Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Taarifa toka bodi ya mikopo imebainisha kuwa mgodi huo unaotegemewa na watoto wengi wa mkulima upo taabani kifedha kutokana na ufisadi mkubwa unaofanywa na viongozi wa juu wa sekta hiyo...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Eti kuna msela kaniambia magic fm wametangaza kuwa heslb wametangaza kwenye taarifa yao ya habari ya saa 10 jioni kuwa heslb wametoa majina ya waliopata mkopo,na jumla ya waliopata ni 29000 kati...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wadau nimesoma kwa news flani hivi ati mtihani wa darasa la saba hapo kesho ni kuchagua kweli au sikweli kwa maswali yote pia kwa kuchagua A B C D kwa masomo yote mpaka hisabati Lol!! kweli...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
mnalalamika nini ndugu zangu? unatangaza kuwa una kuku 100 ambao hawajaanguliwa kumbe mayai yenyewe viza, waacheni wafanye kazi zao muda ukifika tutajua kama tuna kuku au la, tusipotoshane kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani ndugu zanguni ningependa kujuzwa kama mtu yeyote ana jua ni lini post za diploma za clinical officer zitarushwa hewani manake mtaani jamani kunachosha wajameni
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Eti kuna msela kaniambia magic fm wametangaza kuwa heslb wametangaza kwenye taarifa yao ya habari ya saa 10 jioni kuwa heslb wametoa majina ya waliopata mkopo,na jumla ya waliopata ni 29000 kati...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
aya sasa mkali wetu,,,hebu ona anavyofanya mambo...kitu cha SUA kiko wapi????
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Kwa wale mlioripoti Mwenge tunaomba mtujuze yaliyojiri.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimeona hii katika pitapita yangu online. Umefika wakatiwa kuhimiza ubunifu, ugunduzi na vyote vinavyokuja navyo kwa wanafunzi wetu kama tunataka kuwa na taifa lenye wanasayansi waliofundwa kutoka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wale wenye ufahamu wa hii kitu kuhusu labour market ipo vipi hapa tz na nje ya nchi tafadhali naomba kujuzwa!! Natanguliza shukrani! Update kwa wale form six leavers karibuni sana...
0 Reactions
61 Replies
16K Views
Ndugu zangu registration pale st.augustine ni issue. Usumbufu.je nawenzangu mmepata usumbufu huo.inakera
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ndugu zangu ambao majina yenu hayakufika chuoni,kama kuna aliyefuatilia hili suala naomba anipefeeback kama amepata taarifa yoyote kutoka chuoni,kwani mimi bado nipo njia panda..shukrani wakuu
0 Reactions
0 Replies
966 Views
Nimechaguliwa koz ya barchelor of education in adult education and community development lakini mpaka sasa sifaham wapi kwa kufanyia field.naombeni mnifahamishe wakuu.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
If you can read this, you have a strong mind ~ 7H15 M3554G3 53RV35 7O PR0V3 H0W 0UR M1ND5 C4N D0 4M4Z1NG 7H1NG5! 1MPR3551V3 7H1NG5! 1N 7H3 B3G1NN1NG 17 WA5 H4RD BU7 N0W, 0N 7H15 7IM3 Y0UR M1ND...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
hivi zile 77,400/= kwa ajili ya vitu kama ID,exam fee etc tunavilipa vyote kwa pamoja yani kwenye pay in slip moja? pia ukiangalia lile jedwali la tution fee 2012/13 kuna baadhi ya koz sizioni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanafunzi zaidi ya laki 8 wa darasa la 7 wataanza mitihani yao kesho. wanafunzi hao ni kutoka zaidi ya shule za msingi elfu 13 kote nchini. Hatua ya walimu wa sekondari kutumika kusimamia mtihani...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Wadau ratiba ya conference tayari iko hewanin hivyo iangalieni kwenye net ili maandalizi yaanze mapema mimi nawatakeini maandalizi mema Mungu awe pamoja nasi katika SEMINA hii.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
MSAADA NDUGU ZANGU WA DHATI.NINAJIANDAA KUFANYA MITIHANI HIYO CHUONI VETA.MWENYE PAST PAPERS ZA ELECTRICAL INSTALLATION GRADE 3,2 NA 1 ANISAIDIE.nipo tayari Kuzisafirisha mpaka Zinifikie.NIPO TABORA.
0 Reactions
7 Replies
9K Views
Jumanne, Septemba 18, 2012 05:42 Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam SERIKALI iko katika mikakati ya kuandaa mitaala kwa ajili ya somo la maadili, ili lianze kufundishwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…