Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari, Naomba msaada kwa mwenye ufahamu na hili, kuna dogo hana baba (amefariki) na cheti cha kifo kimekuwa na mzunguko mrefu, hadi muda huu bado hajakipata na siyo rahisi akipate hivi karbu...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Wakuu msaada kwa mwenye ujuzi kiasi cha ada kwa chuo kikuu cha mwenge ni kiasi gani kwa degree ya chemistry?
0 Reactions
0 Replies
241 Views
Hello JF members, Nimefanikiwa kuchaguliwa na moja ya vyuo vikubwa hapa nchini kujiunga na mwaka wa masomo 2024/2025 ngazi ya Cheti. Sasa kwenye account yangu ya maombi katika chuo hicho...
1 Reactions
4 Replies
450 Views
Ni kawaida kwa walimu wanaotarajia kufanya aptitude test kuwa na maswali mengi juu ya nini cha kutarajia na wapi pa kuanzia maandalizi. Japokuwa hakuna majibu maalum au sahihi ya nini hasa...
4 Reactions
7 Replies
3K Views
Je, unaweza kusoma nursing bugando ukipata mkopo asilimia mia moja, na ukamdu ukiwa hauna kipato chochote ukizingatia kwamba Bugando ni private? Naomba msaada wakuu
3 Reactions
12 Replies
670 Views
Msaada, hivi naweza maliza mechanical engineering diploma nikaenda soma civil engineering nakuwa nachanganya civil engineering pamoja na mechanical engineering katika kazi uombaji.
1 Reactions
9 Replies
509 Views
Wakuu samahani mdogo wangu kachaguliwa diploma ya radiography chuo cha kikatoliki cha sengerema hii kozi ikoje maana wamechaguliwa 20 tu ni kozi salama au kadandia mtumbwi wa vibwengo, Mwenye...
4 Reactions
10 Replies
499 Views
Wakuu, Nina ndugu yangu anataka kusoma mining engineering mwenye uelewa naomba msaada kama hii coarse pia ajira zake zinasumbua sana.
2 Reactions
5 Replies
553 Views
Mwanafunzi amefaulu kidato cha sita PCM kwa kupata D-Physics, C-Chemistry, C-Mathematics sasa anaomba ushauri wa chuo sahihi kizuri cha kusoma BSc in Civil Engineering kati ya hivi vifuatavyo...
2 Reactions
9 Replies
851 Views
Hivi nikweli kwamba sua inatoa kozi ya nursing?
4 Reactions
5 Replies
435 Views
Nina diploma ya record management GPA 3.1 kutoka TPSC naweza kusoma accountancy kwenye degreee
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kikomo pekee cha utambuzi wetu wa kesho kitakuwa mashaka yetu ya leo. Tusonge mbele kwa imani thabiti na utendaji. -Franklin Delano Roosevelt
5 Reactions
8 Replies
279 Views
Habarini wana jamvi, natumaini mu wazima. Msaada tafadhali. Ningependa kujua kwa nini status za wanafunzi kwenye website ya NACTE imetofautiana. Kuna walioandikiwa submitted na wengine...
1 Reactions
19 Replies
6K Views
Nia yangu kubwa ni kwenda kusoma MASTERS nje kwa njia yeyote ile ambayo haihusishi matumizi ya njia haramu yoyote, Sasa nimeongea na wazazi wamekubali kuweka nyumba dhamana nipate mkopo bank wa...
5 Reactions
25 Replies
946 Views
Technology ni kati ya field ambazo inakua na kubadilika kila siku. Na hii imefanya watu wengi wawe interested nayo, maybe it's because of how big an impact technology has in our lives au the way...
12 Reactions
17 Replies
9K Views
Je ukisoma agriculture general unakua nani? N unafanya kazi wap? Na nikazi zipi?
2 Reactions
16 Replies
479 Views
THE APTITUDE TEST OVERVIEW (Written Aptitude Test): Mtihani wa Uwezo: Maelezo, Utaratibu wa Kujiandaa, na Angalizo Muhimu by Josephat. 1. Nini Mahana ya Mtihani wa Uwezo (Written Aptitude Test)...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Msichana kachaguliwa DIT-Bachelor in Computer Engineering na MUST-Bachelor of Technical Education in Civil Engineering. Je mnamshauri athibitishe kujiunga na chuo kipi kati ya hivyo?
0 Reactions
4 Replies
475 Views
Wadau wa elimu ushauri wenu kuhusu kozi ya kuchagua Kati ya hizo alizochaguliwa na hivyo vyuo. 1. TIA & IFM DAR ES SALAAM (ACCOUNTING) 2. CBE DAR ES SALAAM (ACCOUNTING & TAXATION) 3. JORDAN MORO...
4 Reactions
10 Replies
980 Views
Kichwa cha habari usika, Naomba ushauri kwa wanaoifahamu vizuri shule ya secondary ya Jitegemee au mnaweza nishauri shule nyingine kwa watoto wa kike au mchanganyiko na ada ya kawaida kwa mimi...
1 Reactions
2 Replies
451 Views
Back
Top Bottom