Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

THE KINDIKI FAMILY 1. Prof. Jonah Nyaga Kindiki, International Education and Policy, Dean of Faculty of Education, Moi University; 2. Prof. Isaiah Iguna Kindiki, Soil Science, Vice Chancellor...
4 Reactions
3 Replies
403 Views
Hivi kuna chuo tanzania kinatoa hio kozi?? Na vipi kwa nje ya nchi vyuo vinavyotoa ni vipi? Na vigezo vipoje?
1 Reactions
2 Replies
321 Views
Chuo gani tanzania kinatoa optometry ngazi ya degree?
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Habarini,mimi ni mwanafunzi niliyehitimu mwaka huu kozi ya ya uhandisi wa magari(degree) na nina GPA ya 2.8,, ndoto zangu siyo kufanya kazi Toyota au Scania au kampuni kubwa za magari, ila nataka...
3 Reactions
37 Replies
4K Views
Kuna QT ya advance yan form 5 na 6 kwa mwaka 1
0 Reactions
24 Replies
16K Views
Kwema wakuu naomba mwenye past papers za advanced physics 2023 na 2024 na practical zake anisaidie
0 Reactions
3 Replies
213 Views
Picha: Pinterest Upendo wa mwalimu si kumfundisha mtoto tu bali hata kulinda heshima na hisia za mtoto kwa kuweka siri au faragha za wazazi wake. Usitumie makosa ya mtoto na kufananisha na...
0 Reactions
1 Replies
244 Views
Niliomba chuo(TIA) na kupata nafasi. Aidha nilipangiwa campus ya Mwanza. Nimefika kwa ajili ya Udahili naambiwa nimepangiwa chuo kimakosa, kozi hiyo haipo kwa hapa Mwanza natakiwa niende Dar es...
0 Reactions
1 Replies
188 Views
Mtumishi akienda kujiendeleza katika fani nyengine akirudi anafanyiwa re- categorization maana yake anahama na mshahara uleule au inakuaje? na kwanni halamashaur zinakataa kutoa ruhusa mtumishi...
0 Reactions
3 Replies
245 Views
Habari ndugu, Naomba kujua maana ya terminology hio CREDIT NOTE inatumika sana upande wa manunuzi procurement. Naomba mwenye kujua anijuze tafadhari
1 Reactions
4 Replies
445 Views
Naombeni msaada wakubwa zangu mimi nampango wa kuhama chuo na mdahuohuo ni badili na kozi i.e kutoka DUCE kwenda udsm. 1: Je, inawezekana? 2: Changamoto zake ni zipi? 3: Je, inabi mchakato uanze...
3 Reactions
37 Replies
1K Views
Baadhi ya watu wamekuwa wakiuliza kuhusu Veta na jinsi gani wana toa elimu au wengine wana amini veta ni sehemu ya watu walio feli. Veta wanatoa kozi mbali za mda mfupi na za mda mrefu kulingana...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Dear all, naombeni msaada ni hatua gani za kufuata endapo utapoteza vyeti vya taaluma, kuanzia cha kuzaliwa, SCEE, ACSEE na Professional certificates... Vinahitajika na muajiri
1 Reactions
9 Replies
663 Views
Habari wanazengo mmeamkaje Kijana wenu nimepata changamoto kidogo nimepoteza bahasha yangu yenye vyeti vyangu na kiukweli sijui nime misplace wapi bahasha ilikua na cheti cha form original ila...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hello habari, Malalamiko yamekuwa mengi kwa wanafunzi wa clinical officer kwa vyuo vingi hapa Tanzania, wanafunzi wanafelishwa makusudi, vyuo vingi wanaopata pass hata robo ya darasa hawafiki...
6 Reactions
28 Replies
1K Views
Mdogo wangu amechelewa kufanya application ya chuo. Anaweza pata admission chuo chocolate?
1 Reactions
4 Replies
221 Views
Habari zenu Wakuu Bodi ya mikopo leo imeanza kuallocate mikopo kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo kutoka vyuo mbali mbali Inafahamika kwamba allocation ilivyokuwa mwaka jana mtu aliyepata...
7 Reactions
88 Replies
3K Views
Wakati mabillioni ya nyota zilizo sambaa angani kwenye galaxy ya mlky way linapatikana JUA ambalo ndio muhimili wa mfumo wetu wa jua (Solar system). jua letu limetengenezwa takribani miaka...
6 Reactions
18 Replies
755 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…