Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

S1475 PERFECT VISION SECONDARY SCHOOL DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 2 DIV-IV = 39 FLD = 97 imenisikitisha sana kuona hata wasomi tunaowategemea nao wanaanzisha shule na kutoza miada mikubwa...
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Nimefika kuripoti hapa Tanga Jiji kulingana na post yangu ya ualimu inavyonielekeza, lakini mpaka muda huu hakuna anayetujali iwe Afisa Elimu wala Mkurugenzi, wao jibu ni moja tu hakuna pesa,wadau...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Haya madaktari waliona watu wanakufa na vigogo wanapelekwa India kwa sababu ya vifaa duni hospitali za Taifa, wakaona hapana. Sasa kwa upande wa secondary za serikali hasa za kata, wanafunzi...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Eti kuna chalii wangu last year alifeli akarist akapiga for ya 30 c mbili za histry na languaje pamoja na d moja hayo mengine f sasa huyu chuo anakwenda
0 Reactions
3 Replies
815 Views
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato Nne mwaka 2009. kusoma matokeo yote Link ipo hapa chini. TEMBELEA: LINK HII UKAONE MATOKEO YOTE...
0 Reactions
142 Replies
110K Views
S1930 j. M. Kikwete secondary school div-i = 1 div-ii = 3 div-iii = 5 div-iv = 38 fld = 60
0 Reactions
68 Replies
16K Views
Edward Lowassa yule nguli wa siasa mwenye tuuma za kutosha na anayeendelea kusakamwa kila kukicha, kama vile Richmond, Dowans, vile vile jana tu kahusishwa na mgomo wa madaktari, Wabunge wa CCM...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Matokeo mabaya ya mitihani mashuleni nini chanzo; 1.Sera mbaya ya ufundishaji ikiwepo matumizi ya Lugha ngeni kama Kiingereza? 2.Kufutwa kwa adhabu ya viboko mashuleni kwamba kumepelekea...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hizi shule zimenifurahisha sana kwa kuingia kwenye Top 10..hii inaonyesha shule za serikali nazo bado zimo pamoja na kufundishwa kwenye Mazingira Magumu na ukosefu wa walimu.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jana Baraza la Mtihani la Taifa lilitangaza matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha nne uliofanyika mwaka jana. Matokeo hayo yanaonyesha kuwa kiwango cha kufaulu mwaka 2011 kimeongezeka kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
hii shule kila mwaka hutoa matokeo mabaya na hii inatokana na shule hii kufundisha sylabus ya uganda.....halafu mwisho wa siku wanafanya mitihani necta......hivi unafikili matokeo yake...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MWANAFUNZI aliyekuwa kidato cha nne Shule ya Sekondari Morogoro inayomilikiwa na serikali, Sikuzani Kibwana, leo ameanguka ghafla na kupoteza fahamu katika chumba cha Intanet baada ya kusoma...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Waziri wa Elimui na Mafunzo ya ufundi, Dr. Shukuru Kawambwa. Baadhi ya wasomi na wadau wametoa maoni kuhusu matokeo ya mtihani wa taifa kidato cha nne wa mwaka 2011, ambao matokeo yake...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Napenda kuwapongeza wanafunzi na walimu wa Maua Seminari (Moshi) kwa kuendelea kufanya vizuri kwenye mitihani yenu mwaka hadi mwaka. Mumekuwa mfano mzuri wa kuigwa kwa wanafunzi na walimu...
3 Reactions
25 Replies
9K Views
Ndugu ,natumaini mnakumbuka enzi mnasoma pale mbugani,,,,,tukuchekeshane,,,,tupeane changamoto karibuni ....hivi wali unaitwaje pale mbugani eti ,jina lake linafanana sana na mwalimu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Dunia saiv imekua kijiji... Vp kama index no. ya Mwanaasha Jakaya Kikwete ilisambazwa kwa siri ktk markin centers... Then akafelishwa na markers au compilers..?? Kumbuka Walim wana madai ..hvyo je...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Huku halmashauri mambo hayaeleweki, vyanzo kutoka ndani ya serikali vimesema hakuna hela kwa sasa, hasa za kujikimu.......mi nipo hapa kinondoni, na hakijaeleweka. Nani anasema uongo? Serikal...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kumbe hata kwetu wapo!!!!! Namba ya usajili S2811 VISIGA SEC SCHOOL D1=0 D2=0 D3=2 D4=32 F=58. Hizi ndizo shule zetu za kata mnazozitumia kujipatia kura.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
kwanza nashukuru mungu niliyopata,naombeni mnisaidie kunijulisha ni shule gani the best za private au goverment kwenye combination ya HKL,naombeni mnijuze niijue niifanyie mchakato na kuifatilia...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mdogo wangu amemaliza form 4 mwaka jana na matokeo yamekuja amepata DIV IV 27, Jaman naomben msaada kuhusu cha kumfanyia ili aweze kuendelea na mambo ya chuo.! Au huko vyuoni ni michosho.?, na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…