Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kamaliza form six HGL kapata 2 ya 12 kaomba chuo kakosa tumeamua kubahatisha kwa vyuo hivi je ni vizuri? 1)Muccobs 2) stephano memorial 3) Cdti tengeru arusha.. Na kozi ipi nzuri Kati ya hizi _...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Anaeelewa kuhusu hili swala aje anitoe tongo tongo machoni. Nipo njia panda kujua ukweli juu ya hili. Karibuni wataalam.
3 Reactions
31 Replies
7K Views
Inaonesha dhahiri alielewa ni kipi kinacho maanishwa katika hilo swali, ila changamoto ikaja hapo kwenye kutetea hoja zake..
6 Reactions
37 Replies
5K Views
The Institute of Finance Management (IFM) is a public Institute in Tanzania established in 1972. It stands as the oldest higher learning financial institution in Tanzania. The institute has been...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Wizara ya Elimu, Sayansi, na Teknolojia kupitia Taasisi ya Elimu ilizindua Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu mwaka 2022. Tuzo hiyo imekuwa na mafanikio makubwa. Mwaka 2023 na...
0 Reactions
1 Replies
779 Views
Wana JF naombeni kujuzwa nina ndugu yangu ameomba mkopo wa kujiendeleza na elimu wakati selection ya kwanza inatoka account yake ilikuwa inaleta ( your application has been submited successful )...
1 Reactions
1 Replies
282 Views
wakuu.. hatuelewi na serikali hii' vijana wengi wameandikiwa NO APROVED ALLOCATION na vyuo vimefunguliwa tayari... hili ni janga
4 Reactions
3 Replies
319 Views
Kwenye kutengeneza akaunti ya ARIS naulizwa registration number naweka ya mtihani inakataa
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Hello fellow members, I want to raise awareness about an issue that is affecting many industries today – artificial intelligence (AI). It is clear that AI is transforming the job market, and we...
0 Reactions
1 Replies
405 Views
Kwa wanafunzi wote wa Olevel, Au una Ndugu yako wa O level, Download kitabu hiki chenye Maswali ya History Kuanzia form One Mpaka form 4. http://www.vitabutanzania.com/book.php?bookid=vtsn002
0 Reactions
1 Replies
15K Views
Habari za muda huu. Naombeni msaada na muongozo wa namna ya kupata nafasi ya kusoma shahada katika CHUO KIKUU bila kupitia mfumo uliowekwa na TCU maana huko nmekosa. Iko hivi,mdogo wangu ana...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Habari zenu wadau, Mimi niliaaply vyuo nikaconfirm IRDP nashangaa sasa nipo chuoni uku IRDP majibu ya mkopo(HESLB) yametoka mkopo umeelekezwa chuo cha CBE Dar es salaam badala ya IRDP Apa ndo...
3 Reactions
30 Replies
1K Views
Mimi naanza na Dr Robert 0ppenheimer, Atomic bom, (USA) kafa 1967
2 Reactions
8 Replies
362 Views
Habari Wana JamiiForums. Samahani naomba kuuliza kuhusu hili tangazo la Mikopo ya Elimu ya Stashahada (Diploma) ambalo limetolewa na Loan board (HESLB). Swali langu ni hivi ikitokea umepewa...
2 Reactions
47 Replies
5K Views
Anonymous
Tupo kwenye sintofahamu, Chuo cha SAUT-MWANZA mpaka sasa hakijatupa Vyeti wahitimu wa Mwaka 2023. Ukienda kufuatilia wanasema tusubiri wakidai vyeti havijafika, wakati huohuo wengine wamepata...
5 Reactions
10 Replies
752 Views
Hivi ukipata mkopo 100% Boom unaweza kupata lote
0 Reactions
5 Replies
411 Views
Kuna jamaa yangu amemaliza Diploma ya IT 2012 huko Iringa, amehangaika na maisha huko mwaka huu ananiambia mwaka ujao anataka kuingia Bachelor ya kozi fulani nje ya IT pale Iringa University Je...
0 Reactions
3 Replies
320 Views
Habari za saizi wakuu, Twende moja kwa moja kwenye mada yetu ya Leo. Lugha ya alama nini? Lugha ya alama Tanzania ni chombo cha mawasiliano ambacho humuwezesha mzungumzaji kufikisha ujumbe...
17 Reactions
120 Replies
50K Views
Point 40 zitakazokusaidia ufanikiwe haraka kwenye freelancing. Zote ni muhimu sana, Ukuzingatia Ni rahisi sana kupata maokoto yako 1. Chagua niche (industry) ambayo ina demand kubwa ya wataalam...
7 Reactions
15 Replies
868 Views
Ndugu watz baada kufanya utafiti wa muda mfupi, vyuo vikuu vingi hapa Tanzania wanafunzi wa first year wamekosa mikopo hivyo wanasuasua kureport vyuoni. Sijajua wizara inalengo gani na swala hili...
3 Reactions
8 Replies
449 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…