Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari wakuu, kwa heshma kubwa naomba, nahitaji muongozo wenu. Nimepata: 1: Bachelor of Arts in Economics -Ardhi university 2: Bachelor of Economics and finance I F M. Naomba ushauri wenu...
6 Reactions
10 Replies
959 Views
Nimepoteza result slip ya form six halafu inahitajika chuo kwenye usajili. Naombeni mnisaidie nifanye nini ili niweze kufanya usajili maana sielewi.
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Nisaidieni kazi ambazo mtu aliyesoma IT anazifanya kwa upana zaidi.
3 Reactions
16 Replies
889 Views
Tunawatakia mitihani mwema. Tunaamini Wizara ya Elimu na vyombo vyote vya ulinzi na usalama vita dhibiti udanganyifu usitokee. Na watakao bainika kufanya udanganyifu basi hatua kali zichukuliwe...
1 Reactions
1 Replies
290 Views
WADAU natumai wote hamjambo, shida yangu hapa mweye kuwa na pdf ya MWENE'S ROUGH DAY (story book) pls aiweke hapa
2 Reactions
1 Replies
242 Views
Nina ndugu yangu kapata matokeo haya HIST-D GEO-C BIO-C ENGL-D CIV-C CHEM-C LITE-D KISW-C MATH-D Amepata Division III Point 23 hajasomea PHYSICS na amepangiwa chuo cha Human Resources Management...
5 Reactions
61 Replies
2K Views
Serikali imeamua kuboresha uelewa wa somo la Kiingereza kuanzia Shule za msingi darasa la kwanza badala ya kuanzia darasa la Tatu kama hapo awali ili kuwajengea uwezo wanafunzi hao ingali mapema...
1 Reactions
10 Replies
862 Views
Habari wana JF, Naomba msaada kuhusu kozi ya BA in Communication studies soko lake, ajira zake n.k
2 Reactions
8 Replies
395 Views
Tunawaombea mtihani mwema na wenye ufaulu vijana wetu wote wa darasa la 7, wanaoanza mitihani yao kesho.
3 Reactions
5 Replies
478 Views
Habari zenu wakuu, Poleni na majukumu, Moja kwamoja kwenye mada, Kuna bwana mdogo kaniomba ushauri nimsaidie lakini sio mjuzi zaidi nikaona NIVYEMA kuliweka hapa JF. Huyu dogo kasoma diploma ya...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Kuna binti kamaliza form six mwaka huu kaomba chuo kapata vyuo viwili na alikuwa anasoma PCB kapata UDSM na UDOM lakini kozi aliyopata ndo haelewi kozi yenyewe ni Aquaculture vyuo vyote viwili...
7 Reactions
47 Replies
1K Views
Habari wakuu, kwa heshma kubwa naomba, nahitaji muongozo wenu. Nimepata 1: Bachelor of Arts in Economics -Ardhi university 2: Bachelor of Economics and finance -IFM Nilisoma HGE ufaulu wangu ni...
1 Reactions
2 Replies
378 Views
Kwa wanaojua kwani Inawezekana mtu kusoma vyuo viwili kwa mara moja mfano;upo degree chuo x ila unafanya application na kujisali level ya certificate au diploma chuo y
0 Reactions
4 Replies
490 Views
Naombeni, maeneo ambayo mwanafunzi anaesoma bachelor of science in environment management anawezà kufanya field.
3 Reactions
3 Replies
158 Views
Msaada ndugu zangu; Mdogo wangu amesahau username na password aliyotumia katika ku apply chuo naomba mtusaidie ushauri ndugu zangu(chuo ni MUST)
2 Reactions
7 Replies
228 Views
Habari ya jioni.. wanadai msaada ni kozi gani mtu anaweza kusoma Ili apate teuzi ya kuwa Mkaguzi Mashuleni.
3 Reactions
8 Replies
549 Views
Nimepangiwa education pale Kampala lakini nataka kozi ya afya je, nikienda mapema naweza kufanikiwa labda kwa private? Naomba mtu mwenye uhakika hili ndo aweze kunifafanulia vizuri Kama vipi...
2 Reactions
19 Replies
566 Views
Wakuu habarini za jioni, poleni na hekaheka na mihangaiko ya siku.. Samahani naomba wajuzi mniambie je inawezekana kwa mtu aliechaguliwa chuo mfano amechaguliwa TIA campus ya Dar es salaam...
4 Reactions
36 Replies
957 Views
Habari zenu waungwana. Nmeapply kozi ya computer systems and networks katika chuo Cha ardhi kwasababu napendelea sana ujuzi wa maswala ya computer. Je hii kozi inajitegemea, haihusiani na...
4 Reactions
13 Replies
890 Views
Habari, Wakuu nimemaliza Diploma na leo matokeo yametoka ya kuingia Bachelor matokeo yangu ni yafuatayo. Semester ya kwanza nina GPA 3.0 na Supp, Semester ya pili nina GPA 2.4 na Supp, Sasa vipi...
4 Reactions
14 Replies
638 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…