Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Nimekuwepo pale nafanya kazi pale kama mwalimu.Kuwepo kwangu pale kwa miezi mitatu lilikuwa darasa ambalo sikutegemea kulipata.Sifanyi umbeya wala simhalibii bepari anayemilki shule wala...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
hivi karibuni kuna majambazi walivamia maeneo ya home, but hakuna hata mtu aliyejitolea kuinform polisi juu ya tukio hilo na mbaya zaidi walipora mali za watu
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nikiwa mgeni kabisa katika safu hii ya jamii forum yenye kutoa fursa ya fikra pevu na zisizo za woga. leo naomba tufikirie pamoja nanyi katika hili! mapema wiki hii vyombo vya habari viliripoti...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Elimu siku zote huchukuliwa kuwa mhimili wa maendeleo na ufanisi wa taifa lolote liwalo. Huu ni ukweli usio na walakini ndani yake. Cha ajabu ni kwamba elimu yetu (taaluma) imechanganywa na siasa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
I need help to quench the thirst of my student on the this question. the student asked me this question, ni nini tafsiri ya neno 'machela' kwa kiingera? I present
0 Reactions
0 Replies
859 Views
katika hali ya kuonyesha mwisho wa CCM uchaguzi wa serikali ya wanafunzi MASO ktk chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu nyerere chuo ambacho hapo awali kilikuwa cha MAKADA matokeo yametoka na kuonyesha...
2 Reactions
38 Replies
4K Views
Natafuta kitabu chenye title "Gamba la Nyoka" kilichoandikwa na Profesa Kezilahabi. Tokea CCM kutangaza kujivua gamba hiki kitabu kimeadimika sana kwenye maduka ya vitabu.
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Wakuu polen na majukumu!kuna kijana wangu kapata div3 ya points 17 PCB,ana E ya BIOLOGY na zingine kapata S.sasa kwa hapo anaweza kusoma kitu gani ili baadae ajiendeleze na degree ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Katika muendelezo wa ccm kukataliwa na wanavyuo vya elimu ya Juu kada wa ccm Mahendeka Nsena ameangushwa vibaya kwenye uchaguzi wa raisi wa serikali ya wanafunzi MASO kwenye uchaguzi uliofanyika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hii ni taarifa ambayomimi kama m/kiti nilisimamia baada ya kubaini ufisadi mkubwa
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wanajamii! Nipo ktk utafiti kuhusiana na janga la ukimwi. Naomba mnisaidie kunitajia nyimbo zinazohusu ukimwi zilizoimbwa na watanzania pamoja na majina ya wasanii husika wa nyimbo hizo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Faculty of social sciences and Humanities ya chuo kikuu cha Dodoma, ina nyufa kubwa sana zinazohatarisha maisha ya wanafunzi wa chuo hicho. Pia mifumo ya majitaka ni mibovu kiasi cha kusababisha...
0 Reactions
43 Replies
8K Views
Hali katika uchaguzi uliofanyika mwezi wa 5 ,2011 ulitawaliwa na ubaguzi mkubwa wa kidini. Hali hii ilitokana na kupitishwa majina mengi ya waumini wa dini ya Kiislamu kuliko ya wakristu katika...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Matokeo ya kidato cha nne 2007 yanapatikanje?
3 Reactions
2 Replies
22K Views
Wakuu, Napendekeza kama Watanzania Tuanzishe Mfuko wa Kitaifa kwa ajili ya masomo degree ya UZAMIVU kwa heshima ya Professor Joseph Shija ambaye kwa sasa ni VC wa IMTU. Kiwango kinachopendekezwa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Ndugu wa Jf, wiki iliyopita nimeenda kuchukua result slip yangu ya form 6 shuleni tambaza,baada ya kutolewa ili niendelee na process za kuomba chuo. Cha ajabu nimekuta hakuna heruf ya kat mfano...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Samahani wakubwa hivi kwa sasa tangu tuanze kutuma maombi ya vyuo kama ya ualim kuanzia diploma na certificate moja kwa moja wizarani JE inawezekana endapo muhusika nikaenda kuomba nafasi kwa coz...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wanaJF naomba kuchukua nafasi kuwauliza viongozi na wapenzi au washabiki wa CCM walioko humu ndani " Kwa nini viongozi wa CCM wakiongozwa na Nape wanahangaika sana kwenye chaguzi za serikali...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
You are all invited to this public forums to be held at British Council on 25 May 2011. See attached announcement for more details.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Yule headmaster mwangoka yupo bado pale tukuyu? Au nae ndio kajifanya gadaf? Du mdingi yule nae alikuwa mnoko, hivi mnamkumbuka jamani hata waalimu wenzake walikuwa wanamuogopa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…