Jamani mi nipo interrior Lindi Ruangwa, Naombeni msaada jinsi ya kuapply mkopo wa chuo kwa wenzangu mliopo mjini, nimesikia mwisho june 30 na mie nataka nicheki zali langu..
Am a student taking BSc LMV with no loan am in de first year so sometime life become hard kabisa and in real sina msaada sana maana ma parents wapo vijijini na hawana uwezo kabisa ila kuna mtu...
Poleni na kazi wote,
Kuna kozi fupi (wiki 2) inayolenga kutoa ufahamu kuhusu mambo ya usalama kwa watumiaji wa kompyuta - iwe kwa matumizi binafsi au hata ofisini. Ni kozi inayolenga watu ambao...
Kama wewe ni FORM 4,na
Matokeo ya kwanza ulipata
Division 0 lakini baada ya
Baraza la Mitihani kusahihisha
upya umejikuta umepata
Division 1 basi wewe ni mmoja kati ya Maajabu 9 ya Dunia,na
una...
Nina dogo kamaliza form 6 kapata three ya 17 pcb na ana E ya chem na bios na yaliobaki kapata F, ivi atapata chuo kweli na vp mkopo? Naomben ushaur wenu ndg zang.
Jaman samahan xana kwa usumbufu lakin naomba mnishaur mimi ndoto zangu zote nsome mambo ya LAW katika ngaz ya Degree na matokeo yangu ni
HISTORY-D
GEOGRAPHY-D
E/LANGUAGE-D
GS-F
Sasa hii F ndo...
Ofisi kuu za bodi ya mikopo ya elimu ya juu (HESLB) imehamishiwa Mwenge Vinyago, njia ya kutoka Mwenge kuelekea Mlimani City. Chonde chonde watu wa Mlimani msipeleke kunji lenu pale
Mwanafunzi bora wa kwanza kitaifa katika matokeo yaliyorekebishwa ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwaka 2012, Said Irando kutoka Shule ya Sekondari Feza ya jijini Dar es Salaam...
Leo yametangazwa matokeo ya Kidato cha Sita waliohitimu mapema mwaka huu. Ingawa imesemwa kuwa ufaulu umepanda,matokeo husika si mazuri hata kidogo.
Mfano,mwanafunzi aliyeongoza kitaifa amepata...
Nina ndugu yangu aliyemaliza kidato cha nne,matokeo yake ya awali yalikua ni Div4 ya 28.Matokeo mapya yakaja Div4 ya26
Rafiki wa huyo ndugu yangu awali alikua na 4 ya 31 sasa ana Div3 ya 24...
Somo la islamic knowlegde(maarifa ya uislamu) limefutwa na wizara tena katika mazingira ya usiri na barua ya kuwaatarifu bakwata iliyoandikwa April 9 ikapokelewa tar 2 may haikueleza sababu za...
Ndugu zangu poleni na majukumu mazito mlonayo katika kuijenga nchi yetu.
Kwa wanafunzi wote na wazazi hongereni na poleni sana kwa matokeo yalotolewa na baraza.
wapendwa katika upeo wangu mdogo...
Kwa wale wenye expirience na masomo ya biashara naomba ushauri wenu..
mi nimepata div1 ya 9 ECA. Economics-C, Commerce-D, Accountancy-B
Ambition yangu kusoma BAF mzumbe if God wishes..
naombeni...
Wakubwa naomba munisaidie nimepata four ya 26 nna C ya chemia na C ya bio zilizobaki zote D nawezakupata chuo gani cha serekal coz uwezo wangu mdogo wa kifedha Na nisomee kitu gan?