Habari wana jukwaa,
Nimeandaa miradi miwili ya usalama barabarani. Mmoja unahusu bodaboda na mwingine unahusu watoto walio shuleni [shule za msingi]. Inaohusu zaidi elimu ya usalama barabarani na...
Here is the list of 10 greatest secondary schools ever to occur in TANZANIA. This represents the all time best sec school since the death of Tanganyika. 1. MZUMBE...
Wakuu mko salama?
Kwa wanaojua ebu wanieleweshe,nimewafanyia maombi ya vyuo ndugu zangu wako huko jkt lkn mpaka sasa sijaona chuo kilicho publish selection.
Naomba kwa anaejua selection za vyuo ni...
Habari,
Husika na mada tajwa kwenye heading. Ninahitaji hizi nyaraka
Nahitaji.
1. Circular Letters 1999 - 2020
2. Public Service Act & Regulations
3. Employment & Regulations act 2004.
Kwa...
Wandugu habarini,
Nina kijana alikuwa mnufaika wa mkopo apo S.U.A
Akakutana na changamoto baada ya mzazi kufariki akasitisha Masomo
Mwaka jana aka apply akapata tena apo S.U.A
Sasa changamoto...
Juzi nilipata taarifa kutoka Kwa mwalimu mwenyeji wa shule ya Kondoa girls kuwa kuwa katika shule yao wizi umekithiri sana, mwalimu yule alidai kuwa watu wasiojulikana wanaenda kuiba mbaazi katika...
Naamini wengi wa wana JF mtakua mko aware na mambo mengi nitakayoyaongelea hapa kwa kuwa mmeyaexperience huko mashuleni mliposoma. Cha kushangaza ni kwamba hakuna mtu anaetaka kuyaongelea - si...
Baada ya kuisoma hii article ya Bw. Mwalupindi jana kwenye gazeti moja la kila siku nilianza kukumbuka enzi zangu nilipokua mlimani na nilikua na swali moja tu-"how did i survive?". Test za...
A brightday suddenly turn to to darkness
The once wide open eyes, are full of tears
The peaceful hearts, Conquered by fear
Horror, cry and blood every where
You choose to take...
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kuwafahamisha Waombaji wa mikopo na Umma kwa ujumla kuwa muda wa kuwasilisha maombi ya mikopo umeongezwa mbele hadi tarehe 14 Septemba, 2024...
Mbali na kwamba tuna elimu Bure lakini sasahivi Shule za Msingi kuna utitiri wa Michango (Tozo) mfano mzuri ni Shule ya Msingi Mapinga iliyoko Bagamoyo, kata ya Mapinga. Kuna utitiri wa Michango...
Habari wana JF nimepokea malalamiko kutoka kwa mwanafunzi X wa diploma in engineering under government sponsorship.
Awali kama serikali ilivopendekeza kufutwa kwa Tuition fee kwa wanafunzi hao wa...
Habari wanajamii forum.
Ningependa kuuliza kuhusu Namba ya Uthibitisho wa Diploma ya NECTA (Award Verification Number). Nina Diploma kutoka NIT na ninataka kuendelea na masomo ya ngazi ya juu...
Jamani wakuu mimi ni mhitimu wa diploma nahitaji kuendelea kusoma bachelor lakini siwezi kuendelea bila kupata AVN kutoka NACTEVET.
Tangu mwezi wa 7 nimelipia sh 15,000/= ili kupata lakini mpaka...
Tuliopangwa Kanembwa na yeyote mwenye uelewa wa JKT Kanembwa Kigoma atusaidie mazingira na hali kwa ujumla ya kambi ya Kanembwa
824KJ Kanembwa.
>usibebe vitu au nguo za thamani unaweza kuibiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.