Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wanafunzi mkoa wa pwani,rufiji wanagomea menejimenti za shule zao wakizitaka ziachie madaraka.Migomo hyo inafanywa pamoja na wazazi wa watoto hao.Serikali,hebu komesheni tabia hii...
0 Reactions
2 Replies
936 Views
Jaman naombeni mnisaidie school ambazo zina walimu na mazingira ya kusoma vizuri ya private O-level ila ada isizidi 1 million za Tz kuna dogo hapa tunataka kumuamisha mashule ya kata condition ni...
0 Reactions
2 Replies
989 Views
wana UDOM chuo chetu kinavituko haswaaaaa cheti changu picha ya mwingine..... kweli waungwana tutafika Friday at 12:28pm xxx ha ha ha changu kiliandikwa lower secnd na ni upper second...
0 Reactions
34 Replies
6K Views
Wandugu nimeona wizara ya afya imetoa nafasi za certificate na diploma katika course mbalimbali, mwenye taarifa yoyote kuhusu wizara ya kilimo kama wametoa au wameshatoa??????
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Uganda National Examination Board (UNEB) has released the 2011 Uganda Advanced Certificate of Education(UACE) showing a slight improvement in the general performance of major principal subjects...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani wataalam au wazoefu wa kuhusiana na elimu ya juu, wanafunzi wana haki gani pale wanapotungiwa mtihani nje ya topic walizofundishwa? Kwani udom yamewakuta hayo wanasheria wasaidieni hawa
0 Reactions
5 Replies
1K Views
nimekuwa nikipita jamvini na kusoma michango ya kusisimua, naomba sasa nami kuwa mchangiaji.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Is t fair kudisco mwaka wa mwisho alafu hupewi hata diploma?
1 Reactions
36 Replies
8K Views
Kwanza Pole na kazi nzuri. Pili, naomba hili uliweke maanani: Mzazi Mwenzetu Kikwete na mama Salma walikwazika sana kwa jinsi jamii ilivyokuwa ikimjadili mtoto wao aliyekuwa Feza Girls,matokeo...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Nimejaribu kumtafuta huyu mtu au hata kupata habari zake bila mafanikio. Kahando Sanyagi aka CODO BALANCE, alikuwa msanii na mchekeshaji wa maigizo pale shuleni miaka ya 90 na 92. Kwa anayejua...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nashindwa kuelewa sababu ya huyu Shaaban Robert ambaye anafananishwa na shakespere hapa Tanzania kutopewa hata shahada ya heshima ili kuienzi kazi yake lakini kuna watu wanatunukiwa tu hizo...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Ndugu zangu ni mara kadhaa kumekuwa na thrend kuhusu bodi ya mikopo na namna inavyofanya kazi. Watu wengi walitoa mawazo na ushauri za uhakika na yanayotekelezeka. Pamoja na hayo, kulikuwa na...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari wana jamvi, katika heka heka za kumtafutia mdogo wangu sehemu ya kujiandaa kwa ajiri ya kurudia mtihani wake wa kidato cha nne, nimekutana na Mapambano ile centre ya pale nyuma ya Nakiete...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Habari zenu wadau, naomba kuuliza iwapo mtu aliyemaliza kidato cha nne anaweza kusoma chuo cha Ardhi cha Tabora, na ni kozi gani mtu akimaliza anapewa ajira moja kwa moja
0 Reactions
5 Replies
15K Views
Habari zenu wadau. Kuna mdogo wangu anatafuta shule nzuri ya GIRLS (bording)inayofundisha ya advance mchepuo wa HGE. Yenye kutoza ada nafuu.msaada please
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jaman wanachuo kuhusu suala mikopo 2nateseka! 2lioapeal 2napewa lin majibu??
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Taasisi za elimu kawaida ni mahali ambapo wanafunzi wangepaswa wafundishwe uzalendo.Lakini katika nchi yetu hali ni tofauti kwani wanafunzi hufundishwa uoga na unyenyekevu kwa watawala...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Walimu walioajiriwa mwaka huu walikaa mitaani kwa muda wa miezi nane yaani tangu wahitimu vyuo mwaka jana mwezi wa tano. Sababu ya walimu hao kukaa mitaani kwa muda mrefu baada ya kuhitimu vyuo ni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani mimi ni mwanafunzi wa udom ila sina loan mwenye uwezo naomba anisaidie kwani maisha ya chuo ni magumu bila mkopo
0 Reactions
3 Replies
936 Views
Mimi nilipita kibaha sec 1997 mpaka 2000 na mazengo 2001 mpaka 2003.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…