Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Hello ladies and gentlemen, Please naomba kuuliza mtu akisoma kozi hiyo tajwa hapo juu atafanya kazi wapi na atatambulika kama nani?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndugu zangu habari za leo, naomba ushauri wenu Mwalimu shule msingi ngazi ya cheti. Anataka abadili muundo ajiendeleze kwa kusoma VETA diploma ya food production (upishi) aachane na kusomea...
1 Reactions
11 Replies
825 Views
Hili wazo nilikuwa nalo kitambo tu ila nimepitapita humu nimekutana na rasimu kiukweli sijaisoma ila kama hili wazo ambalo nataka kulitoa hapa lipo basi wamecheza kama pele CCM DAIMA MAFISADI...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Je, unamfahamu mdaiwa wa HESLB mwenye kipato lakini ANAPIGA KIMYA? ... kutoka Insta na X ya HESLB Tanzania
0 Reactions
11 Replies
571 Views
Habari, wana JF ninaomba kupata ufahamu wa kuhusu elimu ya vyuo tanzania kuanzia vyuo vya kati na vyuo vikuu. Je, inawezekana mtu akasoma degree au diploma mbili tofauti (course) kwa wakati...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Nauliza kama kuna nafasi ya pili ya kuomba vyuo vya diploma mwaka huu??
2 Reactions
3 Replies
729 Views
Habari wanajamvi, Mimi ni mmojawapo wa wanafunzi ambao wamechaguliwa kujiunga na chuo cha CLINICAL OFFICERS TRAINING CENTRE MUSOMA, kozi Diploma in clinical medicine, kwa yeyote anayekifahamu...
2 Reactions
10 Replies
4K Views
copy paste fb ila muhimu Wanafunzi wengi wenye ndoto za kusomea masuala ya Tehama huwa wanahangaika sana linapokuja suala la kufanya maamuzi juu ya kusomea kozi ipi kati ya hizo tatu...
12 Reactions
21 Replies
10K Views
Nimepata wakati mgumu wakati najaribu kuapply chuo bora chenye kumjenga mwanafunzi awe competent kwenye computer science field naombeni ushauri ni vyuo gani bora vya diploma
0 Reactions
32 Replies
2K Views
ETARO SEKONDARI YADHAMIRIA KUWA NA "HIGH SCHOOL" YA SOMO LA KOMPYUTA - HARAMBEE JUMAMOSI, 23.12.2023 Tarehe ya Harambee: Jumamosi, 23.12.2023 Saa 3 asubuhi Mahali: Etaro Sekondari Kijijini Etaro...
0 Reactions
2 Replies
498 Views
Habari wanaJF. Nilikuwa napitia TCU admission guiding book ya 2023/24 inaonesha ili uingie degree kutokea diploma ni lazima uwe na GPA ya 3.0, ila sijaona alternative kwa aliyepata G.P.A chini ya...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Habary wakuu Miaka ya nyuma kidogo nilikuta andiko la remitano network mining program ambayo ilikuwa inatoa renec coin nilishiriki hiyo japo sikuwa serious nilipata faida kidogo kuhusu hiyo...
3 Reactions
6 Replies
548 Views
Ñimeombewa na wazazi wangu nactvet vyuo vya afya na nlikua sitaki Sasa wakinichagua ndo nakua nmehamishwa au inakuaje wakuu nisaidieni sitaki kubadilisha nataka nisomee ufundi nilipochaguliwa
0 Reactions
1 Replies
523 Views
Habari wanaJF, mimi nimemaliza Form Six mwaka huu 2024. Katika pita pita zangu nimekutana na TCU guide book mwaka Jana. Naomba UFAFANUZI kwenye hicho kipengele 👇👇 maana nimesoma sielewi...
2 Reactions
6 Replies
787 Views
  • Poll Poll
Ety ndugu zangu naombeni mnisaidie, matokeo ya kidato cha Sita 2024 yanatoka LINI?
3 Reactions
3 Replies
242 Views
Napenda kuuliza kwa madaktari na wataalam wazoefu Kati ya cuhas -Bugando ,st Francis ifakara na kcmc -kilimanjaro wapi Kuna shule ya kutosha tunapozungumzia swala la bsc in doctor of medicine (MD)...
2 Reactions
26 Replies
1K Views
Umeme wa magari ukiacha chuo cha NIT, DIT na VETA chuo gani apa Dar kinatoa kozi Io naombe mnisaidie wakuu
0 Reactions
0 Replies
362 Views
Habari wakuu... Kuna utafauti gani kati ya category A - C vocational training center and category D Vocational education and training center, based registration
2 Reactions
5 Replies
363 Views
Mna vitivo vya Uhandisi, sayansi, ICT sheria ila mpaka zama hizi mnakosa Solar power project kusaidia wakati wa mgao? Mbona mnanunua V8/VX kila uchwao? Mnakwama wapi? **Kipi ninajivunia miaka 60...
12 Reactions
75 Replies
4K Views
Naomba mwenye mwongozo wa sera mpya ya elimu (pdf) atume ili wadau tujue kwa undani yaliyomo!
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…