Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Jaman nisaidie I natak kujua mda wa application wa hiyo course ya radiology.
0 Reactions
1 Replies
552 Views
Wadau ni kwann mhitimu wa degree kutoka OUT anadharaulika na kuonekana kama degree yake haipo sawa kama degree nyingine kutoka vyuo vingine?
5 Reactions
65 Replies
12K Views
Hello guys, Ule mtihani ulikuwa umesukwa, walioongoza kitaifa wenyewe walikuwa na B kwenye huo mtihani wa kiswahili. Hivi kwenye ule mtihani, nchi nzima kuna mtu alipata A kweli😁, nahisi...
3 Reactions
15 Replies
717 Views
Habari wana JF, Naomba kufahamu jukwaa naloweza kuweka research zangu moja nilifanya kama mwanafunzi wa masters, nyingine nilifanya kama independent researcher nikiwa na mwenzangu. Naona ni...
1 Reactions
19 Replies
886 Views
Habar za kutwa humu, Naomba niende moja kwa moja kwenye kichwa cha habar hapo juu,naomba kujua hiyo kozi inahusika zaid na masuala gani na soko lake la ajira limekaaje, ni kozi inayotolewa pale...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Aisee kuna huyu ndugu yangu mtoto wa mjomba alimaliza form four mwaka jana sasa alipata division four. Ila ana C mbili na D tatu, nipo naulizia kama zinaweza kumtosha kwenda form five hata ya...
2 Reactions
39 Replies
4K Views
Jamani ukisoma CBG na ukamaliza form six ukataka kujiunga na mafunzo ya jeshi unaweza kukubaliwa au Kuna vigezo muhimu af mafunzo ya jeshi yanachukua muda Gani kuhitimu? Na je ili kujiunga mpk uwe...
0 Reactions
0 Replies
348 Views
Mwalimu: Ndugu mzazi nakuomba uje shule, mwanao anatupa wakati mgumu Mzazi: Ndugu mwalimu, hata huku anatupa wakati mgumu kuliko ambavyo unafikiria lakini hatujawahi kukuita Bongo Nyoso..!!!!
2 Reactions
2 Replies
372 Views
Trillion ndio kiasi maarufu kinacho tamkwa sana katika mahesabu ya kawaida ya kifedha na namba. Leo tuangazie majina mengine ya fedha na namba ambayo sio maarufa sana tukiacha ile maarufu kabisa...
2 Reactions
4 Replies
799 Views
Naomba mnisaidie nini tufanye ikiwa darasani kwetu karibia wanafunzi wote wa diploma hatujawa verified NACTE. Chuoni tunajitahidi kufatilia tunaambiwa tusubiri tu mpaka dirisha lifunguliwa na...
0 Reactions
0 Replies
431 Views
Habari za mchana wakuu? Poleni na majukumu ya hapa na pale. Naombeni mwongozo jinsi ya kupata certificate verification namba baada ya cheti kuhakikiwa RITA. Nimehakiki tayari na nimeendelea na...
1 Reactions
27 Replies
8K Views
Kweli kabisa mtu unasoma hadi chuo kikuu na unapata degree, unashindwaje kujua utofauti kati ya ‘meter’ na ‘Square meter? Mtu unamwambia bei ni laki moja kwa ‘Square meter’, halafu yeye anakupa...
37 Reactions
116 Replies
4K Views
Hivi tunavyofanya application ya diploma kupitia nacte je ni chuo husika ndo kinachagua wanafunzi au nacte ndo wanakupangia chuo kama ilivyo kwa advance?
0 Reactions
0 Replies
143 Views
MAMBO KUMI USIYOYAJUA KUHUSU RICHARD MABALA KWA watu wengi waliofika ngazi ya elimu ya sekondari, jina Richard Mabala linapotajwa, jambo la kwanza watalolikumbuka ni vitabu vyake maarufu vya...
10 Reactions
25 Replies
15K Views
Wakuu habari zenu? Natumai anaesoma post hii yu mzima wa afya kabisa ,Mungu aendeleee kukujali pumzi. Kama kichwa juu hapo natamani kujifunza saikolojia ila sielewi nianzie wapi? vitabu gani...
2 Reactions
4 Replies
256 Views
Walimu hapa kupona kupo au maumivu?? Itatoa roho za watu hii.
0 Reactions
0 Replies
489 Views
Ndugu zangu leo nina swali kidogo, hivi suala la kuongezeka kwa tahasusi kwa kidato cha tano na cha sita hadi kufikia idadi ya tahasusi zipatazo 65, ni dalili ya elimu kukua???
0 Reactions
3 Replies
242 Views
Wakuu, nmechaguliwa kozi ya Bachelor Degree in Community Development for water supply and sanitation katika chuo tajwa hapo juu. Hivyo naomba kama kuna mtu amewahi kuisoma kozi hiyo anisaidie...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Jaman sahanin tuna shid karib diploma nzima chuon kwetu taarifa zetu nacte hazijawa verified tumeend kuuliz nacte tumeambiw matokea bado hayajatumwa. Naombeni mnipatie solution japo hata nifanye...
0 Reactions
7 Replies
505 Views
Anonymous
Rejea kwenye mamaliko ya uzi huu - Chuo Kikuu cha Mzumbe chakiri Wanafunzi zaidi ya 500 wanadai malipo ya 'refund' chuoni hapo Hadi Leo hii pesa zetu bado hatujalipwa na hakuna hatua zozote...
2 Reactions
3 Replies
744 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…