Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Mzimu posho ni hatari. Wabunge wanaohudhuria mkutano kwa kusaini huwa wanalipwa 10,000/=. Sasa juzi wapo ambao hawakuingia kikao, lakini waliomba wasainiwe. Ubaya listi hiyo imetumika kuwafukuza...
0 Reactions
1 Replies
935 Views
Naibu waziri wa elimu Philipo Mulugo ametangaza kuwa serikali imerudisha mtihani wa kidato cha pili kwa lengo la kuboresha kiwango cha ubora wa elimu ya Tanzania.amesema kuwa mwanafunzi ambaye...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Makamu mkuu wa chuo kikuu cha dsm sehemu ya mlimani Prof Mkandala anafafanua A to Z ndani ya udsm kuhusu kufukuzwa kwa wanafunzi 60.Anasema waliofukuzwa watapewa haki yao ya msingi kusikilizwa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Hatimae serikali imeamua kuupa hadh mtian wa kidato cha pili,ambapo kwa kuanzia mwaka huu watakaofanya mtihan endapo watafel watakariri DARASA,kiwango cha ufaulu ni alama 30. Sosi:clouds Tv
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu ninaguswa sana hii tv station na kukerwa kwa jinsi wanavyoonyesha wanyama hai wakiwa bustanini na pia kwenye ma zoo.Mfano utakuta mnyama kama chui ambao asili yao ni Asia na Africa,wanafugwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jamani mbona 2nasikia yako tayari....ayko tayari!!! sisi form 4 tunapata presha!!! matokeo yanatoka lini?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
SITE YA NECTA INASUMBUA TUMIA HIIIIIII http://www.moe.go.tz/NectaResults/olevel.htm
0 Reactions
12 Replies
83K Views
Mim n mwanafunz wa chuo cha ST JOSEPH COLLEGE OF ENGINEERING AND TECHNOLOGY,napenda kuwataarifu wote wenye matatizo katika masomo ya (math&physcs),lakini awe anaish mbez ya kimara muda ni saa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
bora hata zile za chini ya mwembe kuliko hizi za chini ya mbuyu.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
habari wakuu? Mambo ya UDSM ndio kama mlivyosikia wakuu... sasa kuna hizi scholarship za wadosi kama 18 hivi mwaka huu sijaona tangazo kabisa kwenye website yao ie. 12/13... Nataka niombe...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna tetesi zilizoenea huku mtaani na pale UDSM kwamba hii fukuza fukuza ya wanafunzi ni malipizi ya JK baada ya kuzomea alivyoenda kupewa degree ya heshima. Inasemekana Museven alimuuliza JK...
1 Reactions
54 Replies
6K Views
Toka raisi JK azomewe mwaka jana (2011) pale UDSM kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya kuanzishwa UDSM,kumekua na udikteta unao endelea kila kukicha nchi nzima kwa vyuo takribani vyote. Kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu mtanzania kuna hawa wanafunzi wapatao 48 waliofukuzwa UDSM na kufungiwa Bank Account zao na pia kuondolewa kwenye hosteli za chuo walipokuwa wanaishi, mpaka leo wameshindwa kurudi majumbani...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
dizain kama vyuo vyetu vikuu vinaenda ovyo kama kuku aliyekatwa kichwa.haki za wanafunzi zimechanganywa na mbege na kisha kunywewa kirahisirahisi tu!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Taarifa kwa umma kuhusu kufukuzwa wanafunzi 43 chuo kikuu cha dar es salaam. TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUFUKUZWA WANAFUNZI 43 CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM. KIINI CHA TATIZO LA MIGOGORO VYUONI...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Ni jana tu tulikuwa tunasherekea krisimass karibu wakristo wote duniani, ni sikukuu ya kumshukuru Mungu kwa kumleta mwanae wa pekee ambaye alikuja kutuokoa na dhambi zetu, kwa ujmla tunaoaswa...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Sasa kwanini tusiungane kwa pamoja kwa kufanya mkutano wa hadhara na watanzania waliotutuma vyuoni ili kuupinga udhalimu huu wa serikali vyuoni? Wadau tusaidiane kulifikiria hili na tuma maoni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Fungua waraka huu upate undani wa kilichowafukuza chuo wanafunzi 48 na kusimamisha wanafunzi 4 UDSM.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naibu waziri wa elimu ndugu ametangaza kuwa wanafunzi wote darasa la saba 2011 waliofutiwa matokeo watarudia mtihani huo septemba 2012. swali ninalo jiuliza kwanini waswape mtihani mapema ili...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
kikao cha tarehe 7 jana kimefikia maamuz mazito MGOMO J3 kutetea wenzao baada ya njia ya maongez kushndwa
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Back
Top Bottom