Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari wana JF , Kuna tatizo gani endapo mtu hatakwenda JKT kwa mujibu wa sheria baada ya kuchaguliwa? Naombeni ushauri tafadhali
0 Reactions
133 Replies
15K Views
Anonymous
Sisi wanufaika wa mikopo ya Bodi ya Mikopo (HESLB) tuliomaliza deni na bodi tunaonewa na HESLB kwenye kipengele cha kuingia kwenye mfumo wa Account ya loan board ili kuweza kuona tathimini ya...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Taasisi ya Elimu TET au maarufu TIE, ni chombo cha serikali kilichopewa jukumu la kukuza na kuendeleza Elimu kwa upande wa UKUZAJI MITAALA na UANDAAJI WA MAUDHUI YA MITAALA. Jambo la kusikitisha...
1 Reactions
3 Replies
306 Views
Haya jamani mnafikiri ni civilisation gani ni kali na ya zamani kuliko zote duniani?Kwa maoni yangu ni acient egypt na kush (Nubia, zote ni za waafrika.Mwenye mawazo zaidi?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
1. No Breakfast People who do not take breakfast are going to have a lower blood sugar level. This leads to an insufficient supply of nutrients to the brain causing brain degeneration. 2...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Mbunge ataka vitabu vichomwe moto MBUNGE JIMBO LA CHWAKA na Irene Mark na Rahel Chizoza, Dodoma MBUNGE wa Chwaka, Yahya Kassim Issa (CCM) ameitaka serikali kuviteketeza kwa moto...
2 Reactions
1 Replies
3K Views
Hii ni nyumba anamoishi Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Lihumbe iliyopo kata ya Mbagamao, wilayani Mbinga mkoani Ruvuma, Bw. Osmundi Nombo na mwalimu mwenzake. (Picha na Grace Michael). Pamoja...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Problem Solving Skills One of the most exciting aspects of life is the array of choices that we have on a daily basis. Some of our decisions are simple, like deciding what to eat for dinner or...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa utumishi wa umma, mtumishi anatakiwa kukatwa kodi kwa kile anachokipata kwenye mshahara wake. Kama tunavyofahamu kodi nimuhimu kwa taifa lolote, lakini changamoto ya kodi hii ni...
2 Reactions
16 Replies
667 Views
Habari wakuu, Huyu ni binti nilitaka kujua kama mzazi ni kozi gani yenye tija anaweza kusoma , amemaliza kidato cha 4 2023.
1 Reactions
8 Replies
385 Views
JIUNGE NA CHANNEL HII UPATE PAST PAPERS NA MARKING SCHEMES ZA MIKOA YOTE TZ PAMOJA NA MIFUMO YAKUCHAKATA MATOKEO BURE. Channel iko hapa MOCK PAST PAPERS ALL TANZANIA REGIONS
1 Reactions
1 Replies
215 Views
Hizi courses ni bure, unatakiwa tu kujisajili Hapa lazima unatoka uko bomba kabisa na ulichokisomea IT NETWORKING https://skillsforall.com/course/networking-basics?courseLang=en-US CYBER...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Hello habari, Samahan mimi ni binti nina miaka 24 nilihitimu kidato cha nne mwaka 2018 lakini sikubahatika kuendelea na masomo kutokana na hali ngumu ya nyumbani japo matokeo yangu yaliruhusu...
3 Reactions
11 Replies
485 Views
Wadau wa elimu, nahitaji TAHAKIKI ya A-level, pamphlets za masomo mbalimbali haswaa physically geography na science subjects. English kwenye literature
1 Reactions
0 Replies
150 Views
Wadau Salaam, Naomba kuuliza kama unaweza kufanya process ya kuomba mkopo bila ya kuwa na ADMISSION NUMBER kutoka chuo chochote! Kwani hii imetokana na dirisha la mikopo kufikia tamati tarehe 30...
0 Reactions
1 Replies
622 Views
Naomba kujua kuhusu kozi ya procurement and supply Inahusiana na nini hasa zaidi
3 Reactions
27 Replies
7K Views
Naomba msaada anaeijua app ya kudownlodia apps nyingine kwenye computer.Au namna ya kudownload apps/software kwenye kompyuta
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Suala la kuingiliwa kwa mfumo wa matokeo wa chuo kikuu, kama ilivyodaiwa kutokea katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), ni jambo la kusikitisha na lenye madhara makubwa kwa uaminifu wa...
4 Reactions
13 Replies
985 Views
Wale vijana wa MWAMPAJA ,wale wa SCANDIA,PANGANI,NYANZA natumaini mmejaa hapa JF Mnamkumbuka MGINA-Physics,KAYENGA-Chemistry,URIO-Maths kwa Alevel na kina KK(Kaselenge),Mainoya,Malogo,Mlata na...
0 Reactions
69 Replies
21K Views
Jamani niliarisha masomo baada ya kupata MATATIZO ya KIAFYA saivi nataka nifanye application ili niende CHUO kingine nikasome Tena tatizo no kwamba CHUO nilicho kuwa nasoma wamegoma kufuta jina...
1 Reactions
4 Replies
6K Views
Back
Top Bottom