Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari ndugu zangu, naomba mwenye namba za mhusika kwenye ofisi ya RITA anisaidie. Kuna mtu atakosa mkopo wa chuo kizembe
2 Reactions
4 Replies
265 Views
Habarn wan JF ; kma kun mtu ashawahi kupita chuo cha afya bukumbi , eb anielezee kdogo kpoje & huduma zake zkoje
1 Reactions
1 Replies
199 Views
Habarn wan JF ; kma kun mtu ashawahi kupita chuo cha afya bukumbi , eb anielezee kdogo kpoje & huduma zake zkoje
0 Reactions
1 Replies
139 Views
Kati ya Clinical Medicine, Dentist na Radiology ipi ni kozi nzuri kwa sasa?
2 Reactions
48 Replies
4K Views
Ndugu yangu amefanya mtihani wa kidato cha sita mwaka huu kama Private Candidate na kufaulu kwa DIV 3 ya point 13, lakini cheti chake cha O-leve ana ufaulu wa masomo matatu tu yaani ana C za...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Ni course gani unaweza kusoma endapo ukichukua CBG advance tofauti na afya pamoja na education?
5 Reactions
35 Replies
2K Views
Habari wanaJF matokeo ya kidato cha sita yametolewa leo . Nimepata ufaulu huu Geo D Chemistry E Bio E BAM E Kwa nilivyoona Sina qualifications za kwenda degree. Nauliza je uwezekano wa kwenda...
4 Reactions
98 Replies
8K Views
Habari Wakuu! Nipo Mwaka Wa Kwanza UDSM, Natafuta Mtu Mwenye Room Maeneo Ya Sinza, Survey, Mwenge Au Mawasiliano Ili Tufanye Utaratibu Wa Kuachiana Mikoba. Mwaka Wa Pili Sitaki Nikae Tena...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Hii shule ni kati ya shule zenye heshima kubwa kwa mkoa wa Iringa na viunga vyake, lakini siku za hivi karibuni imekua ni shule ya ajabu kuwahi kutoa, wizara ya Elimu, tamisemi mko wapi? Hizi...
6 Reactions
32 Replies
3K Views
JINSI SHULE INAVYOHARIBU UBAADAE WA WATOTO WA KI-AFRIKA. Tafadhari soma hii ukiwa umekwisha graduate 🎓, Kabla hatujaendelea, naomba nikuweke sawa kwenye maneno Shule na Elimu, Elimu...
4 Reactions
3 Replies
464 Views
Habari wanajamvi, Kama kichwa cha habari kinavo jieleza tajwa hapo awali. Mimi ni kaka na nina wadogo zangu wawili, mmoja kamaliza Kidato cha sita mwaka huu na mwingine yupo Kidato cha nne. Mi...
1 Reactions
2 Replies
319 Views
Wakuu habari za muda,mm ni kijana ambae nilikuwa na ndoto za kuwa daktari tokea muda,maisha nikayaharakia baada ya kumaliza shule nikaoa ndoto zikapotea. Nikajicjanganya na kazi za ufundi katika...
2 Reactions
83 Replies
11K Views
Hii ni shule ya mtu binafsi ina matawi mawili Madale na Ubungo. Mmiliki wa shule hizi anatumikisha vijana bila kuwalipa anawalisha tu chakula cha wanafunzi na kuwatunza kama wanafunzi ila...
0 Reactions
0 Replies
300 Views
Samahani wadau elimu, nina mtoto anahitaji apate field sehemu yeyote last minute kwenye hata kwa wiki mbili au tati za mwisho kabla hawajatakiwa rejea chuoni. Nitashukuru kwa ushauri na hata...
2 Reactions
5 Replies
261 Views
Maisha yamebadilika sio tena kama enzi zetu ukimaliza degree ajira unachagua. Kwa hapa tulipo nazidi kujionea vijana wengi sana wanamaliza vyuo wakiwa vijana wadogo wenye 23 hadi 25 lakini...
5 Reactions
11 Replies
570 Views
Anonymous
Habari gani wadau? Kama mnakumbuka, siku za nyuma kidogo kuna mdau alitoa dokezo kuhusu afisa elimu sekondari Kilwa kudhulumu sitahiki za walimu kama vile malipo ya likizo, malipo ya uhamisho na...
3 Reactions
4 Replies
348 Views
Anonymous
Kusitishwa kwa utekelezaji wa sera mpya kwa kidato cha tano, je athari zake ni zipi ilihali tayari tulishawapeleka watoto mashuleni? Je watanzania hasa wazazi na wanafunzi wanajua vigezo vya...
1 Reactions
1 Replies
194 Views
Naomba kuuliza nimemaliza diploma ya Clinical medicine NTA level 6 nakupata GPA ya 2.6 semister one afu 4.5 semister two, kwenda MD wana angalia GPA ya semister gan au toka first year ???
0 Reactions
10 Replies
570 Views
Wakuu nimerudi tena Habari za muda Nilifanya application za vyuo vya afya kama mlivyoniambia niliweka radiology, optometry, dentistry na physiotherapy Ila nimechaguliwa hii kozi ya dentistry...
1 Reactions
3 Replies
405 Views
Habari zenu Wakuu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kazi iendelee Lengo la uzi huu ni kwa wale wataalamu wa Uchumi tukutane hapa na kupeana madini mbalimbali,pia kwa wale wenye maswali ya kiuchumi...
5 Reactions
32 Replies
602 Views
Back
Top Bottom