Tuseme nina cut-off points za chuo X, na kozi ninayoipenda inatolewa chuo X tu. Sasa kukwepa ushindani wa kuwa admitted kwenye kozi hiyo kupitia TCU nimeamua ku-apply moja kwa moja moja chuoni...
Habari zenu jf pipo?
Mi nimechaguliwa kujiunga na chuo hiki,nimechukua joining instruction na nimeona structure nzima ya ada,ambayo ni:
-caution money 30,000
-student organisation 10,000...
HABARI WANA JF, KWANZA KABISA NATANGULIZA POLE SANA KWA WALIOKOSA MIKOPO WASIKATE TAMAA PIA NAWAPA HONGERA WALIOFANIKIWA KUPATA NAWASHAURI WAKASOME KWA BIDII.
MIMI NIMEJARIBU...
Habari zenu bhanah.. Ningependa kupata uchangaunuzi kuhusu suala la Medical Capitation fee(100000) ambalo lipo kwenye list ya Direct costs na suala la kujiunga na National Health insurance fund...
Habar zenu wana jamvi?Hali ya kiuchum ya watanzania wengi inafanana,hasa ya ya wale angalau walisoma angalau shule moja ya goverment na binafs(private),matajir wa tanzania wanatambulika na...
Wakuu naombeni ushauri juu ya hili, mimi nimechaguliwa Bachelor of Arts in Public relations and Advertising pale UDSM ila sasa baada ya muda nimeshauriwa na watu wa nyumbani ni badili nichukue...
Wakuu,nimeona tcu wametoa majina kwa makundi,kuna kundi la waliopata mikopo ya heslb,kuna kundi la mozambique scholarship,kuna kundi la previous loanee nk.sasa naomba kuwauliza,je sisi ambao...
Kama kuna anayejua mchanganuo wa loan allocation ya 5,312,500 anisaidie nijue nadaiwa kiasi gani cha kuongezea.
1. What is the percent allocation by that amount.
2. Administrative costs-465,000...
HABARI ZENU WAUNGWANA! NIMEONA TTLE BOARD YA MIKOPO LIKISEMA NEW ALLOCATION BATCH RELEASE TWO, NA WAKATOA SABABU ZA KUTOTOA YALE MAJINA KWA MARA YA KWANZA. SASA TUNAJARIBU KUYAFUNGUA YALE MAJINA...
Mwisho kulipa Ada ni Sep 30,je ikiwa nitalipa baada ya hapo itakuwaje?. Na VP ikiwa Ada yangu niliolipa haijafika hata nusu je chuo kitanipokea au hadi nilipe japo nusu?
Habari zenu wadau mnaofurahia kupata mkopo na mnaosikitika? Mi nipo kwa wanaosikitika japo sio wengi sana ila naungana nao sababu na mi nimekosa mkopo! Jamani maumivu ni makali sana bora...
Kwanza kabisa nawaombeni msamaha wana jamii wote wapenda amani kwa kitendo changu cha kuwaua kinadharia wazazi wangu hali wangali wazima. nililazimika kufanya hivyo ili niweze kupata mkopo...
Habari wadau! Naomba msaada kwa ongoing student ambaye anamkopo kwa miaka miwili iliyopita ila mwaka huu hajafanya application tena baada website ya Heslb kublock; ili kuendelea kupata; 1)hivi ni...
1. Kwa mara ya kwanza Tanzania ( na kwa kuweka historia) wanafunzi wa darasa la saba wafanya mitihani
kwa kujibu majibu yaliyo sahihi tuuu ( tofauti na miaka ya nyuma).
Je hii ina maana...