Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

wenzangu mliochaguliwa ruaha catholic university tukutane kujadili mipango na namna ya usomaji pia miundombinu ya Chuo ikoje, :sick:
0 Reactions
38 Replies
8K Views
Habari wana jukwaa, Nimeandaa miradi miwili ya usalama barabarani. Mmoja unahusu bodaboda na mwingine unahusu watoto walio shuleni [shule za msingi]. Inaohusu zaidi elimu ya usalama barabarani na...
2 Reactions
0 Replies
197 Views
Here is the list of 10 greatest secondary schools ever to occur in TANZANIA. This represents the all time best sec school since the death of Tanganyika. 1. MZUMBE...
5 Reactions
178 Replies
109K Views
Wakuu mko salama? Kwa wanaojua ebu wanieleweshe,nimewafanyia maombi ya vyuo ndugu zangu wako huko jkt lkn mpaka sasa sijaona chuo kilicho publish selection. Naomba kwa anaejua selection za vyuo ni...
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Wakuu naomba mnieleweshe kuhusu automobile engenering
1 Reactions
1 Replies
195 Views
Habari, Husika na mada tajwa kwenye heading. Ninahitaji hizi nyaraka Nahitaji. 1. Circular Letters 1999 - 2020 2. Public Service Act & Regulations 3. Employment & Regulations act 2004. Kwa...
3 Reactions
20 Replies
576 Views
Wandugu habarini, Nina kijana alikuwa mnufaika wa mkopo apo S.U.A Akakutana na changamoto baada ya mzazi kufariki akasitisha Masomo Mwaka jana aka apply akapata tena apo S.U.A Sasa changamoto...
1 Reactions
4 Replies
380 Views
Juzi nilipata taarifa kutoka Kwa mwalimu mwenyeji wa shule ya Kondoa girls kuwa kuwa katika shule yao wizi umekithiri sana, mwalimu yule alidai kuwa watu wasiojulikana wanaenda kuiba mbaazi katika...
6 Reactions
37 Replies
2K Views
Naamini wengi wa wana JF mtakua mko aware na mambo mengi nitakayoyaongelea hapa kwa kuwa mmeyaexperience huko mashuleni mliposoma. Cha kushangaza ni kwamba hakuna mtu anaetaka kuyaongelea - si...
3 Reactions
2 Replies
4K Views
Baada ya kuisoma hii article ya Bw. Mwalupindi jana kwenye gazeti moja la kila siku nilianza kukumbuka enzi zangu nilipokua mlimani na nilikua na swali moja tu-"how did i survive?". Test za...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
A brightday suddenly turn to to darkness The once wide open eyes, are full of tears The peaceful hearts, Conquered by fear Horror, cry and blood every where You choose to take...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba kuuliza ni vigezo gani vitafanya mwanafunzi achaguliwe 2ND Selection au huwa inafanyiwa Application?
2 Reactions
8 Replies
358 Views
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kuwafahamisha Waombaji wa mikopo na Umma kwa ujumla kuwa muda wa kuwasilisha maombi ya mikopo umeongezwa mbele hadi tarehe 14 Septemba, 2024...
1 Reactions
0 Replies
447 Views
Nimepangiwa CBG nauliza naweza nikasomea accounting and finance. Msaada please 🥺🥺
4 Reactions
24 Replies
1K Views
Anonymous
Mbali na kwamba tuna elimu Bure lakini sasahivi Shule za Msingi kuna utitiri wa Michango (Tozo) mfano mzuri ni Shule ya Msingi Mapinga iliyoko Bagamoyo, kata ya Mapinga. Kuna utitiri wa Michango...
1 Reactions
5 Replies
307 Views
Habari wana JF nimepokea malalamiko kutoka kwa mwanafunzi X wa diploma in engineering under government sponsorship. Awali kama serikali ilivopendekeza kufutwa kwa Tuition fee kwa wanafunzi hao wa...
1 Reactions
1 Replies
234 Views
Habari wanajamii forum. Ningependa kuuliza kuhusu Namba ya Uthibitisho wa Diploma ya NECTA (Award Verification Number). Nina Diploma kutoka NIT na ninataka kuendelea na masomo ya ngazi ya juu...
0 Reactions
7 Replies
865 Views
Jamani wakuu mimi ni mhitimu wa diploma nahitaji kuendelea kusoma bachelor lakini siwezi kuendelea bila kupata AVN kutoka NACTEVET. Tangu mwezi wa 7 nimelipia sh 15,000/= ili kupata lakini mpaka...
0 Reactions
6 Replies
376 Views
Tuliopangwa Kanembwa na yeyote mwenye uelewa wa JKT Kanembwa Kigoma atusaidie mazingira na hali kwa ujumla ya kambi ya Kanembwa 824KJ Kanembwa. >usibebe vitu au nguo za thamani unaweza kuibiwa...
0 Reactions
121 Replies
14K Views
Back
Top Bottom