Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

SHORT COURSE ANNOUNCEMENT ON DATA PROCESSING AND ANALYSIS University of Dodoma College of Natural and Mathematical Sciences School of Mathematical Sciences Department of Statistics...
0 Reactions
0 Replies
698 Views
SHORT COURSE ANNOUNCEMENT ON DATA PROCESSING AND ANALYSIS University of Dodoma College of Natural and Mathematical Sciences School of Mathematical Sciences Department of Statistics...
0 Reactions
0 Replies
863 Views
Nimeikumbuka shule yangu Jamhuri Dodoma miaka ya 2004-2006 ilikuwa inatisha balaa! 2likuwa 2kigongewa lecture wengine wapo madirishani kama 2po chuo vile. Maticha waliobobea kama mzazi aka Beda...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Hellow wadau wa jf naomba kuuliza vp arusha university masters ya pale inatambulika? na waajir wanaichukulia aje? maana na mpango wa ku apply masters pale.ushaur wenu please
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Waungwana nimeitafuta website ya chama cha walimu bila mafanikio, kama kuna wa kunisaidia pliz!
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Tanzania inabidi iangalie uwezekano wa kubadilisha mitaala ya elimu, kwa sasa masomo ni mengi,hili hufanya wanafunzi kushindwa kuyabeba. PENDEKEZO: Kuanzia kidato cha kwanza wanafunzi wasome yale...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari za uhakika kutoka clouds fm zinasema kuwa usku wa kuamkia leo wez walivamia tcu na kuchukua baadhi ya vyombo vya kaz, walinz mpaka sasa hawana fahamu, cha kushkuru mungu ni kwamba data za...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwenye More info regarding this atupe! kuna wageni wawili kutoka NASA Marekani wapo Dodoma wamekuja jana watafanya presentation na ku-form partnership Na University, ila hawakutaka kutoa more info...
0 Reactions
39 Replies
6K Views
inabidi tu kesho niende kwa hawa tcu maana hivi vibwanga katika web page yao inatutia mashaka watu kuingia university kwa wenzangu wenye Div II
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Hii site ya TCU inahujumiwa au ni tatizo la kiufundi?Juzi nilikwama kulog in na jana kupitia mtandao huu kwenye jukwa hili nilikuta ushauri kuwa kama umeingiza password yako ikagoma tumia password...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hakika uongozi wa chuo hiki umejawa na uozo, tamaa na uzembe haiwezekani mpaka xaxa wanafunzi hawajapewa hela yao ya kujikimu wakat wa mafunzo kwa vitendo, ukizingatia walitangaziwa kuwa malipo...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wana JF na walimu wenzangu, Nimekuwa nikiwaza na kusikitishwa sana na kasi ya wanafunzi wetu kumaliza Elimu ya Msingi bila kujua kusoma na hata kuandika. Na sasa Serikali imeanzisha mfumo wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
majuz tu tokeo limetoka..napenda sana maths na katika aplications zangu nimeweka bsci in mathematics ya pale UDOM..dah yan niko dilema sielew mana kila kukicha naskia watu wanaponda mbaya hiki...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mdogo wangu aliyemaliza form six amekosea kujaza form za TCU katika mfumo wa OLAS.Katika cheti ya cha kuzaliwa inaonekana amezaliwa wilaya ya mbozi lakini katika form za TCU ameandika amezaliwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Walimu wa Tanzania wanaweza kuwa ni watumishi pekee duniani kupewa nafasi ya mwisho katika malipo. Wapo baadhi ya watu wanajiaminisha kwamba mgomo wa mwalimu hauna athari yoyote kwa nchi. Nafikiri...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika miaka ya hivi karibuni watu wengi wameongeza Dr( PhD) kabla ya majina yao. Ni kweli kuna watu wamestruggle kupata hizo PhDs kwa kukaa darasani na kufanya tafiti kwa muda mrefu, kuna wengine...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mimi ni mmoja wa watu walioomba master pale sasa ninachokiona ni kuwa wanaandaa mazingira ya rushwa kwa sasa wanapigia mtu mmoja mmjo simu sasa nikawa na maswali kidogo inamaana hawazi kuweka...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
habari zenu wadau. Natumai mu buheri wa afya. Naomba msaada kwa anejua chuo kizuri kinachofundisha vizuri Accounting packages kwa hapa Dar es Salaam. aSANTENI SANA.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu,hawa tcu vipi?walitushauri tuklie application na tufanye re-application lakini nashangaa wiki inakatika sasa na wenyewe bado tu wameniandikia kwenye kozi husika checking in progress.kama...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…