Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ni shabiki wa kusoma riwaya, lakini nimekuwa mvivu siku hizi baada ya uandishi wa riwaya kufifia tofauti na zama za kina Willy Gamba. Juzi nimepata bahati ya kusoma riwaya inayoitwa Joka kuu...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Mara kadhaa nimejiuliza juu uhakika wa mitaala yetu hapa bongo, na hasa Kama unaotumika udsm. Coz migomoooooo..migomoooooo....siasiaaaaaa.. walimu wao nao kila cku itawaona kwenye screen za tv...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Understanding without sharing with others#THIS IS TOTALY WR0NG
0 Reactions
0 Replies
1K Views
in tanzania unaweza ukaona people dea lenning from grade 1 to grade seven and from dea iz unaanza new lyf from form 1 to six and lets say umepoteza lets say miaka kumi na nne unasoma but ukiulizwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Uongozi wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM), jana ulianza kusikiliza utetezi wa wanafunzi 40 kwa tuhuma za kuleta fujo na uchochezi uliopelekea mgomo chuoni hapo na kusababisha wanafunzi 13 na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Msaada, Mwenye kukuelewa shule ya sec alevel PCB, Dar au pwani.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
University Ranking by Academic Performance (URAP) Research Laboratory announced 2011 World University Ranking. URAP - University Ranking by Academic Performance
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Heshima wana jf! Naomba kuelimishwa kuhusu huyu kocha ni muda mrefu sijamsikia kwenye vyombo vya habai hasa tv. Yu wapi kocha huyu mzalendo?
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Nani anaisimamia elimu ya Tanzania? Kila kukicha nasikia mambo yanayonifanya niamini kuwa hatuna budi kujiuliza "Hivi ni nani haswa anayesimamia mwenendo mzima wa Elimu ya Tanzania, na kazi hii...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
48 students in an economics class selected three subjects , ie Economics Development, Public Finance and Mathematics. Of these 35 students took Economic Development, 8 took Public Finance and 5...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Kutokana na kusahaulika kwa elimu ya awali haswa watoto waishio vijijini. Kutokana na umuhimu wa elimu ya awali katika mwendelezo wa elimu ya msingi na kujipanga kutengeneza jamii iliyoelimika kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baadhi ya wahadhiri(doctors na maprofesa) wa chuo kikuu cha Dodoma wanaishi na familia kwenye hoteli za kifahari mkoani Dodoma kwa kutumia pesa za mlipa kodi mnyonge wa kitanzania.Kwa muda wa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
The Open University of Tanzania (OUT) and a Chinese company, China Henan International, have signed a 3.592bn/- agreement for the construction of a ten-storey multi-purpose building at the...
0 Reactions
0 Replies
717 Views
wadau mnaofundisha geography vyuo vya ualimu naomba kama kuna mwongozo wowote wa jinsi ya kufundisha geography pedagogy hasa topic 2 inayosema principles of teaching and learning geography- sub...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ndugu zangu poleni na kazi na shule kwa wengine , nomba mwenye kitabu(pdf) cha huyo prof or anayejua kinapatika through internet basi anisaidie. na hata kama unavijua vingine vya huyo prof...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimekuwa nikijiuliza muda mrefu sana kwa nini vyuo vikuu vya Tanzania havina matawi yake ktk nchi za Africa Mashariki ingali huku Serikali ya Tanzania ikiwahimiza Watanzania kuchangamkia fursa za...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika hali isiyokua ya kawaida UDSM imepoteza power of self determination ilihali inaongozwa na magwiji walobobea katika fani mbali mbali za kitaaluma. Maamuzi yanayotolewa hayazingatii tena...
1 Reactions
41 Replies
5K Views
Wale wanachuo wanaanza kuhojiwa mmoja mmoja to determine what should be done with them. Mi najiuliza,Can you get someone to testify against them? Hata yule mwanafuni aliyesema kwamba aliwaona...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu heshima Kwenu. Naomba kwa anayejua kwa uhakika/aliyesomea mambo haya anipe ufafanuzi juu ya maswali yangu hapo chini. 1)Tuchukulie mfano kuwa,mwanamke ambaye ni Bisexual ametoka kufanya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanajamvi, hii nimeipenda. Sijui hapa kwetu itakuwa imekaaje maana upatikanaji wa data daima huwa hauendani na uhalisia wa mambo. Maana mtaani njaa inazidi maelezo lakini takwimu (za BoT na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…