Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

samahan wanajf naulizia website ambapo posts za form four kwenda form five huwa zinawekwa.
0 Reactions
2 Replies
956 Views
Salam wana jf msaada tafadhali naoma kuuliza je naweza pangia form 5 kwa matokeo hayaaaS****/014* M 25 III CIV-D HIST-C GEO-C KISW-C ENGL-C BIO-D B/MATH-F
0 Reactions
2 Replies
913 Views
JF...! Wapendwa wana JF wadau wa elimu, nimechukua fursa kuomba msaada wa ushauri wenu kwa huyu dogo mwanaJF mwenzetu ambaye ni jirani yangu hapa home napoishi. Dogo matokeo yake ya kwanza...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
nitapataje fom zamikopo kwa chuo kikuu???
0 Reactions
3 Replies
2K Views
ndugu wanajamvi niko hapa mbeya.serikali ya wanafunzi wa chuo kikuu cha teofilo kisanji au kwa kifupi TEKUSO ilifanya uchaguzi kupata viongozi wapya siku ya jumamosi,matokeo ya awali yalionyesha...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Je London School of Journalism (LSJ) kinatambuliwa na Wizara ya elimu TZ?! Naomba mnifahamishe
0 Reactions
0 Replies
737 Views
Kulikuwa na habari hapa kuwa CHADEMA imemwaga kitita cha milioni 9 kwenye uchaguzi wa serikali ya wanafunzi wa Chuo cha Ardhi jambo ambalo limesemwa lilikuwa ni "umbea", sasa hivi uongozi wa Chuo...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nina dvs 1-point 14 frxt comb ni PCM na kwny comb nina PHY-C CHEM-B MATH-A je naweza kuingia mzumbe kwan huko ni chaguo langu la kwanza na pia naomba kujua topic za math&chem 4m4 5&6...
0 Reactions
0 Replies
739 Views
wakuu naombeni ushahuri mtu aliemaliza diploma kunauwezekano akapata mkopo kusoma ba... Asaada plz
0 Reactions
10 Replies
2K Views
kuna kijana kapata physc-s biology-D chemistry-c GS-f Bam-f je udoctor ataenda, na vyuo vipi vinamfaa? kcmc wanaeza mkubali? hzo F za bam na gs hazina mazara?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Msaada wenu tafadhali wadau
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nina phy-E, adv-D na chem-C but F ya GS... Ndoto zangu ni kusoma engineering, je kati ya civil,mining na petroleum, ipi nzuri wadau
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Naombeni msaada wa kimawazo; H-(E) K-(E) L-(S) na gs-F,Je nikiomba chuo nitapata(degree)
0 Reactions
3 Replies
902 Views
Jumanne Juni 4, 2013 Bajeti ya Elimu kulipua moto bungeni Na Fredy Azzah, Posted Jumatatu,Juni3 2013 saa 21:25 PM Kwa ufupi *. Itasomwa leo. Wabunge kadhaa wapania kumkwamisha Waziri kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu! Naomba kufahamishwa kama mtumishi wa umma aliyehitimu masomo katika chuo kikuu huria (Open University) anaweza kuendelea na masomo kwa mwaka unaofuata kwa kuunganisha bila...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Eti kwenye kuapply mkopo na chuo vyeti gan hasa vinatakiwa?
0 Reactions
0 Replies
674 Views
Naomba msaada wadau kwa anaefahamu eti mishahara imeongezwa asilimia ngapi?
0 Reactions
0 Replies
760 Views
Wadau wa elimu, Matokeo ya hii shule yanatisha sana huwezi hata jua kama hii shule ipo mjini Iringa na karibu kabisa na Chuo kikuu kishiriki cha elimu Mkwawa(MUCE). Shule hii inashindwa kweli...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
waungwana hebu tutathmini ni jinsi gani matokeo mapya yameleta changamoto kiupande wangu nahisi mambo takriban ndio vile vile ila yamebadilika kiwango kidogo sana jee vipi ki upande wenu...
0 Reactions
63 Replies
7K Views
wadau wana JF kuna mdogo wangu amemaliza kidato cha 6 mwaka huu mchapuo wa PCB nakupata div 2 point 12 naomba ushauri, kati ya bachelors in MD na Environmental Health Science ni ipi ina maslai...
1 Reactions
23 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…