration so nlikua nataka kuomba mzumbe cz ilove hichi chuo bt mmejaribu kuulizia nimeambie wale wenye ufaulu mzur ndo wanokua admitted. m gpa yangu ni 3...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
guys nimekuwa nikisikia kuwa kuna watu fulani wana IQ kubwa, yaani great thinkers compared to others. sasa ni kitu gani kinachoweza kusababisha mtu kuwa na IQ kubwa kuliko wengine ? and please...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Eti kwa mfan0 mtu anatafuta crdt 2 akarudia mtihani lkn baada ya mtihani akawa am3fanya vibaya na kuk0sa hata ch3ti kabisa . Sasa swali na kwamba J3?huyu m2 anaw3za ku2mia ch3ti chak3 cha mwanz0...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hivi unafikiri kupandisha madaraja ya kufaulu ndio kupandisha hali ya ufaulu kwa wanafunzi pamoja na hayo yote je! Maisha bora kwa kila mtanzania yatatoka wap kwa hali hii?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
nimepata d ya chemistry biology na geography. naweza kusomea nini na chuo gani
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwahiyo elimu ni mafunzo yahusianayo na nguvu za kiakili, yaani kuendeleza akili na maadili, kwa kusoma na nidhamu, ili kumfanya binadamu kutenda katika usahihi. Elimu hii ni lazima iunganishwe na...
3 Reactions
6 Replies
4K Views
salaam ndugu zangu wana jF... kuna mdogo wangu kapata hivi katika matokeo ya form 4 mwaka 2012..... bios C kisw C engl C chem D geog D math D civcs D phys...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Iv kunatofaut gan kat ya frexible grade na fixed grade kwa sababu walikuwa wanazizungumzia bungen nikashndwa kuelewa znatumikaje. Na je ni zp zlizotumika kusahihisha mitihan yetu ya form 4 na 6
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wana jf naombeni mnisaidie proceedure za kuomba mkopo na chuo kwa ujumla coz nimemaliza f6 lkn naona wananichanganya ktk hiz proceedure.Naombeni msaada.
0 Reactions
2 Replies
854 Views
Namshukuru Mh. Mbatia kwa kwa kunipunguzia fikra mbovu dhidi ya Dr. Ndalichako wa NECTA. Dr. Ndalichako alisoma shule na kuitambua JIOGRAFIA, hivyo NECTA wakitunga mitihani huwa wanatunga ya...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Eti kwa mfano m2 amefanya mtihani akapata IV 27,sasa akaamua kurudia mtihani kutafuta crdt ziliz0baki lakini baada ya kurudia mtihani akawa ameharibu vibaya yaani. Je?m2 kam huyu anaweza ku2mia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
kumekuwepo na mkanganyiko juu ya wino gani(kalamu gani/bluu au nyeusi) inayotumika katika kujaza fomu ya mkopo baada ya kuprint. Msaada jamani kwa anayefahamu kwani wengine wanasema black pen ndo...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nimekosea kuandika index namba kwenye m-pesa na hela imekwisha enda HESBL nimeongea na voda wamesema nisubir masaa 24 lakin yamepita na pesa haijarud. Jaman naomben msahaada wenu wanajamvi
0 Reactions
4 Replies
1K Views
tafadhali wadau kama kuna mtu ambaye amefanikiwa kuapply tayari naomba maelekezo yenu coz muda ndo huo unaisha kila siku network problem yaan daah!!!
0 Reactions
0 Replies
855 Views
DR NDALICHAKO mimi binafsi nina imani kubwa na kazi unayoifanya kwani nimeshafanya mitihani mingi ya NECTA kama vile QT 1995, MTIHANI WA UALIMU DARAJA B na A 1996 na 2000, Mtihani wa Kidato cha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna rafk yangu amekuwa akisemwa sana kwamba anatumia ushirikina katka masomo na hiyo imetokana na kushikilia nafasi ya kwanza toka 4m 1 mpaka 4m 4...na amepata 1 ya 10 mtihan wa taifa..hivi aya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamni kama kuna m2 ana ufahamu na jambo hili naomba anisaidie,kuna tetec mtaani kuwa selection za advance zitatoka pa1 na za college je kuna ukweli wwte kuhusu hilo na je tuliofanya application...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
A lot of lesson from this clip EXPOSED! The High Priestess Of Hell!!! - YouTube
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Div 4 ya 26 BIO C CHEM C PHY D GEO D KISW D HIST D CIV D ISLAMIC D MATH F YEYE ANAPENDA ASOME PCB AU CBG nisaidieni shule ambayo itamchikua huyu mwanangu
0 Reactions
78 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…