Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

REGISTRATION FORM “A” KIPENGELE NO. 7. Inakuwaje kwa chuo cha Serikali kutaka kujua dini na dhehebu la mtu? ili hali machungu ya sensa yenyewe bado hayajaisha! what is the reason behind...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
jamani kwa mtu yeyote mwenye taarifa ya sakata la walimu kupitia CWT na serikali,wamefikia wapi?je serikali imezungumza chochote?maana hata hawa CWT wapo kiiimya,nadhani kuna haja ya walimu...
0 Reactions
0 Replies
904 Views
natumia cm ambayo ina uwezo mdogo wa ku-access afu nko bush,msaada kwa hili jina(sholoma kulwa nkanda) kama lina mkopo
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Jamani hawa heslb wametoa majina ya first year peke yake waliopata loans, sijaona majina ya continueous student(2nd,3rd and etc) ambao waliomba.je wameamua wa2potezee au watatoa tena baadae?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Iam very determined to oppose the current system of NECTA which require STD vii pupuls to answer maths Questions by using mutiplechoices This system to me is the system which greatly will...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani hivi elimu ya tanzania inakwenda wapi? kama tunaweza sasa kuweka mtihani wa hisabati kuwa na majibu ya kuchangua sasa tunafanya wanafunzi kuwa wavivu sasa na kupoteza wasomi. kweli tutafika
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mineral Resources Institute(MRI) ikisaidiwa na Wizara ya Nishati na Madini imetoa nafasi za masomo kwa wanaotaka kusoma kozi ngazi ya stashada yani Diploma in Petroleum Geosciences na...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Download waraka huu wa serikali (WARAKA WA ELIMU NA. 5 WA MWAKA 2012 KUHUSU MAREKEBISHO YA MIHULA YA SHULE ZA SEKONDARI NA VYUO VYA UALIMU)
0 Reactions
14 Replies
8K Views
Wapendwa wanaudom msifadhaike kufuata laptop mjini na maeneo mengine; laptops zinapatikana pale chuoni kwa bei nafuu kuliko maeneo mengine nje ya chuo :Ni nzuri na za viwango vya juu 'narudia tena...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa anayee fahamu kiasi cha pesa zinazo hitajika kwenye stationary expenses kwa wale baf takers anisaidie!!!!!!!!!!thanx in advance!!!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Je,fedha za field ni sawa kwa wanafunzi wote wa vyuo vikuu mwaka huu? Au inaendana na asilimia uliyopata kutoka HESLB? Kwa mfano kuna watu wamepewa Tsh 2,400,000/= halafu boom na vitabu ni 2m,ada...
0 Reactions
0 Replies
775 Views
Pamoja na kuwa na fani nyingine,natamani kujifunza namna ya kutengeneza photocopy machine ipatapo matatizo,pamoja na printer.naomba kujuzwa kama kunasehemu wanafundisha mantainance za hiv vitu
0 Reactions
2 Replies
3K Views
hatimae wenze2 kenya baada ya mgomo wa walimu 3wks mfululizo malalamiko yao yatatuliwa,madai yao ilikua nkutaka nyongeza had kufkia 300%na serikal imeafik,tz hata hiyo 100 imeshndikana...bora...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ningependa kujua kama 1st year wa LLB huwa wanakwenda field.Naombeni msaada wenu jamani.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
SHORT COURSE ANNOUNCEMENT ON DATA PROCESSING AND ANALYSIS (To be conducted in Dar es Salaam) The Department of Statistics, School of Mathematical Sciences of the University of Dodoma is...
0 Reactions
0 Replies
830 Views
Hi JF! wandugu nina mdogo wangu kachaguliwa kwenda Tandabui Health Institute kusomea Health Records Financial and Information Management, napenda kufahamishwa je amalizapo kozi hii atafanya kazi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
fuata hatua zifuatazo .1. take your shoe size. 2.multply it by 5. 3. add 50. 4 multiply by 20. 5. add 1012. 6. subtract the year you were born RESULT. the first digit is is your shoes size while...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Poleni kwa kusubiria ripoti ya jana kutoka kwa mdodosaji, naombeni jukwaa nami niwasilishe hoja... Kwa wale mliokosa mkopo ishu ni kwamba kwa majibu mepesi niliyopewa pale reception ni hivii...
5 Reactions
19 Replies
3K Views
Mimi Ndo Ninaenda Kujiunga Na Chuo Kik8,udsm Mwaka Huu.kuna Rafiki Yangu M1 Ameniambia Kwamba Eti, Kabla Ya Mambo Yote Kuna Form Nyingne Inapaswa 2download Kutoka Kwenya Website Ya Chuo ambayo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna walimu wamepinda hebu msikieni huyu worst professor ever - YouTube
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…