Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Katika Mtaala wa Elimu wa Kidato cha V na VI 2023 umefanya mabadiliko ya Tahasusi ambapo Tahasusi katika Kidato cha V na VI zimegawanywa katika maeneo saba ya ujifunzaji ya Sayansi ya Jamii...
4 Reactions
20 Replies
4K Views
Habari wadau... Kijana wangu amemaliza form four mwaka 2023 na ufaulu wake ni- Civ-D Hist-C Geo-D Kisw-C Engl-D Bio-C B/math-F Je? ni elimu ipi itamfaa Kwa upande wa FANI au TAALUMA.
1 Reactions
11 Replies
807 Views
CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'D' CHEM - 'C' BIO - 'C' B/MATH - 'D' COMM - 'D'
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Lengo ni nini? Haya maamuzi yamefanyika kwa kushirikisha wataalamu kweli? Tunakusudia kujenga taifa la aina gani? Mtu akisoma Physics, Kiswahili na Economics (PKE) anaadaliwa kuwa nani? Au...
4 Reactions
3 Replies
1K Views
Ushauri kwa Wanafunzi wa Kidato cha Tano na Wanaomaliza Kidato cha Nne Kwanza kabisa, ninawapongeza wanafunzi wote ambao wamefanikiwa kumaliza kidato cha nne na kuchaguliwa kuendelea na masomo ya...
1 Reactions
0 Replies
783 Views
Wandugu habarini za leo? Naomba kwa mwenye ideas na Masters of Project Management toka Chuo Kikuu Huria Tanzania, nahitaji kujua upatikanaji wa materials, lecturers na changamoto zilizopo pia...
6 Reactions
66 Replies
27K Views
Nimekuandalia notice nzuri sana za biology ambazo zina kila maudhui yanahitajika kwa ajiri yako ndani yake topic zote zinazotoka kwenye practical
1 Reactions
3 Replies
332 Views
Anonymous
Tunaomba Mtusemee! Hawa bodi ya mikopo Kuna figisu wanafanya mara ya kwanza walisema tarehe 20 Mei watatoa mikopo, lakini tarehe ishirini ikafika kwa SAUT Mwanza wakasema tuende tukahakiki...
0 Reactions
2 Replies
991 Views
Wadau hamjamboni nyote? Nawaslisha hoja ya kizalendo kwa Wazalendo nikiomba mniunge mkono kwa maslahi mapana ya taifa letu. Niombe Wizara ya Elimu iandae mtaala mahsusi mashuleni kufundisha...
0 Reactions
3 Replies
232 Views
Kuna mtoto wa ndugu yangu ninamsomesha. Huyu dogo kafaulu Kidato cha 4. Kapangiwa college, kwa akili za huyu mtoto naona bado hawezi kusoma college. Ni kijana wa kiume, mvivu, bonge, hana adabu...
0 Reactions
4 Replies
309 Views
Hawa wazungu wakija Afrika hatuwaombi cheti cha lugha ya nchi husika, lakini wao ukitaka kwenda kwenda kusoma kwao watataka hivyo vyeti hapo juu. Kuna nchi kama Tanzania na zingine tunatumia...
0 Reactions
8 Replies
498 Views
wana jf nimefanya utafiti mdogo kwa wahitimu wa kozi zifuatazo, PSPA, Philosophy, History and archeology, History and Political science, Geography and Environmental, Public relation na sociology...
2 Reactions
115 Replies
35K Views
sote tunapaswa kukubaliana kwamba ili matokeo ya wanafunzi yawe mazuri panahiitajika ushirikiano uliotukuka katika mzazi, mwalimu na mwanafunzi huku kila mmoja akitimiza wajibu wake kadiri...
2 Reactions
25 Replies
903 Views
Kuna baadhi ya walimu kati shule kadhaa hawataki kabisa kusikia wanafunzi wao wanaenda kusoma tuisheni kipindi Cha likizo wakidai kwamba zinapoteza na kuvuruga uelewa wa kile alichowafundisha...
0 Reactions
8 Replies
351 Views
Habari zenu?, Naombeni msaada WA TAARIFA Kwa anayeifahamu machame girls, kuna ndugu yangu anaishi iringa, kachaguliwa huko form five HGL huko., Sasa htajaifahamu vizuri performance yake...
0 Reactions
1 Replies
273 Views
Jamani naomba msaada wa kueleweshwa hizi course mbili. Moja ni Bachelor of Science in Food, Nutrition and Dietetics ambayo inatolewa pale OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA(OUT). Na nyingine ni Bachelor...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Samahani naomba mnisaidie nimechaguliwa Bsc in Phy udom.. Bsc in Kemia mwecahu.. Bsc in IT with account IFM na bsc in food science an techn SUA niende wapi na kozi gani kulingana na soko la ajira
2 Reactions
37 Replies
6K Views
Jaman naomben ushauli kuusu hiyo coz hapo juu nimechaguliwa nikasomee vip kitaa inalipa please advice...
0 Reactions
10 Replies
9K Views
Habari za wakati huu, Nina mdogo wangu amemaliza form six comb ya CBN na angependa kusoma kati ya hizi course mbili Bsc in Human Nutrition au Bsc in Food Science and Technology. Mwenye ana...
0 Reactions
27 Replies
43K Views
Habari za Leo wakuu, Binafsi nimechaguliwa kusoma course inaitwa food science pale sua kwa mwaka wa kwanza wa masomo 2021/2022. Ila nimetamani kupata kujuzwa mengi kuhusu hii course katika kila...
1 Reactions
39 Replies
6K Views
Back
Top Bottom