Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari za mchana Hongereni simba kwa tamasha la jana na yanga leo mfanikiwe zaidi. Jaman naombeni ushaur kozi gani naweza soma nikaja kuajiriwa ndani ya serikali yaan ndani ya miaka mitano au...
7 Reactions
19 Replies
541 Views
Tuende mbele turudi nyuma mtoto si kumlisha na kumsomesha tu. Malezi ya kitabia ndio kipengere na hapa hakuna mbabe !!Hata uwe mkali vipi mtoto anaweza kukushinda tu kwa kuwa na tabia zisizo faa...
4 Reactions
50 Replies
2K Views
Nipo katika mchakato wa kutuma maombi funded scholarship za ujerumani DAAD masters in international health. Hivi mwajiri anaweza kutoa cheti cha utumishi wakati bado unafanya kazi na vilevile...
2 Reactions
2 Replies
359 Views
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda akielezea mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, namna Serikali ilivyojipanga kutatua changamoto zilizopo...
1 Reactions
0 Replies
249 Views
Jamani mimi natafuta mtu ataeweza kunitanya niwe na mwandiko mzuri ,sikusoma shule sawasawa kutokana na sababu za kiafya,sasa kiujumla sina hati nzuri kabisaaa,nataka mtu atakaeweza...
3 Reactions
19 Replies
890 Views
Wadau naomba mnijuze vyuo vya ufundi vya private vilivyobora sana hapa Tanzania vilivyo SAWA na VETA au zaidi
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu, Naomba mnijuze ukomo wa kusoma masters katika vyuo huria. Nauliza maana ni miaka karibu sita sasa shemeji yenu anasoma tu hiyo elimu. Vikwazo vimekuwa vingi mno masters haiishi...
3 Reactions
18 Replies
817 Views
Wakuu kwema Ni muda vijana wanaomaliza form six pcb na 1.3 hadi 1.6 kuwaza kusomea udaktari wa upasuaji wa kinywa na meno (dds) au Radiology (udaktari wa mionzi) kwani itachukua muda mrefu sana...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari za mchana. Ninahitaji kujua vyuo vya serikali vinavyotoa diploma ya ELIMU maalum kwa viziwi,. Nimejaribu kupitia mtandaoni nimeona ni Kabanga-Kasulu na Mpwapwa-Dodoma ndio vinavyotoa...
1 Reactions
1 Replies
485 Views
Chuo kipo Dar es Salaam. Kinatoa kozi zifuatazo: 1.0. CERTIFICATE COURSE IN HOTEL MANAGEMENT (miezi 9). COURSES : 1.1. Accomodation Operation. 1.2 Front Office Operation. 1.3. Food and Beverage...
1 Reactions
7 Replies
23K Views
Salam WanaJF! Kama kichwa cha Habari hapo juu. Nimehitimu First Degree ya ICT miaka michache ilopita. Tayari nilifanikiwa kuajiriwa. Sasa nimeamua kwenda kuongeza kitabu kwa ngazi ya Masters...
2 Reactions
2 Replies
319 Views
Naomba kuuliza kwa aliyesomea DIT Bachelor of Technology in Laboratory Science opportunities ya ajira unaweza kupata kwenye nyanja gani?
2 Reactions
17 Replies
6K Views
Nahitaji chuo ambacho nitafaulu bila usumbufu wa misapu na kusumbuana ,nataka kusoma level ya degree
2 Reactions
22 Replies
678 Views
Nisaidieni nikubwa na hili tatizo la majina katika
4 Reactions
28 Replies
677 Views
Eneo ukubwa gani linakubalika kwa mjibu wa sheria za sera ya elimu Tanzania kujenga shule ya sekondari jijini, mjini na vijijini?
2 Reactions
4 Replies
5K Views
Guys nina plan ya kusoma PhD nje ya nchi lakini nikitegemea zaidi nipate udhamini. Ningependelea kusoma nchi za ulaya au America kutokana na quality ya elimu yao pamoja na fursa, haswa Nordic...
1 Reactions
5 Replies
515 Views
Wakuu pole na majukumu. Mimi nimehitimu kidato cha sita mwaka huu natarajia kujiunga na chuo mwezi wa kumi. Naomba natamani kujua kozi gani ni nzuri na yenye nafasi kubwa ya kujiajiri nikimaliza...
4 Reactions
9 Replies
873 Views
Habari wanajukwaa, Nimemaliza kidato cha sita mwaka huu tahasusi ya PCB na nimepata DIV two ya 12 nikiwa na physics D, Chemistry D, Biology D, Bam D, na Gs D Nipo njia panda kwa sasa juu ya kitu...
2 Reactions
38 Replies
6K Views
Ukijaza kozi ya MD, Nursing, and and thw third one you qualify inasema huna sifa wakati una sifa zote kamilifu according to their prospectus and TCU Tatizo ni nini?
1 Reactions
8 Replies
502 Views
Mwanga (According to wave particle duality) Huwa umebeba particles in form of photons na sometime Huwa znakuwa in wave form. Kutokana na kwamba photons Huwa zko in motion all the time ndo inakuwa...
3 Reactions
6 Replies
268 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…