Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wadau, Nna mdogo wangu kapangiwa form 5 hii shule (EGM) kwa anaejua status ya Taaluma ya shule hii anijuze. Na pia kwa mtu mwenye contact ya Mwalimu/Walimu naomba anisaidie ile niwasiliane...
1 Reactions
15 Replies
17K Views
Hivi Kuna tofauti kati bachelor of science in IT na bachelor in IT na ipi ni nzuri kati ya hizi mbili
0 Reactions
12 Replies
713 Views
Hivi boom kwa vyuo vya binafsi na vya Serikali ni tofauti?
1 Reactions
3 Replies
449 Views
Nina degree ya education lakini kwa miaka kadhaa baadae natamani kubadili professional. Postgraduate diploma ya nini nikasome?
1 Reactions
7 Replies
562 Views
UFAFANUZI WA BAADHI YA KOZI AMBAZO WALIOSOMA TAHASUSI ZA ARTS KAMA HKL/HGL/HGK/WANAWEZA KUZISOMA CHUO KIKUU UNASOMA CHUO KIKUU ILI KUKUZA UFAHAMU NA KUIMARISHA UWEZO FIKIRISHI WA KUFANYA...
7 Reactions
7 Replies
28K Views
Hellow wana Jamii samahani naomba kujua jambo 1. Hivi kuna utofauti gani kati ya Project na Research? 2. Je, project nayo inahitaji project proposal kama research? 3. Na vipi kuhusu kudefend...
2 Reactions
4 Replies
341 Views
Nina ndugu yuko anachukua Clinical officer(3rd yr) ...Wameambiwa wachague topic yyte ambayo wangependa kuifanyia research ....Yy amechagua. " negative perception of many patients towards medical...
0 Reactions
60 Replies
14K Views
Habari nataka kujua salary scale ya tanapa kwa wenye degree
0 Reactions
1 Replies
123 Views
Habarini jamani wakubwa zangu. Naombeni kuuliza ivi kubadili course Chuo Kikuu mfano kutoka Education kwenda Nursing kwa ufaulu wa 1.9 (PCB). Kuna ugumu gani kwenye nyuo vya binafsi na serikalini...
3 Reactions
9 Replies
504 Views
Hbr za wakti huu wadau,naomb mnielimishe na kunsaidia kweny hli,Je kuna tofaut yeyte ya mtu anaehitimu degree chuo cha taasisi na chuo kikuu? Yani mfano Anaehtimu Degree kwa GPA kubwa UDSM na...
3 Reactions
21 Replies
889 Views
Anonymous
Mfumo wa Ajira Portal wa Secretariat ya Ajira ambao unapatikana katika tovuti ya Public Service Recruitment Secretariat | PSRS una changamoto kadhaa ambazo zimekuwa kikwazo kwa sisi Watumiaji...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwenda: Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania – TCU 23 Julai 2024 Mimi ni mwanafunzi wa Chuo cha St. Joseph kilichopo Mbezi Luguruni, Dar es Salaam, ambacho kinatoa kozi mbalimbali za sayansi, ikiwemo...
8 Reactions
16 Replies
2K Views
Jinsi ya ku re-apply chuo cha Muhimbili, maana kwenye akaunti yangu niliyoombea sioni sehemu ya ku re-apply.
0 Reactions
0 Replies
138 Views
Mwaka wa kwanza chuoni niliikuta hii course katika harakati za hapa na pale nikapata coursework ya 11/40 kupiga UE nikala mzinga. Kufanya sup ikanishinda nikacarry. Mwaka wa pili nikawa natumia...
20 Reactions
138 Replies
9K Views
Ikiwa Leo ni siku ya nne, najaribu kuingia kwenye system ya "NACTVET" Kuomba "AVN NUMBER" lakini sifanikiwi licha ya kuwa nimejisajili, ila system haijanipa nafasi ya kutengeneza password, na hata...
0 Reactions
2 Replies
475 Views
Kwa elimu yetu ya hapa Tanzania soma vyuo ambavyo vina network kubwa ya kukuongezea uwezekano wa kupanua goli la oppurtunities (Ajira, Promotion maofisini, Scholarships, Grants, n.k) hata kama...
5 Reactions
9 Replies
903 Views
Hello ni wapi na confirm chuo ninacho kitaka kwenye case ya multiple selection? Je ni TCU? Je nikwenye moja wapi ya vyuo? Na process zikoje. Natanguliza shukrani
0 Reactions
3 Replies
301 Views
UNDERSTANDING THE APTITUDE TEST IN DEPTH AND ITS USE IN ASSESSING TEACHERS For detailed information on the Aptitude Test and how it can be used to evaluate teachers, click the link below...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani naomba kuuliza juu ya chuo Cha CBE Dodoma ni kizuri Kwa mandhari na vp kuhusu elimu au taaluma inayotolewa pia nishaurini chochote juu ya chuo hiko, manake nimechaguliwa IT CBE Dodoma, na...
3 Reactions
4 Replies
332 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…